Tutarajie machafuko Kenya Kama Raila hatoshiriki uchaguzi.

Tutarajie machafuko Kenya Kama Raila hatoshiriki uchaguzi.

bigmash

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
416
Reaction score
421
Wandugu,
Hii taarifa ya Raila Odinga kususia uchaguzi wa marudio Kenya unaotarajiwa kufanyika October 26 si habari njema kwa wakenya.
Ikumbukwe kuwa Rails na wenzake was NASA hawawezi kususia uchaguzi wa marudio bila kuwa na mbinu mbadala wa suala hili, na hali inajionyesha dhahiri kwamba wapo tayari kuwaamrisha wafuasi wao hata kufanya vurugu ili nchi isitawalike.
Natabiri vurugu zinaweza kuwa kubwa zaidi ya ilivyotokea mwaka 2007.
Raila si wa kupuuzwa hata kidogo na madai yake ya kutaka mabadiliko kwenye tume ya uchaguzi ni ya msingi kabisa. Jambo la ajabu sana hapa kwa nini hii tume iliyovuruga uchaguzi wa kwanza iendelee kung'ang'ania kuendesha uchaguzi wa marudio. Na ajabu zaidi tume hii inaungwa mkono kwa asilimia Mia moja na chama tawala cha Jubilee chini ya Uhuru Kenyatta. Kwa vyovyote vile NASA chini ya Odinga wapo sahihi kabisa kususia marudio ya huu uchaguzi vinginevyo watajitumbukiza kwenye mtego na watashindwa kujitegua.
Suluhisho pekee la kunusuru hali hii ya machafuko ambayo tunaitarajia kutokea ni kwa hii tume inayijiita isiyo na mipaka kujiuzulu, vinginevyo machafuko hayaepukiki. Halahala Wakenya, mti na macho.
 
Watu wanapiga campaign wakati Odinga anapiga maandamano ni upumbavu mkubwa arudi tu ,asubuhi hii mahakama ya juu imeongeza mgombea mwingine uchaguzi uko pale pale
 
Watu wanapiga campaign wakati Odinga anapiga maandamano ni upumbavu mkubwa arudi tu ,asubuhi hii mahakama ya juu imeongeza mgombea mwingine uchaguzi uko pale pale
Haingii akilini kwa aliyeshinda uchaguzi kihalali kuzunguka tena nchi nzima akifanya kampeni, kitu gani kilichobadilika baada ya matokeo kufutwa au ahadi gani alisahau kuitoa kwenye kampeni zilizopita?
Kampeni ya Jubilee ni kutaka kuihadaa dunia kwamba wakati wanafanya kampeni NASA walikua kwa press conferences.but the fact is they are sure the system that assisted them to win is still in place. So if the IEBC systems remain the same still Jubilee will win the repeat election.
Kama wanataka credible election waifanyie mabadiliko IEBC kwanza na ndiyo NASA wanachotaka.
All confilicts are ended up with dialogue, they should not wait for people to die ndiyo wakuje mezani kuzungumza. They get it wrong if they underestimate the power of Raila.
 
Haingii akilini kwa aliyeshinda uchaguzi kihalali kuzunguka tena nchi nzima akifanya kampeni, kitu gani kilichobadilika baada ya matokeo kufutwa au ahadi gani alisahau kuitoa kwenye kampeni zilizopita?
Kampeni ya Jubilee ni kutaka kuihadaa dunia kwamba wakati wanafanya kampeni NASA walikua kwa press conferences.but the fact is they are sure the system that assisted them to win is still in place. So if the IEBC systems remain the same still Jubilee will win the repeat election.
Kama wanataka credible election waifanyie mabadiliko IEBC kwanza na ndiyo NASA wanachotaka.
All confilicts are ended up with dialogue, they should not wait for people to die ndiyo wakuje mezani kuzungumza. They get it wrong if they underestimate the power of Raila.
Sheria ziko pale na court ilishahamua hivyo yy kama hataki ake kimya aache election iendelee
 
Sasa ni vyema mahakama ingesimamia huo uchaguzi ili kuepusha vurugu hizo sasa
Maaanake mwanzoni alikuwa hana imani na rulling ya court,ok wamepambana wamepata haki hiyo sasa yeye anataka kuweka commissioner woote wa IEBC kutoka NASA? Wakubaliane na mbona kila wakiitwa yy akwendi he is out of mind
 
Watu wanapiga campaign wakati Odinga anapiga maandamano ni upumbavu mkubwa arudi tu ,asubuhi hii mahakama ya juu imeongeza mgombea mwingine uchaguzi uko pale pale
Watu hamjui kitu alafu mnapiga kelele, makes me puke.
Huyo mgombea nae amekataa, anataka demands za Raila zitimizwe. Reform of iebc.
 
Watu hamjui kitu alafu mnapiga kelele, makes me puke.
Huyo mgombea nae amekataa, anataka demands za Raila zitimizwe. Reform of iebc.
Hatujui nini? Kama mahakama imesema ajumuishwe ww unasema hatujui mbona unakuwa na upuuzi
 
Hujui kwamba huyo mgombe amekataa kujumuishwa.
 
Lakini Madai ya Raila ni ya msingi, kwa nini yasitatuliwe ili amani iwepo?

nchi hafanyi mambo kwa kutumia madai ya raila, hata wavuta bangi wanamadai wasibuguziwe pindi wavutapo
 
nchi hafanyi mambo kwa kutumia madai ya raila, hata wavuta bangi wanamadai wasibuguziwe pindi wavutapo
Unless you are uninformed, Raila ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa Kenya, hawezi kupuuzwa kama unavyodhani na Kenya ikawa salama, especially ikiwa madai yake ni ya msingi kama haya hayafanyiwi utatuzi.
 
Unless you are uninformed, Raila ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa Kenya, hawezi kupuuzwa kama unavyodhani na Kenya ikawa salama, especially ikiwa madai yake ni ya msingi kama haya hayafanyiwi utatuzi.

ushawishi gan wakat kila uchaguz wanambwaga! labda ushawishi wa ujaluoni
 
ushawishi gan wakat kila uchaguz wanambwaga! labda ushawishi wa ujaluoni
Yaani wewe mtanzania unabishana sana kuhusu maswala ya kisiasa ya Kenya wakati hata hujui chochote. Ulipoingiza ukabila ndo umeonesha ujuha wako kabisa! Hata sisi ambao hatumuungi mkono Raila tunajua ana ushawishi mkubwa wa kisiasa Kenya. Shida ni ubinafsi wake na sababu zake za kutaka kuwa rais hazifai kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
ushawishi gan wakat kila uchaguz wanambwaga! labda ushawishi wa ujaluoni
Hapana, wewe sasa unaweka ukabila.
Raila ako na ufuasi Kenya mzima. Na kukua na ushawishi mkubwa sio guarantee ya yeye kushinda, lakini hebu angalia kiasi cha kura anazozoa katika kila uchaguzi. Zaidi ya 40%!
Huyo kweli sio mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa nchi nzima, hasa ukizingatia kua kura za waluo hazifikii hata 10% ya kura zote?
 
Refa aliyevurunda mechi iliyopita mpaka ikaamriwa irudiwe anapewaje idhin ya kuchezesha mechi ya marudio? Ili iwe nini labda?
 
Hapana, wewe sasa unaweka ukabila.
Raila ako na ufuasi Kenya mzima. Na kukua na ushawishi mkubwa sio guarantee ya yeye kushinda, lakini hebu angalia kiasi cha kura anazozoa katika kila uchaguzi. Zaidi ya 40%!
Huyo kweli sio mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa nchi nzima, hasa ukizingatia kua kura za waluo hazifikii hata 10% ya kura zote?

hadi afanye coliation na vyama vingine ndo apate kura nyingi! Uhuru kasimama na chama cha jubelee na kambwaga
 
Hapana, wewe sasa unaweka ukabila.
Raila ako na ufuasi Kenya mzima. Na kukua na ushawishi mkubwa sio guarantee ya yeye kushinda, lakini hebu angalia kiasi cha kura anazozoa katika kila uchaguzi. Zaidi ya 40%!
Huyo kweli sio mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa nchi nzima, hasa ukizingatia kua kura za waluo hazifikii hata 10% ya kura zote?

kusema "nasa huyu, nasa yule, nasa huyo" we ndo umeona ushawishi?!
 
Back
Top Bottom