Tutakuwa wapumbavu tukiukataa utanganyika wetu wakati wajukuu wa mkoloni wanadai uzanzibari..

Tutakuwa wapumbavu tukiukataa utanganyika wetu wakati wajukuu wa mkoloni wanadai uzanzibari..

germany east africa including rwanda na burundi! unajua hiyo, Tanganyika, Rwanda na Burundi existed before, Unaaminishwa uongo wewe! Laazima Tanganyika irudi kwa maendeleo yetu Watanganyia otherwise kila mtu ataendelea kujihisi foreigner na matokeo yake ni kuiibia nchi na kuifisidi!

Tuelimishe jina lilaletaje hayo unayoyaita maendeleo. Kama hayapanikani kwa jina la sasa yatapatikaje kwa kubadili jina? Je kwa maelezo yako tuidai Rwanda na Burudi sasa kama sehemu ya asili yetu?
 
Ndugu zanguni

Naomba mjiulze

Mtu mweusi asili yake wapi?

Na muarabu asili yake wapi?

Inakuwaje leo muarabu aje kudai uzanzibari wakati katokea yemen?

Kwa nini wewe mtanganyika unakubali upumbavu kama huu?

JITAMBUE!

Ha! Ha! Ha! Ha! Kimenuka !
 
Ndugu zanguni

Naomba mjiulze

Mtu mweusi asili yake wapi?

Na muarabu asili yake wapi?

Inakuwaje leo muarabu aje kudai uzanzibari wakati katokea yemen?

Kwa nini wewe mtanganyika unakubali upumbavu kama huu?

JITAMBUE!

Ni wewe kweli au typing aero

Ila uliupata ule waraka wenu wa siri?
 
Ndugu zanguni

Naomba mjiulze

Mtu mweusi asili yake wapi?

Na muarabu asili yake wapi?

Inakuwaje leo muarabu aje kudai uzanzibari wakati katokea yemen?

Kwa nini wewe mtanganyika unakubali upumbavu kama huu?

JITAMBUE!

Wewe ndio maana jamaa zako wanakuambia URUDISHE PESA ZA RAMBI RAMBI ZA MAREHEM MWANGOSI

Nani kakuambia anaedai zanzibar ni muarabu??

Kama unadai tanganyika yako,waache wazanzibar wadai zanzibar yao,jitu ------- umekaa ughaibuni kufanya kazi za kishenzy kishenzy za kubeba box then unajifanya unataka kutamba hapa??

You must be so so craizy
 
Mtu mzima kama wewe kuandika uharo kama huu haipendezi!
Hivi ni kwa nini nyie huwa mnajiona mna haki ya kuongea lolote na kupiga mayowe wakati wengine wakisema mnaona wamekiuka?

wewe na jina lako hilo la kishetani unadhani tunakufurahia?
 
Tuelimishe jina lilaletaje hayo unayoyaita maendeleo. Kama hayapanikani kwa jina la sasa yatapatikaje kwa kubadili jina? Je kwa maelezo yako tuidai Rwanda na Burudi sasa kama sehemu ya asili yetu?

hujaelewa nini hapo? unajua source ya watu kuwa wakwapuzi? We are all foreigners! Hamna mtu mwenye uchungu na hii nchi inayoitwa Tanzania, hopefully ikiundwa Tanganyika ujaribu kuwa mkwapuzi kama tutakuvumilia, Tanzania ina WaZanzibari, ambao hawajisikii kuwa waTanzania plus WaTanganyika ambao hawajijui kuwa ni waTanganyika.

Kwa urahisi kabisa ni kwamba sisi hatuna kwetu!
 
Back
Top Bottom