Tutanue mapafu kidogo

Aii jamani weye
 
Aii jamani weye
 
Marahabaaaaaaa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Chezea mchaga wewe!!
 

Duh kweli nami nimecheka, huyu mchaga anamuibia marehemu mbele za watu.
 
Duh kweli nami nimecheka, huyu mchaga anamuibia marehemu mbele za watu.
Ana mahesabu makali sana huyu mchaga... Hapo si ajabu wenzake waliona katoa wazo la msaada zaidi
 
Ana mahesabu makali sana huyu mchaga... Hapo si ajabu wenzake waliona katoa wazo la msaada zaidi

Hapo sasa jamaa anacheza na fursa kila sehemu, kalamba 100,000/= ya mtani wangu na 200,000 ya ndg yangu, then wao kwa pamoja wakafurahia marehemu kupunguziwa mzigo wa kubeba mihera safarini na possibility ya kuibiwa na vibaka. Huenda alitamani pia achukue na viazi, michele nk ili kumpumhuzia marehemu mizigo. Lakini una utani na hao jamaa, maana wasije wakakufuata hata huko uliko? hahaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…