Aii jamani weyeUnakutana na kidemu ndani ya miezi miwili kanataka kaje waona wazazi wako. Dada, mi mwenyewe nlikaa miezi 9 tumboni kabla sijawaona wazazi wangu mwenyewe, usiniletee mapenzi ya Mwendokasi.
Sipendagi ujinga mimi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Aii jamani weyeUnakutana na kidemu ndani ya miezi miwili kanataka kaje waona wazazi wako. Dada, mi mwenyewe nlikaa miezi 9 tumboni kabla sijawaona wazazi wangu mwenyewe, usiniletee mapenzi ya Mwendokasi.
Sipendagi ujinga mimi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
na bila shaka aliacha cheki bandiaakaandika
cheki ya laki 5, akachukua ile laki 3
kwenye kaburi na kuacha cheki
kumbe upogiHa ha ha
hahahaha na wakinga wangekuwepo cjui wangesemaje hapoWachaga wa akili nyingi sana aisee
Marahabaaaaaaa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]SIKUBALI KUUMIA PEKE YANGU, BORA
MBAVU ZITUUME Mnyakyusa mmoja
aliwaalika watu katika mazishi ya mama
yake. Baada ya kushusha jeneza wakatia
ndani ya kaburi viazi, mchele na kuku
kadhaa. Mhaya mmoja akauliza, 'Vya nini
hivyo?
Akaambiwa, 'Wafu huenda safari ndefu
sana, hivi atakula njiani
Mhaya akazama kwenye wallet, akatoa
laki 2, akaidondoshea akisema, 'vikiisha
hivyo atanunua vingine'. Mkurya mmoja
akadondoshea laki moja akasema,
Isipotosha ataongezea hii
Mchaga akatoa cheque book, akaandika
cheki ya laki 5, akachukua ile laki 3
kwenye kaburi na kuacha cheki akisema,
'bora ukachukue hela mbele ya safari kwa
cheki Vibaka wasijeWAKAKUUA bure/
Shikamoo _wachaga!!?????!!!!!
UmeonaeeWachaga wa akili nyingi sana aisee
Umeonaee weee kwani kabila gani mkuu!!Tisha kweli
SIKUBALI KUUMIA PEKE YANGU, BORA
MBAVU ZITUUME Mnyakyusa mmoja
aliwaalika watu katika mazishi ya mama
yake. Baada ya kushusha jeneza wakatia
ndani ya kaburi viazi, mchele na kuku
kadhaa. Mhaya mmoja akauliza, 'Vya nini
hivyo?
Akaambiwa, 'Wafu huenda safari ndefu
sana, hivi atakula njiani
Mhaya akazama kwenye wallet, akatoa
laki 2, akaidondoshea akisema, 'vikiisha
hivyo atanunua vingine'. Mkurya mmoja
akadondoshea laki moja akasema,
Isipotosha ataongezea hii
Mchaga akatoa cheque book, akaandika
cheki ya laki 5, akachukua ile laki 3
kwenye kaburi na kuacha cheki akisema,
'bora ukachukue hela mbele ya safari kwa
cheki Vibaka wasijeWAKAKUUA bure/
Shikamoo _wachaga!!?????!!!!!
Ana mahesabu makali sana huyu mchaga... Hapo si ajabu wenzake waliona katoa wazo la msaada zaidi