Tutashuhudia mengi kabla ya 2025

Tatizo rais wa sasa ni dhaifu sana na anajaribu kuuficha udhaifu wake kwa kutumia ukabila, Udini na jinsia, period.
HUyo mdhaifu ni mamako aliyezaa maskini wa akili na mali km wewe. Samia yuko strong sana, kwa akili yako finyu rais strong ni anayefokafoka km yule marehemu wenu
 
Huna lolote huu upupu ni mawazo yako hayana uhalisia wowote. Acheni kubwabwaja na vitu viko juu ya uwezo wenu. CCM ina utamaduni wake na inauheshimu siku zote
CCM haijawahi kufiwa na sitting President Hadi useme ndo Utaratibu wao kuchapisha fomu Moja.
 
The nation is state captured by the Devil,na hao unaowaongelea ni agents wake.Yajayo I must admit yanatisha sana.

Naomba niseme hivi,uliyoainisha hapo juu is not an exception to Tanzania,it is happening all over the World,na Marekani ndiyo supporter na mfadhili mkuu wa harakati hizo.The Bible calls America the False Prophet in Revelation 13.

Mambo hayo yanaonekana kama siasa tu,sio siasa,it is spiritual,politics inatumika tu kama tool kufikia lengo:a World Government,which is very evil and authoritarian with Satan at the helm of power.

Check hao watu,utagundua kuwa they are extremely evil,hawana ovu wasiloweza kufanya.They are actually Satanists.
 
HUyo mdhaifu ni mamako aliyezaa maskini wa akili na mali km wewe. Samia yuko strong sana, kwa akili yako finyu rais strong ni anayefokafoka km yule marehemu wenu
Badala ya kunitukana mimi unamtukana marehemu mama yangu wakati hawezi kukujibu, sishangai ndiyo mafundisho ya dini yenu yalivyo. Ugaidi umekujaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…