Tutanue mapafu kidogo

Mchagga hapo AMEKWIBA mchana kweupe mbele ya waombelezaji bila kujali juwa lilipatwa kwao.
 
Ha haa hata wakija nitawazidi ujanja kama walivofanyiwa na mangi hapo
 
Haaaaaaaaaaaaaaaa!!!!...sijui nimecheka au nimeshangaaa.
 
Ukinipa kuchagua pesa na dushe nachagua pesa halafu ndo dushe[emoji12]
duuuuuh ngoja nisikie huenda una sababu kwanini unachagua hivo labda? mpaka usingizi pembeni kweli? kula?

kuna vitamu zaidi ya pesa lete sababu
 
duuuuuh ngoja nisikie huenda una sababu kwanini unachagua hivo labda? mpaka usingizi pembeni kweli? kula?

kuna vitamu zaidi ya pesa lete sababu
Ha haaa unataka uibue mada ee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…