Tutarajie machafuko Kenya Kama Raila hatoshiriki uchaguzi.

Tutarajie machafuko Kenya Kama Raila hatoshiriki uchaguzi.

Hehehe... Hauelewi chochote.... Keti na ujienjoy.... Kenya is maturing by the day
 
Wandugu,
Hii taarifa ya Raila Odinga kususia uchaguzi wa marudio Kenya unaotarajiwa kufanyika October 26 si habari njema kwa wakenya.
Ikumbukwe kuwa Rails na wenzake was NASA hawawezi kususia uchaguzi wa marudio bila kuwa na mbinu mbadala wa suala hili, na hali inajionyesha dhahiri kwamba wapo tayari kuwaamrisha wafuasi wao hata kufanya vurugu ili nchi isitawalike.
Natabiri vurugu zinaweza kuwa kubwa zaidi ya ilivyotokea mwaka 2007.
Raila si wa kupuuzwa hata kidogo na madai yake ya kutaka mabadiliko kwenye tume ya uchaguzi ni ya msingi kabisa. Jambo la ajabu sana hapa kwa nini hii tume iliyovuruga uchaguzi wa kwanza iendelee kung'ang'ania kuendesha uchaguzi wa marudio. Na ajabu zaidi tume hii inaungwa mkono kwa asilimia Mia moja na chama tawala cha Jubilee chini ya Uhuru Kenyatta. Kwa vyovyote vile NASA chini ya Odinga wapo sahihi kabisa kususia marudio ya huu uchaguzi vinginevyo watajitumbukiza kwenye mtego na watashindwa kujitegua.
Suluhisho pekee la kunusuru hali hii ya machafuko ambayo tunaitarajia kutokea ni kwa hii tume inayijiita isiyo na mipaka kujiuzulu, vinginevyo machafuko hayaepukiki. Halahala Wakenya, mti na macho.
Kama tume imeshaelekezwa ilipokosea basi inatakiwa iondoe makosa hayo, wamepaswa watumike kurekebisha makosa, sio kufurushwa!
Utumishi wa umma una falsafa ya "kujisahihisha kimfumo" sio kutimuana timuana.

Raila atakuwa mkosaji, muhaini na muuaji!
 
Haingii akilini kwa aliyeshinda uchaguzi kihalali kuzunguka tena nchi nzima akifanya kampeni, kitu gani kilichobadilika baada ya matokeo kufutwa au ahadi gani alisahau kuitoa kwenye kampeni zilizopita?
Kampeni ya Jubilee ni kutaka kuihadaa dunia kwamba wakati wanafanya kampeni NASA walikua kwa press conferences.but the fact is they are sure the system that assisted them to win is still in place. So if the IEBC systems remain the same still Jubilee will win the repeat election.
Kama wanataka credible election waifanyie mabadiliko IEBC kwanza na ndiyo NASA wanachotaka.
All confilicts are ended up with dialogue, they should not wait for people to die ndiyo wakuje mezani kuzungumza. They get it wrong if they underestimate the power of Raila.
Je mahakaman iliamuru hivyo wanavyotaka NASA? Odinga anachokifanya haiumizi Familia yake Bali anawaumiza wakenya ninachokiona Odinga anataka serikali ya kitaifa yenye kumuingiza yeye ndani ya system
 
Haingii akilini kwa aliyeshinda uchaguzi kihalali kuzunguka tena nchi nzima akifanya kampeni, kitu gani kilichobadilika baada ya matokeo kufutwa au ahadi gani alisahau kuitoa kwenye kampeni zilizopita?
Kampeni ya Jubilee ni kutaka kuihadaa dunia kwamba wakati wanafanya kampeni NASA walikua kwa press conferences.but the fact is they are sure the system that assisted them to win is still in place. So if the IEBC systems remain the same still Jubilee will win the repeat election.
Kama wanataka credible election waifanyie mabadiliko IEBC kwanza na ndiyo NASA wanachotaka.
All confilicts are ended up with dialogue, they should not wait for people to die ndiyo wakuje mezani kuzungumza. They get it wrong if they underestimate the power of Raila.
Itakuwa kama Zanzibar tu jinsi alivyojitoa Maalim Seif wa CUF vyama vingine vikaingia katika uchaguzi na Shein wa CCM akashinda kwa kishindo cha zaidi ya asilimia 90.

Nadhani hakutakuwa na fujo ya scale kubwa Kenya baada ya uchaguzi maana serikali ya Uhuru ikishashinda kwa kishindo itatumia vyombo vya dola kudhibiti hali ya machafuko yeyote kwakuwa wana mfano mzuri wa 2008 na kama raisi amba ni amiri jeshi mkuu asingependa doa lile lijirudie.

Vilevile JUBILEE watatembea kifua mbele baada ya uchaguzi kuwa wameshinda mara mbili katika chaguzi zote,yaani wa awali na wa marudio.

SIASA ZA AFRIKA HAZIJAWAHI KUMUACHA MTU SALAMA[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kama tume imeshaelekezwa ilipokosea basi inatakiwa iondoe makosa hayo, wamepaswa watumike kurekebisha makosa, sio kufurushwa!
Utumishi wa umma una falsafa ya "kujisahihisha kimfumo" sio kutimuana timuana.

Raila atakuwa mkosaji, muhaini na muuaji!
by the way mahakama haikusema Tume ivunjwe
Mahakama ilisema tofauti zirekebishwe
sasa mtu anapokuja na madai yake yeye eti tume ifutwe...This guy is insane
Kumbukeni hii tume ni ya pili baada ya ile ya kwanza kuvunjwa..pia kwa sababu ya madai yake kuwa hana imani nayo.
sasa yeye anataka tume ambayo inaongozwa na NASA?
 
Lakini Madai ya Raila ni ya msingi, kwa nini yasitatuliwe ili amani iwepo?
Waliovuruga zaidi ni wabunge wa JUBILEE kuifanyia mabadiliko sheria ya Uchaguzi ambapo itaanza kufanya kazi Uchaguzi was tarehe 26 oktoba (Kenyatta amesema ataipitisha akiletewa kwa ajili ya sahihi).
***Jubilee hawana nia na uchaguzi was haki name huru. Siasa si ugomvi
 
Who is Raila aridhishwe kila kitu!? Wewe alitaka uchaguzi wa Marudio au alitaka tume mpya? Mbona hakulidai hilo kortini?
Yes na ilo ndo walisahau kuwepo katika madai yao ya msingi mahakamani wao wakabeba la kura tu,afu wanakuja hapa na maswali kwamba Raila ako na wafuasi Kenya nzima,hii itakuwa ajabu na wagombea wametia 8 mpaka asubuhi hii yy muache apige mayowe
 
Watu hamjui kitu alafu mnapiga kelele, makes me puke.
Huyo mgombea nae amekataa, anataka demands za Raila zitimizwe. Reform of iebc.
Kumbe tunajadiliana na watu usiokuwa na habari kamili endeleeni kufanya upuuzi wa kuandama mpaka mchoke
 
by the way mahakama haikusema Tume ivunjwe
Mahakama ilisema tofauti zirekebishwe
sasa mtu anapokuja na madai yake yeye eti tume ifutwe...This guy is insane
Kumbukeni hii tume ni ya pili baada ya ile ya kwanza kuvunjwa..pia kwa sababu ya madai yake kuwa hana imani nayo.
sasa yeye anataka tume ambayo inaongozwa na NASA?
Angepeleka ombi hilo mahakamani inge make sense.
Kwa sasa Raila anafanya fujo.
 
Haingii akilini kwa aliyeshinda uchaguzi kihalali kuzunguka tena nchi nzima akifanya kampeni, kitu gani kilichobadilika baada ya matokeo kufutwa au ahadi gani alisahau kuitoa kwenye kampeni zilizopita?
Kampeni ya Jubilee ni kutaka kuihadaa dunia kwamba wakati wanafanya kampeni NASA walikua kwa press conferences.but the fact is they are sure the system that assisted them to win is still in place. So if the IEBC systems remain the same still Jubilee will win the repeat election.
Kama wanataka credible election waifanyie mabadiliko IEBC kwanza na ndiyo NASA wanachotaka.
All confilicts are ended up with dialogue, they should not wait for people to die ndiyo wakuje mezani kuzungumza. They get it wrong if they underestimate the power of Raila.
Raila hata ma Principal wenzie wawe ma commisioner wa IEBC na akashindwa bado atasema tume imeingiliwa...Jubilee walisema Nasa hawapo tayari kwa uchaguzi tangu wowote ule tangia August na hii hii imeonekana kua ni kweli...
Kwanza kuonyesha hawakua na nia mbaya warejeshe pesa za watu waliowachangia.
pili mahakama hio hio iliompa Raila ushindi wa kufuta uchaguzi ndio hio hio inasema IEBC hawana hatia mbali hawakufuta taratibu kisheria.
Haiwezekani mtu mmoja awe yeye ndio wa kusema nini kifanyike muda wote.
Ifike mahala Raila akumbali yaishe
 
Wandugu,
Hii taarifa ya Raila Odinga kususia uchaguzi wa marudio Kenya unaotarajiwa kufanyika October 26 si habari njema kwa wakenya.
Ikumbukwe kuwa Rails na wenzake was NASA hawawezi kususia uchaguzi wa marudio bila kuwa na mbinu mbadala wa suala hili, na hali inajionyesha dhahiri kwamba wapo tayari kuwaamrisha wafuasi wao hata kufanya vurugu ili nchi isitawalike.
Natabiri vurugu zinaweza kuwa kubwa zaidi ya ilivyotokea mwaka 2007.
Raila si wa kupuuzwa hata kidogo na madai yake ya kutaka mabadiliko kwenye tume ya uchaguzi ni ya msingi kabisa. Jambo la ajabu sana hapa kwa nini hii tume iliyovuruga uchaguzi wa kwanza iendelee kung'ang'ania kuendesha uchaguzi wa marudio. Na ajabu zaidi tume hii inaungwa mkono kwa asilimia Mia moja na chama tawala cha Jubilee chini ya Uhuru Kenyatta. Kwa vyovyote vile NASA chini ya Odinga wapo sahihi kabisa kususia marudio ya huu uchaguzi vinginevyo watajitumbukiza kwenye mtego na watashindwa kujitegua.
Suluhisho pekee la kunusuru hali hii ya machafuko ambayo tunaitarajia kutokea ni kwa hii tume inayijiita isiyo na mipaka kujiuzulu, vinginevyo machafuko hayaepukiki. Halahala Wakenya, mti na macho.

Tuache ubinafsi na uroho wa madaraka .... sipendagi aina hii ya watu kabisa .... yeye anatakiwa ajitathmini maana ukiwa tayari kuangamiza watu kwa tamaa zako mwenyewe ni mbaya sana ... Mungu ampe Hekima kama linazo mwenzio maana Kenyetta pamoja kwamba yupo kashikilia madaraka alikubali uchaguzi urudiwe .. ila sasa ni mwoga huyu Raial

Anaogopa kwa vile sasa hivi wabunge magavana na nafasi nyingi zipo Jubilee sasa wote wanafanya kampeni ya kumsaidia kiongozi wao wa chama atapita wapiiiii ... Apishe watu watafute maisha sio kukalia kampeni kila siku , wakenya wenyewe wamechoka sasa wamekali kutafuta tu mbinu za kumchafua Kenyata mara hili mara lile ....wanawasumbua watu wakose utulive
 
Wandugu,
Hii taarifa ya Raila Odinga kususia uchaguzi wa marudio Kenya unaotarajiwa kufanyika October 26 si habari njema kwa wakenya.
Ikumbukwe kuwa Rails na wenzake was NASA hawawezi kususia uchaguzi wa marudio bila kuwa na mbinu mbadala wa suala hili, na hali inajionyesha dhahiri kwamba wapo tayari kuwaamrisha wafuasi wao hata kufanya vurugu ili nchi isitawalike.
Natabiri vurugu zinaweza kuwa kubwa zaidi ya ilivyotokea mwaka 2007.
Raila si wa kupuuzwa hata kidogo na madai yake ya kutaka mabadiliko kwenye tume ya uchaguzi ni ya msingi kabisa. Jambo la ajabu sana hapa kwa nini hii tume iliyovuruga uchaguzi wa kwanza iendelee kung'ang'ania kuendesha uchaguzi wa marudio. Na ajabu zaidi tume hii inaungwa mkono kwa asilimia Mia moja na chama tawala cha Jubilee chini ya Uhuru Kenyatta. Kwa vyovyote vile NASA chini ya Odinga wapo sahihi kabisa kususia marudio ya huu uchaguzi vinginevyo watajitumbukiza kwenye mtego na watashindwa kujitegua.
Suluhisho pekee la kunusuru hali hii ya machafuko ambayo tunaitarajia kutokea ni kwa hii tume inayijiita isiyo na mipaka kujiuzulu, vinginevyo machafuko hayaepukiki. Halahala Wakenya, mti na macho.
Ole ole ole wao watakaoleta vurugu siku hiyo,, cha moto watakiona! Hauwezekani wewe ujitoe halafu ulete vurugu, Rais hataruhusu kitu hiyo itokee!! Wenzake wanapiga kampe yeye anahamasisha maandamano!!
 
Utakufa bure ukifikiria juu ya Kenya yet when you wake up every morning, the country ahead of you is always Kenya......... . Better a failed state it will wake up some day just like Somalia is surpassing you now than A banana Republic like yours
Hahahahaha[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom