3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Kwa takribani misimu hii miwili na hasa huu unaoendelea kumeibuka wimbi la wajiitao wachambuzi ambao uchambuzi wao unasukumwa na mahaba ya timu zao ambao wamekuwa wakiiponda na kuibagaza simba mara ni mbovu, haina kikosi kipana, haina quality players nk
Kwa matokeo ya leo dhidi ya timu inayoimbwa ni bora tutarajie maneno gani ya kiuchambuzi?
Kwa matokeo ya leo dhidi ya timu inayoimbwa ni bora tutarajie maneno gani ya kiuchambuzi?