Tutapona kwa Maradhi jamani?

Tutapona kwa Maradhi jamani?

kama nilivyojibu hapo juu, asilimia kubwa hayo mambo huanzishwa na wanaume na wamefikia hatua ya kudanganya hata watoto na kuwarubuni kwa vijisenti vyao. nyie mna vijisenti, sie tuna Mungu. Mungu atatuponya tu ili nanyi mponywe kupitia kwetu na hatimaye dunia nzima iponywe. amen

Nilifikiri matatizo yote yanaanzishwa na binadamu kumbe ni wanaume ndio chanzo? I wish wanaume wangekuwa wanafanya hayo mambo na viumbe tofauti. Bahati mbaya wanafanya na wanawake kwahiyo issue sio wanaume wala nini..issue ni binadamu wenyewe hatufai
 
hamuponi ng'ooo,,,,,,, hasa wanaumee,,, na we uliotuma hii nahisi ni mwanamume,,,,,,,,,

Kwani wanaume wanawala akina nani! sio wanawake. Tafta takwim za maambukizi ya (ukimwi) kwa nfano, uone ni nani wanaambukizwa zaidi.
Shauri yako.
 
si nyie ndo mnaoyaanzisa? jizuieni basi halafu muone jinsi dunia itakavyojaa amani na upendo. tena ndoa zitakuwa mahali pa kukimbilia kama Mungu alivyotaka na sio kukimbiwa
Hivi kuuacha wazi huo upaja halafu upite sehemu za sisi kukuona ........... SI UTAKUWA WEWE NDO UMEANZISHA...???
 
Hivi kuuacha wazi huo upaja halafu upite sehemu za sisi kukuona ........... SI UTAKUWA WEWE NDO UMEANZISHA...???

je, paja nalo ni kiungo cha siri (genital organ)? paja siyo sehemu ya mguu kama ulivyo unyayo? je, wanaume wenzenu hawana mapaja? (tena mengine si makubwa kuliko hata ya wanawake?), mbona unyayo ukiuona haushituki. kumbuka mtu hajaribiwi na Mungu wala na mtu mwingine, bali hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe akisha kudanganywa na ibilisi
 
je, paja nalo ni kiungo cha siri (genital organ)? paja siyo sehemu ya mguu kama ulivyo unyayo? je, wanaume wenzenu hawana mapaja? (tena mengine si makubwa kuliko hata ya wanawake?), mbona unyayo ukiuona haushituki. kumbuka mtu hajaribiwi na Mungu wala na mtu mwingine, bali hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe akisha kudanganywa na ibilisi
Wee Judie, usicheze na mwanaume.
Akiona paja la mwnamke kama hilo mtaani nondo zinasimama zenyewe bila kuwekewa zege.
Macho ya mwanaume na hisia zake za tamaa vina direct communication na hazipitii kwa opereta!
 
kama nilivyojibu hapo juu, asilimia kubwa hayo mambo huanzishwa na wanaume na wamefikia hatua ya kudanganya hata watoto na kuwarubuni kwa vijisenti vyao. nyie mna vijisenti, sie tuna Mungu. Mungu atatuponya tu ili nanyi mponywe kupitia kwetu na hatimaye dunia nzima iponywe. amen
doooo! dawa ni kutumia kinga ndo tuweze kupona,lakini mipaja hiyo inatisha sijui ndo unaliinamisha ni balaa tupu,na likute mtu anayejua kusugua lazima linywe ndoo ya maji.
 
doooo! dawa ni kutumia kinga ndo tuweze kupona,lakini mipaja hiyo inatisha sijui ndo unaliinamisha ni balaa tupu,na likute mtu anayejua kusugua lazima linywe ndoo ya maji.

Mze, Hizo ni nyama tu, hata kwenye sambusa zimo!
 
Kwani wanaume wanawala akina nani! sio wanawake. Tafta takwim za maambukizi ya (ukimwi) kwa nfano, uone ni nani wanaambukizwa zaidi.
Shauri yako.

Wanawake wengi wameambukizwa ukimwi zaidi ya wanaume. Sababu kuu ni kwamba wanaume wengi wana mahusiano ya kimapenzi na wanawake zaidi ya mmoja. Mwanaume mmoja muathitika anaweza kuambukiza wanawake 10 au zaidi.
 
Wabongo tuna taste ya aina yteu pekee wenzetu wanataka vimodel siye mizinga mikubwa
 
Wee Judie, usicheze na mwanaume.
Akiona paja la mwnamke kama hilo mtaani nondo zinasimama zenyewe bila kuwekewa zege.
Macho ya mwanaume na hisia zake za tamaa vina direct communication na hazipitii kwa opereta!

ndiyo maana nikasema hivi "kumbuka mtu hajaribiwi na Mungu wala na mtu mwingine, bali hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe akisha kudanganywa na ibilisi" binafsi naamini kuwa kama wanaume watadhibiti tamaa zao tutakuwa tumeshinda tatizo la ngono holela na zembe kwa zaidi ya 95% manake hata ibilisi atakosa sababu ya kuwadanganya watu. kudhibiti tamaa hakuna maana ya kukosa kuamka hisia za ngono (kunyanyua nondo). tatizo linakuja kuwa wenye wenza na wasio nao wote wanataka ngono kutoka kwa yeyote wanayemuona na kumpenda, yaani wanataka kutoka kwa hata wasio wenza wao. badala ya kutafuta mwenza kwanza ndio utosheleze kiu yake, yeye anataka atosheleze kiu yake hata kwa asiye mwenza wake. hakika hiyo ni kazi ya ibilisi. nanafikiri sasa tuko pamoja bro
 
Back
Top Bottom