Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie watetezi mwenyewe kakubali kukosolewa mbona kila siku watu wanalalamika huku naniliu hapendi kukosolewa ila haohao mnalalamika kila sikumnapinga mtu kukosolewa,Samatta yeye nani asikosolewe? Tuache ushamba mpira hauchezwi chumbani
Labda kiwango cha Genk na huku kwetu vipo tofauti sanaNajiuliza kwani huyu Bwana Mbwana alikuwa anachezea timu nzima na watu walihitaji kiwango cha timu au cha Mbwana? bado sielewi elewi kuna redio moja imemshambulia sana jana nkashindwa kuelewa watu huwa wanafikiri vipi.
Mbwana amekuwa na kiwango cha Mesi? kusema tuiite Taifa stars kuwa na uwezo wa kuwa timu mbili kwa mara moja yani Taifa stars yenyewe na Mbwana akiwa timu ya pili binafsi kwa uelewa wangu mdogo sidhani kama Mbwana amefikia level hiyo.
Mipira (sio kondom) ilikua inapotelea kwake hakunyang'anya mpira hata mmoja! Kama vipi si angeenda kumsaidia mkewe kukuna nazi tujue moja.Sammata anawechekea sana watz soon watampanda kichwani.
Kiwango cha mtu mmoja kitaonekana vipi kama team nzima ni mbovu??
Hadi wakuelewe utakuwa hata umesahau uliandika nini.[emoji23][emoji23]Sammata anawechekea sana watz soon watampanda kichwani.
Kiwango cha mtu mmoja kitaonekana vipi kama team nzima ni mbovu??
Tusubiri mechi zijazo za Taifa starsKatika mechi8 zilizopita Samatta amefunga magoli5 na kutoa assist3, msuva amefunga magoli5 pia na katika hayo magoli assist3 zimetoka kwa Samatta mi roho inaniuma pia navyoona watu wanamshukia samatta na wachezaji wenzake hawamtetei wanafurahia anachofanyiwa? bado nasubiri kauli ya Msuva na sure boy kuhusu hili