Tutatembeza bakuli mpaka lini?

Tutatembeza bakuli mpaka lini?

KiuyaJibu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2007
Posts
848
Reaction score
191
Naamini Tanzania kama nchi ni tajiri sana;lakini cha ajabu hatunufaiki na utajiri tulionao hadi sasa.Mfano mzuri hadi hivi sasa bajeti yetu ya nchi ni tegemezi na imefikia hatua bila hat ya aibu viongozi wa nchi hii ndani ya Bunge la bajeti wanatoa taarifa ya mapato na mojawapo ya vyanzo vya mapato ambavyo vinasaidia katika kuhakikisha bajeti ina kamilika ni utasikia "fungu kutoka kwa wahisani ni kiasi kadhaa na kiasi kilichobakia kinatoka katika mapato yetu ya ndani."
Swali ni kwamba,tutaendelea kutembeza bakuli mpaka lini?Hii habari inanikera kwelikweli,sijui kwa Wtanzania wengine wanaichukulia vipi!
 

Attachments

  • BAKULI.jpg
    BAKULI.jpg
    57.9 KB · Views: 45
Back
Top Bottom