Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,583
- 2,944
Ndugu zanguni
Naomba mjiulze
Mtu mweusi asili yake wapi?
Na muarabu asili yake wapi?
Inakuwaje leo muarabu aje kudai uzanzibari wakati katokea yemen?
Kwa nini wewe mtanganyika unakubali upumbavu kama huu?
JITAMBUE!
nlikuwa nakuheshim sana ila leo nimekutoa thamani lo! yaan kumbe bdo mjinga kias chte hcho
Ndugu zanguni
Naomba mjiulze
Mtu mweusi asili yake wapi?
Na muarabu asili yake wapi?
Inakuwaje leo muarabu aje kudai uzanzibari wakati katokea yemen?
Kwa nini wewe mtanganyika unakubali upumbavu kama huu?
JITAMBUE!
Ndugu zanguni
Naomba mjiulze
Mtu mweusi asili yake wapi?
Na muarabu asili yake wapi?
Inakuwaje leo muarabu aje kudai uzanzibari wakati katokea yemen?
Kwa nini wewe mtanganyika unakubali upumbavu kama huu?
JITAMBUE!
Tena sio mjinga tu kama ulivyo mtathmini nadhana agekuwa anaishi Uganda wangesha mfunga
Ndugu zanguni
Naomba mjiulze
Mtu mweusi asili yake wapi?
Na muarabu asili yake wapi?
Inakuwaje leo muarabu aje kudai uzanzibari wakati katokea yemen?
Kwa nini wewe mtanganyika unakubali upumbavu kama huu?
JITAMBUE!
Sasa unaanza kupevuka
Enyi kizazi cha leo mjiitao wa-Afrika, ni nani wakati wa ujima walikaa wakakubaliana pande hili la ardhi la bara hadi pwani liitwe Tanganyika? Pande hili ambalo Wajerumani walilipima, wakachora ramani yake, wakaliita 'German East Africa' Kisha kwa wivu wajerumani wasiwe na nguvu duniani wakawanyang'anya na kuliita Tanganyika unajivuniaje leo eti ndio asili yako? Nasema asili yetu ni Tanzania, ni maamuzi yetu kupinga mipaka ya kuwekewa na wakoloni kwa kigezo cha kutugawa ili watutawale sasa wanarudi wa-Afrika wenzetu waroho wa uongozi wanataka kutugawa tena ili wapate uongozi kisa 'asili yetu'. Asili yetu Nyanyembe, Ngoni, Hehe, Chagga bai tudai hizo!!!
Ndugu zanguni
Naomba mjiulze
Mtu mweusi asili yake wapi?
Na muarabu asili yake wapi?
Inakuwaje leo muarabu aje kudai uzanzibari wakati katokea yemen?
Kwa nini wewe mtanganyika unakubali upumbavu kama huu?
JITAMBUE!
Unaanza kidogo kupata akili.Ndugu zanguni
Naomba mjiulze
Mtu mweusi asili yake wapi?
Na muarabu asili yake wapi?
Inakuwaje leo muarabu aje kudai uzanzibari wakati katokea yemen?
Kwa nini wewe mtanganyika unakubali upumbavu kama huu?
JITAMBUE!