BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
...mkuu mie natumia halotel, gb 1 kwa sh 1,000/ kwa wiki. Zamani mpaka mwaka jana November-December, speed ilikuwa nzuri sanaaa na hakukuwa na kukatika katika kwa mtandao..Lakini baada ya hapo, inakata sanaaaaa
Halotel kasi ya internet imepungua.