Tutashuhudia mengi kabla ya 2025

Tutashuhudia mengi kabla ya 2025

Tao

Senior Member
Joined
Nov 10, 2018
Posts
105
Reaction score
195
"Kwakuwa ni mwanamke,Ni Muislamu na anatoka Zanzibar itakuwa rahisi kukabiliana naye."

Hayo siyo maneno yangu bali ni kauli ya kimya ya wasaka urais.

Inaonekana taasisi ya Urais ni tamu sana kwani wasaka urais huwa ni waru wa kuchanganyikiwa kwelikweli kwani wako tayari kufanya lolote ilimradi lengo lao litimie.

Sijajua ni kwanini wasaka urais kwasasa wako free kufanya chochote watakalo.hatahivyo nimeendelea kupata ushahidi kuwa we have very weak institutions.

Baadhi ya wasaka urais ndani ya CCM si watu wa kawaida.unaweza dhani wana mahusiano na Wanefili wanaotajwa katika Biblia takatifu Mwanzo 6:4(Aliens)

Wamekamata vyombo vya habari,wanaweza kucreate crisis yoyote kwenye nchi kama vile Mfumuko wa Bei,kupotea kwa dola,umeme kukatika hovyohovyo tu,tatizo la mafuta na hata maji na wananchi wakatulia kabisa.si unajua watanzania mjadala wao pekee ni mechi za Simba na Yanga?period

Wasaka urais wanaweza kumuua kiongozi yeyote ilimradi wao wakae kwenye nafasi yake na wakati fulani kufupisha mkakati wa kusaka urais. wameshajifunza kuwa kupata urais siyo lazima uchaguzi.

Hata Mhe Rais amewateua wasaka urais kadhaa na cha ajabu ni kuwa huwa hawamsemei bali wanajisemea wao wenyewe tofauti na wakati wa utawala wa JPM ambapo viongozi wote ndani ya chama na serikali walikuwa wakimsifia mara kwa mara.

Wasaka urais walipumua baada ya kuondoka JPM na katika uchaguzi wa ndani wa CCM mwaka jana 2022 walifanikiwa kuwapachika vibaraka wao katika nafasi nyeti za uongozi ndani ya CCM hivyo wajumbe wengi wa mkutano mkuu maalumu 2025 ni wafuasi wa wasaka urais.

Kwasasa wana utawala binafsi na ukiwauliza mbona mwafanya yote haya?wanakupa hilo jibu hapo juu.

Kitu kingine walichofanikiwa ni kumfanya Rais awe na ziara za kimataifa almost every week.no this is cumbersome.

Cha kusikitisha ni kuwa hata nafasi za wenezi ngazi ya mkoa wamepachika vibaraka wao,Kama Mhe Rais angelisimamia zoezi hili ipasavyo angepata mtandao mkubwa ambao ungemsaidia hata kwa kumpa taarifa za mara kwa mara hata zile nyepesinyepesi lakini Mama na inner circle yake hawajui walitendalo

Eh Mwenyezi Mungu tuepushe na kikombe hiki
 
Chadema watamsimamisha Bilionea Sugu kwa hisani ya Watu wa Marekani 😄
 
Usijali the state itahakikisha hakuna uchaguzi bila katiba mpya!

Halafu nakuhakikishia 2025 mgombea siyo huyo Mama,ye mwenyewe naona Kila kukicha shamra shamra za kujipanga urais kuelekea2025 zinafifia!!

Alichokisema majaliwa Jana au juzi kuhusu namba mbili kiwe kweli isiwe vinginevyo!ikiwa vinginevyo my friend acha kabisa,kete Moja ya pool table itasababisha domino effect na wasaka urais wote wakamfuata anaefanyiwa tetesi!!

Mgombea wa urais atapatikana mapema sana tena mwakani halafu uchaguzi was 2025 haupo tutakua tunasubiri katiba mpya kwanza!!atakaetaka kugombea urais kwa katiba iliyopo aiseh no hatari kwake!!

MAWAZO HURU HAYA YA MLIPA KODI ASIEKWEPA
 
Sidhani kama ni rahisi sana kumuangusha mkuu wa nchi ktk hizi nchi zetu za dunia ya tatu, maana kila mtu saizi anaogopa asije akajulikana na kukosa vyote, kwasababu kwa nchi kama Tz kupigwa blacklist ni dakika sifuri tu
 
Tatizo rais wa sasa ni dhaifu sana na anajaribu kuuficha udhaifu wake kwa kutumia ukabila, Udini na jinsia, period.
 
"Kwakuwa ni mwanamke,Ni Muislamu na anatoka Zanzibar itakuwa rahisi kukabiliana naye."


Hayo siyo maneno yangu bali ni kauli ya kimya ya wasaka urais.

Inaonekana taasisi ya Urais ni tamu sana kwani wasaka urais huwa ni waru wa kuchanganyikiwa kwelikweli kwani wako tayari kufanya lolote ilimradi lengo lao litimie.

Sijajua ni kwanini wasaka urais kwasasa wako free kufanya chochote watakalo.hatahivyo nimeendelea kupata ushahidi kuwa we have very weak institutions.

Baadhi ya wasaka urais ndani ya CCM si watu wa kawaida.unaweza dhani wana mahusiano na Wanefili wanaotajwa katika Biblia takatifu Mwanzo 6:4(Aliens)



Wamekamata vyombo vya habari,wanaweza kucreate crisis yoyote kwenye nchi kama vile Mfumuko wa Bei,kupotea kwa dola,umeme kukatika hovyohovyo tu,tatizo la mafuta na hata maji na wananchi wakatulia kabisa.si unajua watanzania mjadala wao pekee ni mechi za Simba na Yanga?period

Wasaka urais wanaweza kumuua kiongozi yeyote ilimradi wao wakae kwenye nafasi yake na wakati fulani kufupisha mkakati wa kusaka urais. wameshajifunza kuwa kupata urais siyo lazima uchaguzi.

Hata Mhe Rais amewateua wasaka urais kadhaa na cha ajabu ni kuwa huwa hawamsemei bali wanajisemea wao wenyewe tofauti na wakati wa utawala wa JPM ambapo viongozi wote ndani ya chama na serikali walikuwa wakimsifia mara kwa mara.

Wasaka urais walipumua baada ya kuondoka JPM na katika uchaguzi wa ndani wa CCM mwaka jana 2022 walifanikiwa kuwapachika vibaraka wao katika nafasi nyeti za uongozi ndani ya CCM hivyo wajumbe wengi wa mkutano mkuu maalumu 2025 ni wafuasi wa wasaka urais.

Kwasasa wana utawala binafsi na ukiwauliza mbona mwafanya yote haya?wanakupa hilo jibu hapo juu.

Kitu kingine walichofanikiwa ni kumfanya Rais awe na ziara za kimataifa almost every week.no this is cumbersome.
Cha kusikitisha ni kuwa hata nafasi za wenezi ngazi ya mkoa wamepachika vibaraka wao,Kama Mhe Rais angelisimamia zoezi hili ipasavyo angepata mtandao mkubwa ambao ungemsaidia hata kwa kumpa taarifa za mara kwa mara hata zile nyepesinyepesi lakini Mama na inner circle yake hawajui walitendalo

Eh Mwenyezi Mungu tuepushe na kikombe hiki
Hizo ni porojo ,hakuna anaeweza kumtikisa Rais Samia au mtu yeyote akiwa Rais Tanzania hii.
 
Madam president yupo very stable mkuu na anaheshimika sana unafikiri kwanini anasafiri na kurudi nyumbani mda wowote?

Kagame kuja Tanzania tuu halali.

Rais Samia labda yeye mwenyewe aamue kuwa sigombei tena uraisi 2025 na atuchagulie mtu mwingine yeyote amuachie kiti. Ila vijana wanatamaa sana rais Samia lazima anawajua na pia anasubiri right time kuwa drop hawa ma snichi wenye tamaa.

Watu wengi ccm na serikalini wenye tamaa wata enguliwa mmoja baada ya mwingine 2024. Amini mama yupo kazini Mkuu
 
Madam president yupo very stable mkuu na anaheshimika sana unafikiri kwanini anasafiri na kurudi nyumbani mda wowote?

Kagame kuja Tanzania tuu halali.

Rais Samia labda yeye mwenyewe aamue kuwa sigombei tena uraisi 2025 na atuchagulie mtu mwingine yeyote amuachie kiti. Ila vijana wanatamaa sana rais Samia lazima anawajua na pia anasubiri right time kuwa drop hawa ma snichi wenye tamaa.

Watu wengi ccm na serikalini wenye tamaa wata enguliwa mmoja baada ya mwingine 2024. Amini mama yupo kazini Mkuu
Wanajifariji tuu hakuna kenge yeyote wa kumsumbua Samia ,kama mlishindwa mwaka wa kwanza saizi Kesha consolidate power kitambo mumechelewa sana.

Kama yupo anyanyue mdomo aseme atagombea tuone.
 
"Kwakuwa ni mwanamke,Ni Muislamu na anatoka Zanzibar itakuwa rahisi kukabiliana naye."


Hayo siyo maneno yangu bali ni kauli ya kimya ya wasaka urais.

Inaonekana taasisi ya Urais ni tamu sana kwani wasaka urais huwa ni waru wa kuchanganyikiwa kwelikweli kwani wako tayari kufanya lolote ilimradi lengo lao litimie.

Sijajua ni kwanini wasaka urais kwasasa wako free kufanya chochote watakalo.hatahivyo nimeendelea kupata ushahidi kuwa we have very weak institutions.

Baadhi ya wasaka urais ndani ya CCM si watu wa kawaida.unaweza dhani wana mahusiano na Wanefili wanaotajwa katika Biblia takatifu Mwanzo 6:4(Aliens)



Wamekamata vyombo vya habari,wanaweza kucreate crisis yoyote kwenye nchi kama vile Mfumuko wa Bei,kupotea kwa dola,umeme kukatika hovyohovyo tu,tatizo la mafuta na hata maji na wananchi wakatulia kabisa.si unajua watanzania mjadala wao pekee ni mechi za Simba na Yanga?period

Wasaka urais wanaweza kumuua kiongozi yeyote ilimradi wao wakae kwenye nafasi yake na wakati fulani kufupisha mkakati wa kusaka urais. wameshajifunza kuwa kupata urais siyo lazima uchaguzi.

Hata Mhe Rais amewateua wasaka urais kadhaa na cha ajabu ni kuwa huwa hawamsemei bali wanajisemea wao wenyewe tofauti na wakati wa utawala wa JPM ambapo viongozi wote ndani ya chama na serikali walikuwa wakimsifia mara kwa mara.

Wasaka urais walipumua baada ya kuondoka JPM na katika uchaguzi wa ndani wa CCM mwaka jana 2022 walifanikiwa kuwapachika vibaraka wao katika nafasi nyeti za uongozi ndani ya CCM hivyo wajumbe wengi wa mkutano mkuu maalumu 2025 ni wafuasi wa wasaka urais.

Kwasasa wana utawala binafsi na ukiwauliza mbona mwafanya yote haya?wanakupa hilo jibu hapo juu.

Kitu kingine walichofanikiwa ni kumfanya Rais awe na ziara za kimataifa almost every week.no this is cumbersome.
Cha kusikitisha ni kuwa hata nafasi za wenezi ngazi ya mkoa wamepachika vibaraka wao,Kama Mhe Rais angelisimamia zoezi hili ipasavyo angepata mtandao mkubwa ambao ungemsaidia hata kwa kumpa taarifa za mara kwa mara hata zile nyepesinyepesi lakini Mama na inner circle yake hawajui walitendalo

Eh Mwenyezi Mungu tuepushe na kikombe hiki
Nafasi ya Urasi Haijaribiwi!

Ni Mission na Vission ya Nchi na Mpango kamilifu wa Mungu!

Mama Samia ameonesha Uwezo wa Mwanamke katika UTAWALA.

Yuko Mwanamke wa Ujerumani anayeitwa ANGELA MIKHAEL ambaye aliituliza Ujerumani na kuwa Taifa la Kipekee linalokuwa kwa Uchumi Tulivu wenye Technology ya peke yake!

Mama Samia ni kama Angela MIKHAEL.

Africa Mashariki hatuko wenyewe!

Kulinganisha Uchumi wetu na wa Wenzetu na Mahali Dunia inapitia kwa sasa utagundua Aina ya Rais tuliyenaye!

Yuko very Stable kwenye politics na kwenye Decision Making!

Personally nategemea kuona Growth kwenye 2024 na 2025 lakini ni lazima pawepo na Measurable Parameters.

Nathani ndicho alichokizungumza Mh Makonda hivi Majuzi kwamba Kila Waziri atoe Report ya Utendaji kazi wake...

Kila Wizara iwe na Mpango kazi unaoakisi Economic Growth!

Na iwe na Mchango (Direct)kwenye GDP-na hiyo ndiyo Tafsiri sahihi ya Economic Growth!

Ziko Indicators ambazo kwazo zitasaidia kutafsiri Ukuaji wa Uchumi kwa 2024.

-Bwawa la Umeme la Julius Nyerere(Viwanda vitakuwa Stable na productivity itaongezeka)

-Efficiency ya Bandari ya Dar Es Salaam through DP world initiative.

-Kilimo cha Umwagiliaji hasa kwenye maeneo ya Ngano,Ufuta n Alizeti-Tutaokoa Forex(here we are good to go)

-Red Meat Export na Blue Economy Initive(Hili ni Eneo linalotegemewa sana na Middle East lakini panahitajika sana Transformation ya Minds kwa Wafugaji lakini pia kwa Watendaji wa wizara na Serikali iweke Nguvu kama ilivyo kwenye kilimo.

Hayo ni Maeneo yatakayogusa wananchi wengi na TAYARI Mama ameonesha Uwezo wake Mkubwa na Dhamira ya Dhati!

Let's not try this position but rather Support the Sitting President at best.
 
Duh kwa nijuavyo taasisi ya urais ni pana sana,sidhani kama ni rahisi hivyo kumkwamisha sitting president,hayuko peke yake,masikio yake yapo kila sehemu
 
Sidhani kama ni rahisi sana kumuangusha mkuu wa nchi ktk hizi nchi zetu za dunia ya tatu, maana kila mtu saizi anaogopa asije akajulikana na kukosa vyote, kwasababu kwa nchi kama Tz kupigwa blacklist ni dakika sifuri tu
Unasema nini??
 
"Kwakuwa ni mwanamke,Ni Muislamu na anatoka Zanzibar itakuwa rahisi kukabiliana naye."

Hayo siyo maneno yangu bali ni kauli ya kimya ya wasaka urais.

Inaonekana taasisi ya Urais ni tamu sana kwani wasaka urais huwa ni waru wa kuchanganyikiwa kwelikweli kwani wako tayari kufanya lolote ilimradi lengo lao litimie.

Sijajua ni kwanini wasaka urais kwasasa wako free kufanya chochote watakalo.hatahivyo nimeendelea kupata ushahidi kuwa we have very weak institutions.

Baadhi ya wasaka urais ndani ya CCM si watu wa kawaida.unaweza dhani wana mahusiano na Wanefili wanaotajwa katika Biblia takatifu Mwanzo 6:4(Aliens)

Wamekamata vyombo vya habari,wanaweza kucreate crisis yoyote kwenye nchi kama vile Mfumuko wa Bei,kupotea kwa dola,umeme kukatika hovyohovyo tu,tatizo la mafuta na hata maji na wananchi wakatulia kabisa.si unajua watanzania mjadala wao pekee ni mechi za Simba na Yanga?period

Wasaka urais wanaweza kumuua kiongozi yeyote ilimradi wao wakae kwenye nafasi yake na wakati fulani kufupisha mkakati wa kusaka urais. wameshajifunza kuwa kupata urais siyo lazima uchaguzi.

Hata Mhe Rais amewateua wasaka urais kadhaa na cha ajabu ni kuwa huwa hawamsemei bali wanajisemea wao wenyewe tofauti na wakati wa utawala wa JPM ambapo viongozi wote ndani ya chama na serikali walikuwa wakimsifia mara kwa mara.

Wasaka urais walipumua baada ya kuondoka JPM na katika uchaguzi wa ndani wa CCM mwaka jana 2022 walifanikiwa kuwapachika vibaraka wao katika nafasi nyeti za uongozi ndani ya CCM hivyo wajumbe wengi wa mkutano mkuu maalumu 2025 ni wafuasi wa wasaka urais.

Kwasasa wana utawala binafsi na ukiwauliza mbona mwafanya yote haya?wanakupa hilo jibu hapo juu.

Kitu kingine walichofanikiwa ni kumfanya Rais awe na ziara za kimataifa almost every week.no this is cumbersome.

Cha kusikitisha ni kuwa hata nafasi za wenezi ngazi ya mkoa wamepachika vibaraka wao,Kama Mhe Rais angelisimamia zoezi hili ipasavyo angepata mtandao mkubwa ambao ungemsaidia hata kwa kumpa taarifa za mara kwa mara hata zile nyepesinyepesi lakini Mama na inner circle yake hawajui walitendalo

Eh Mwenyezi Mungu tuepushe na kikombe hiki

Wewe hutaki Urais wa nchi hii?
 
Kipimo Cha kujua ikiwa aliyepo anakubalika ndani na nje ya chama, ni kuruhusu wengine ndani ya chama wagombee!!

Tofauti na hapo ni Udikteta tu.
 
"Kwakuwa ni mwanamke,Ni Muislamu na anatoka Zanzibar itakuwa rahisi kukabiliana naye."

Hayo siyo maneno yangu bali ni kauli ya kimya ya wasaka urais.

Inaonekana taasisi ya Urais ni tamu sana kwani wasaka urais huwa ni waru wa kuchanganyikiwa kwelikweli kwani wako tayari kufanya lolote ilimradi lengo lao litimie.

Sijajua ni kwanini wasaka urais kwasasa wako free kufanya chochote watakalo.hatahivyo nimeendelea kupata ushahidi kuwa we have very weak institutions.

Baadhi ya wasaka urais ndani ya CCM si watu wa kawaida.unaweza dhani wana mahusiano na Wanefili wanaotajwa katika Biblia takatifu Mwanzo 6:4(Aliens)

Wamekamata vyombo vya habari,wanaweza kucreate crisis yoyote kwenye nchi kama vile Mfumuko wa Bei,kupotea kwa dola,umeme kukatika hovyohovyo tu,tatizo la mafuta na hata maji na wananchi wakatulia kabisa.si unajua watanzania mjadala wao pekee ni mechi za Simba na Yanga?period

Wasaka urais wanaweza kumuua kiongozi yeyote ilimradi wao wakae kwenye nafasi yake na wakati fulani kufupisha mkakati wa kusaka urais. wameshajifunza kuwa kupata urais siyo lazima uchaguzi.

Hata Mhe Rais amewateua wasaka urais kadhaa na cha ajabu ni kuwa huwa hawamsemei bali wanajisemea wao wenyewe tofauti na wakati wa utawala wa JPM ambapo viongozi wote ndani ya chama na serikali walikuwa wakimsifia mara kwa mara.

Wasaka urais walipumua baada ya kuondoka JPM na katika uchaguzi wa ndani wa CCM mwaka jana 2022 walifanikiwa kuwapachika vibaraka wao katika nafasi nyeti za uongozi ndani ya CCM hivyo wajumbe wengi wa mkutano mkuu maalumu 2025 ni wafuasi wa wasaka urais.

Kwasasa wana utawala binafsi na ukiwauliza mbona mwafanya yote haya?wanakupa hilo jibu hapo juu.

Kitu kingine walichofanikiwa ni kumfanya Rais awe na ziara za kimataifa almost every week.no this is cumbersome.

Cha kusikitisha ni kuwa hata nafasi za wenezi ngazi ya mkoa wamepachika vibaraka wao,Kama Mhe Rais angelisimamia zoezi hili ipasavyo angepata mtandao mkubwa ambao ungemsaidia hata kwa kumpa taarifa za mara kwa mara hata zile nyepesinyepesi lakini Mama na inner circle yake hawajui walitendalo

Eh Mwenyezi Mungu tuepushe na kikombe hiki
Huna lolote huu upupu ni mawazo yako hayana uhalisia wowote. Acheni kubwabwaja na vitu viko juu ya uwezo wenu. CCM ina utamaduni wake na inauheshimu siku zote
 
Tao umeandika mambo mazito sana.

Changamoto ni kwamba JF ina watu wachache wenye kusoma, kuelewa, kutafakuri, kutafsiri na kuchanganua.

Binafsi, nimeunganisha dots kadhaa: kwanza ID yako ni ya 2018 lakini ina post 49 tu hadi sasa. Inaonekana wewe siyo wa kawaida sana na unamaanisha ukichokisema yaani kipo.

Lakini pia nimeunganisha ulichokiandika na kile kilichoandikwa kwenye barua ya kujiuzulu kwa yule Mtendaji.

Pia nimeunganisha na uzoefu tulionao katika siasa za nchi hii.

Niseme tu, Mungu aibariki nchi yetu na atuepushe na majaribu.
 
Back
Top Bottom