Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kama kuna kitu ninachikichukua ni mwanaume kuitwa sio riziki..kweli yawezekana kuna mazingirra aliishi yaliompelkea kuwa hivyo ama kuna wazazi wengine watoto wao wakiwa hivyo mascania na tipper zinaongezeka godown...ni lazima kuwe na sababu na hata wale mnaoendelea kuzaaliana muwe makini na watoto wa kike wa nyumban ..kuna house girl wengine wanamchezo wa kuwashika shika katitkati watoto wenu..sasa kuna miaka akishikwa shikwa alafu akafika wakati aipati hayo ndio madhara yake..hawa madada ni kumweomba mungu sana sanaa..tunapowaachia watoto wetu wa kiume wadogo hasa wanoogoshwa....anywa way tuje na msaada wa kwleli na dhati ukiwa kama mtanzania mwenye kuchukia kadhia ahii tunawasaidiaje watu hawa wawe kama wewe ulie riziki
Kwenu wana JF membeer-Riziki
Kwenu wana JF membeer-Riziki