Tutawasaidiaje ""sio riziki""kuwa ""riziki""

Tutawasaidiaje ""sio riziki""kuwa ""riziki""

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kama kuna kitu ninachikichukua ni mwanaume kuitwa sio riziki..kweli yawezekana kuna mazingirra aliishi yaliompelkea kuwa hivyo ama kuna wazazi wengine watoto wao wakiwa hivyo mascania na tipper zinaongezeka godown...ni lazima kuwe na sababu na hata wale mnaoendelea kuzaaliana muwe makini na watoto wa kike wa nyumban ..kuna house girl wengine wanamchezo wa kuwashika shika katitkati watoto wenu..sasa kuna miaka akishikwa shikwa alafu akafika wakati aipati hayo ndio madhara yake..hawa madada ni kumweomba mungu sana sanaa..tunapowaachia watoto wetu wa kiume wadogo hasa wanoogoshwa....anywa way tuje na msaada wa kwleli na dhati ukiwa kama mtanzania mwenye kuchukia kadhia ahii tunawasaidiaje watu hawa wawe kama wewe ulie riziki

Kwenu wana JF membeer-Riziki
 
Hauwezi ludisha matone ya mvua mbinguni mkuu......
 
nilishawai kuwa na schoolmate ambaye si riziki-tukajaribu kumsadia,kumshauri n.k-lakini siku tuliokubaliana akakutane na daktari,alikataa na akadai itakuwa ngumu maana nyumbani ana mtu-na atashindwa kumueleza huyo mpenzi wake-kwa kweli tulishindwa kumsadia kabsa-
SO SOMETIMES WAO WENYEWE WANAKUWA WASHANOGEWA NA HAWANA MPANGO TENA WA KURUDI KWENYE MAISHA YA KAWAIDA
 
Ngumu kumbadilisha mtu asiyeona tatizo kwenye kitu anachofanya!! Labda
tuanze kwa kuelimishana jinsi isivyo sahihi n madhara yake!
 
So sad wapendwa hapa kazini gorofa ya kwanza tuko na moja la kihindi inaniumiza sana ninapomwona..ila nikapata moyo naweza pata mawazo hapa tukona tutawasaidiaje na hao wa nje ..tusikate tamaa jamani ....nahisi tuanze kuweka mdhara ya ushoga tutawasaidia wengi sana sana pengine wengine wanaignia bila kujua madhra yake
 
Back
Top Bottom