Uchaguzi 2020 Tutawaadhibu kwenye sanduku la kura bila huruma, tutampa Magufuli ushindi wa 90%

Uchaguzi 2020 Tutawaadhibu kwenye sanduku la kura bila huruma, tutampa Magufuli ushindi wa 90%

Kwanza kwenye Vita hakuna kulemba hata sisimizi ni wa kumfinyanga finyanga

CCM tumejiandaa kufanya Kampeni za kijeshi nchi nzima usiku na mchana nyumba kwa nyumba kitanda kwa kitanda

Tutawashawishi wananchi wampe Magufuli ushindi wa 90%
Ushindi huu ni wa asante kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa miaka 5 na pia itakuwa ni ishara ya kumtia moyo apambane tena kwa miaka mingine 5
CCM mkipata hata 40% mwaka huu mimi najitoa Jamii Forums. Amini nakwambia
 
Back
Top Bottom