Tutanue mapafu kidogo

Tutanue mapafu kidogo

Unakutana na kidemu ndani ya miezi miwili kanataka kaje waona wazazi wako. Dada, mi mwenyewe nlikaa miezi 9 tumboni kabla sijawaona wazazi wangu mwenyewe, usiniletee mapenzi ya Mwendokasi.

Sipendagi ujinga mimi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Aii jamani weye
 
Unakutana na kidemu ndani ya miezi miwili kanataka kaje waona wazazi wako. Dada, mi mwenyewe nlikaa miezi 9 tumboni kabla sijawaona wazazi wangu mwenyewe, usiniletee mapenzi ya Mwendokasi.

Sipendagi ujinga mimi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Aii jamani weye
 
SIKUBALI KUUMIA PEKE YANGU, BORA
MBAVU ZITUUME Mnyakyusa mmoja
aliwaalika watu katika mazishi ya mama
yake. Baada ya kushusha jeneza wakatia
ndani ya kaburi viazi, mchele na kuku
kadhaa. Mhaya mmoja akauliza, 'Vya nini
hivyo?
Akaambiwa, 'Wafu huenda safari ndefu
sana, hivi atakula njiani
Mhaya akazama kwenye wallet, akatoa
laki 2, akaidondoshea akisema, 'vikiisha
hivyo atanunua vingine'. Mkurya mmoja
akadondoshea laki moja akasema,
Isipotosha ataongezea hii
Mchaga akatoa cheque book, akaandika
cheki ya laki 5, akachukua ile laki 3
kwenye kaburi na kuacha cheki akisema,
'bora ukachukue hela mbele ya safari kwa
cheki Vibaka wasijeWAKAKUUA bure/
Shikamoo _wachaga!!?????!!!!!
Marahabaaaaaaa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Chezea mchaga wewe!!
 
SIKUBALI KUUMIA PEKE YANGU, BORA
MBAVU ZITUUME Mnyakyusa mmoja
aliwaalika watu katika mazishi ya mama
yake. Baada ya kushusha jeneza wakatia
ndani ya kaburi viazi, mchele na kuku
kadhaa. Mhaya mmoja akauliza, 'Vya nini
hivyo?
Akaambiwa, 'Wafu huenda safari ndefu
sana, hivi atakula njiani
Mhaya akazama kwenye wallet, akatoa
laki 2, akaidondoshea akisema, 'vikiisha
hivyo atanunua vingine'. Mkurya mmoja
akadondoshea laki moja akasema,
Isipotosha ataongezea hii
Mchaga akatoa cheque book, akaandika
cheki ya laki 5, akachukua ile laki 3
kwenye kaburi na kuacha cheki akisema,
'bora ukachukue hela mbele ya safari kwa
cheki Vibaka wasijeWAKAKUUA bure/
Shikamoo _wachaga!!?????!!!!!

Duh kweli nami nimecheka, huyu mchaga anamuibia marehemu mbele za watu.
 
Duh kweli nami nimecheka, huyu mchaga anamuibia marehemu mbele za watu.
Ana mahesabu makali sana huyu mchaga... Hapo si ajabu wenzake waliona katoa wazo la msaada zaidi
 
Ana mahesabu makali sana huyu mchaga... Hapo si ajabu wenzake waliona katoa wazo la msaada zaidi

Hapo sasa jamaa anacheza na fursa kila sehemu, kalamba 100,000/= ya mtani wangu na 200,000 ya ndg yangu, then wao kwa pamoja wakafurahia marehemu kupunguziwa mzigo wa kubeba mihera safarini na possibility ya kuibiwa na vibaka. Huenda alitamani pia achukue na viazi, michele nk ili kumpumhuzia marehemu mizigo. Lakini una utani na hao jamaa, maana wasije wakakufuata hata huko uliko? hahaaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom