Tutakuwa na Nane Nane Arusha, njoo ujipatie miche ya Pixie, Dragon na Tangarine

Tutakuwa na Nane Nane Arusha, njoo ujipatie miche ya Pixie, Dragon na Tangarine

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Nitakuwepo nane nane Arusha na miche ya matunda kama Pixie Orange, Tangarine, Mineola na Clementine pia.

Dragon fruits miche itakuwepo plus elimu ya kutesha

FB_IMG_1721757321518.jpg


Pixie ndio tutakuwa nazo nyingi na Dragons plus matunda yake. Pixie ni machungwa seedless ambayo ni cross ya Tangarine na Sweet Oranges, ni matunda yanayo weza zalishwa kwa ajili ya export kwa sababu pia na Tanzania tuna Import kutoka South Africa na Egypt.

FB_IMG_1721758949671.jpg


Kama una shamba ukanda wa machungwa kama kule Muheza jaribu Pixie au Tangarine.
 
Nitakuwepo nane nane Arusha na miche ya matunda kama Pixie Orange, Tangarine, Mineola na Clementine pia.

Dragon fruits miche itakuwepo plus elimu ya kutesha

View attachment 3052731

Pixie ndio tutakuwa nazo nyingi na Dragons plus matunda yake. Pixie ni machungwa seedless ambayo ni cross ya Tangarine na Sweet Oranges, ni matunda yanayo weza zalishwa kwa ajili ya export kwa sababu pia na Tanzania tuna Import kutoka South Africa na Egypt.

View attachment 3052732

Kama una shamba ukanda wa machungwa kama kule Muheza jaribu Pixie au Tangarine.
Hii pixie mkoa wa pwani vipi, lengo ni yawe ya kula home tu
 
Back
Top Bottom