kama nilivyojibu hapo juu, asilimia kubwa hayo mambo huanzishwa na wanaume na wamefikia hatua ya kudanganya hata watoto na kuwarubuni kwa vijisenti vyao. nyie mna vijisenti, sie tuna Mungu. Mungu atatuponya tu ili nanyi mponywe kupitia kwetu na hatimaye dunia nzima iponywe. amen
Dawa za Kichina hizooooooooooooooooooooooo
hamuponi ng'ooo,,,,,,, hasa wanaumee,,, na we uliotuma hii nahisi ni mwanamume,,,,,,,,,
Hivi kuuacha wazi huo upaja halafu upite sehemu za sisi kukuona ........... SI UTAKUWA WEWE NDO UMEANZISHA...???si nyie ndo mnaoyaanzisa? jizuieni basi halafu muone jinsi dunia itakavyojaa amani na upendo. tena ndoa zitakuwa mahali pa kukimbilia kama Mungu alivyotaka na sio kukimbiwa
Hivi kuuacha wazi huo upaja halafu upite sehemu za sisi kukuona ........... SI UTAKUWA WEWE NDO UMEANZISHA...???
Judith, mi nafurahi sana nikiona post zako, nahisi kama nakuona live
haha, thanx. u'r welcome
Wee Judie, usicheze na mwanaume.je, paja nalo ni kiungo cha siri (genital organ)? paja siyo sehemu ya mguu kama ulivyo unyayo? je, wanaume wenzenu hawana mapaja? (tena mengine si makubwa kuliko hata ya wanawake?), mbona unyayo ukiuona haushituki. kumbuka mtu hajaribiwi na Mungu wala na mtu mwingine, bali hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe akisha kudanganywa na ibilisi
doooo! dawa ni kutumia kinga ndo tuweze kupona,lakini mipaja hiyo inatisha sijui ndo unaliinamisha ni balaa tupu,na likute mtu anayejua kusugua lazima linywe ndoo ya maji.kama nilivyojibu hapo juu, asilimia kubwa hayo mambo huanzishwa na wanaume na wamefikia hatua ya kudanganya hata watoto na kuwarubuni kwa vijisenti vyao. nyie mna vijisenti, sie tuna Mungu. Mungu atatuponya tu ili nanyi mponywe kupitia kwetu na hatimaye dunia nzima iponywe. amen
doooo! dawa ni kutumia kinga ndo tuweze kupona,lakini mipaja hiyo inatisha sijui ndo unaliinamisha ni balaa tupu,na likute mtu anayejua kusugua lazima linywe ndoo ya maji.
Kwani wanaume wanawala akina nani! sio wanawake. Tafta takwim za maambukizi ya (ukimwi) kwa nfano, uone ni nani wanaambukizwa zaidi.
Shauri yako.
umeona eeh!!?Wabongo tuna taste ya aina yteu pekee wenzetu wanataka vimodel siye mizinga mikubwa
Watu mna-mind obesity.
Wee Judie, usicheze na mwanaume.
Akiona paja la mwnamke kama hilo mtaani nondo zinasimama zenyewe bila kuwekewa zege.
Macho ya mwanaume na hisia zake za tamaa vina direct communication na hazipitii kwa opereta!