Tutarajie Uchaguzi mdogo Jimbo la Buhigwe baada ya Dkt. Philip Mpango kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais wa JMT

Tutarajie Uchaguzi mdogo Jimbo la Buhigwe baada ya Dkt. Philip Mpango kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais wa JMT

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Mbunge akiteuliwa kuwa Makamu wa Rais anakoma kuwa mbunge.

Hivyobasi, Dk. Philip Isidori Mpango atakapo apishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakoma kuwa mbunge wa Jimbo la Uchaguzi la Buhingwe lililopo Mkoani Kigoma, haya ni matakwa ya masharti ya Ibara ya 47 (6) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977.

Hivyobasi, Jimbo la Uchaguzi la Buhingwe lililopo Mkoani Kigoma liko wazi na Uchaguzi Mdogo utaitishwa na Tume ya Uchaguzi kujaza nafasi hiyo kwa mujibu wa Katiba na Sheria za Uchaguzi

Naomba Kuwasilisha Wakuu Na Niko Tayari Kusahihishwa. [emoji120][emoji120][emoji120]
 
BAADA YA DK. PHILIP MPANGO KUWA MAKAMU WA RAIS JIMBO LA UCHAGUZI LA BUHINGWE MKOANI KIGOMA LIKO WAZI.

Mbunge akiteuliwa kuwa Makamu wa Rais anakoma kuwa mbunge.

Hivyobasi, Dk. Philip Isidori Mpango atakapo apishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakoma kuwa mbunge wa Jimbo la Uchaguzi la Buhingwe lililopo Mkoani Kigoma, haya ni matakwa ya masharti ya Ibara ya 47 (6) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977.

Hivyobasi, Jimbo la Uchaguzi la Buhingwe lililopo Mkoani Kigoma liko wazi na Uchaguzi Mdogo utaitishwa na Tume ya Uchaguzi kujaza nafasi hiyo kwa mujibu wa Katiba na Sheria za Uchaguzi.

By Matojo M. Cosatta
 
Tayari yupo si ajabu we ni msandawe unapost kuowania chance ya kigoma.

Waachie wenyewe washajipanga kwenye safiu
 
Mbunge akiteuliwa kuwa Makamu wa Rais anakoma kuwa mbunge.

Hivyobasi, Dk. Philip Isidori Mpango atakapo apishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakoma kuwa mbunge wa Jimbo la Uchaguzi la Buhingwe lililopo Mkoani Kigoma, haya ni matakwa ya masharti ya Ibara ya 47 (6) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977.

Hivyobasi, Jimbo la Uchaguzi la Buhingwe lililopo Mkoani Kigoma liko wazi na Uchaguzi Mdogo utaitishwa na Tume ya Uchaguzi kujaza nafasi hiyo kwa mujibu wa Katiba na Sheria za Uchaguzi

Naomba Kuwasilisha Wakuu Na Niko Tayari Kusahihishwa. [emoji120][emoji120][emoji120]
Asante kwa taarifa mkuu
 
Mbunge akiteuliwa kuwa Makamu wa Rais anakoma kuwa mbunge.

Hivyobasi, Dk. Philip Isidori Mpango atakapo apishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakoma kuwa mbunge wa Jimbo la Uchaguzi la Buhingwe lililopo Mkoani Kigoma, haya ni matakwa ya masharti ya Ibara ya 47 (6) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977.

Hivyobasi, Jimbo la Uchaguzi la Buhingwe lililopo Mkoani Kigoma liko wazi na Uchaguzi Mdogo utaitishwa na Tume ya Uchaguzi kujaza nafasi hiyo kwa mujibu wa Katiba na Sheria za Uchaguzi

Naomba Kuwasilisha Wakuu Na Niko Tayari Kusahihishwa. [emoji120][emoji120][emoji120]

Josh J umeiba andiko langu (plagiarism) bila kutaja source na umeondoa Jina langu (Matojo M. Cosatta) kwenye andiko langu . Andiko hili nimeli post mara ya kwanza kwenye group la WhatsApp linaitwa Maswali Magumu saa 5 na dakika 34 leo tarehe 30 March, 2020.
 
Josh J umeiba andiko langu (plagiarism) bila kutaja source na umeondoa Jina langu (Matojo M. Cosatta) kwenye andiko langu . Andiko hili nimeli post mara ya kwanza kwenye group la WhatsApp linaitwa Maswali Magumu saa 5 na dakika 34 leo tarehe 30 March, 2020.
Learned Let Me Declare Kwamba nimekosea Mkuu, Then Lile Group Let La Lawyers Bado Lipo? Nilisafiri Nje Nimerudi juzi, ebu naomba unirudishe [emoji3][emoji3][emoji3][emoji120]
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ametangaza kiti cha ubunge wa jimbo la Buhigwe kuanzia Machi 30, 2021

Kiti kimekuwa wazi baada ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Dkt. Philip Mpango kupendekezwa na kuthibitishwa na bunge kwa 100% ya kura kuwa Makamu wa Rais
 
Mbunge akiteuliwa kuwa Makamu wa Rais anakoma kuwa mbunge.

Hivyobasi, Dk. Philip Isidori Mpango atakapo apishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakoma kuwa mbunge wa Jimbo la Uchaguzi la Buhingwe lililopo Mkoani Kigoma, haya ni matakwa ya masharti ya Ibara ya 47 (6) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977.

Hivyobasi, Jimbo la Uchaguzi la Buhingwe lililopo Mkoani Kigoma liko wazi na Uchaguzi Mdogo utaitishwa na Tume ya Uchaguzi kujaza nafasi hiyo kwa mujibu wa Katiba na Sheria za Uchaguzi

Naomba Kuwasilisha Wakuu Na Niko Tayari Kusahihishwa. [emoji120][emoji120][emoji120]
Nashauri Zitto agombee hilo JIMBO.
 
Back
Top Bottom