Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Daaaah Hataki Kutembea na Gari Wanaruka Na Ndege za Atcl ambazo wanategemea Kupata Faida na Kujiendesha Yenyewe.Wacha tupigwe tu.
Maana hakuna jinsi.
Kama unachosema ni kweli, basi hata hao viongozi washa give up.Daaaah Hataki Kutembea na Gari Wanaruka Na Ndege za Atcl ambazo wanategemea Kupata Faida na Kujiendesha Yenyewe.
Mkuu Kiranga Ni Lini Umemuoa Huyo Mama Katoka Na Gari Kutoka Dar-Dom? Na Hata Juzi Alivyoenda Mwanza, Katoka Dar-Mza kwa Ndege Wakati Mzee Alikuwa Anatoka Dom-mwanza na GariKama unachosema ni kweli, basi hata hao viongozi washa give up.
Wanabembea na kuhadaa watu kwa maigizo tu.
Anaweza kukuambia anaokoa muda.Mkuu Kiranga Ni Lini Umemuoa Huyo Mama Katoka Na Gari Kutoka Dar-Dom? Na Hata Juzi Alivyoenda Mwanza, Katoka Dar-Mza kwa Ndege Wakati Mzee Alikuwa Anatoka Dom-mwanza na Gari
Mkuu Sio Kwamba kuhamia Dom kumeiboresha Sana Dom lakini pia Ni mhimu?Anaweza kukuambia anaokoa muda.
Zoezi zima la kuhamisha mji mkuu kwenda Dodoma ni ujinga mtupu.
Kila mji wa Tanzania ulitakiwa uboreshwe na watu, kwa biashara kuongezeka.Mkuu Sio Kwamba kuhamia Dom kumeiboresha Sana Dom lakini pia Ni mhimu?
Kwasasa tuwe wapole tuu.. Tuwekeze nguvu zetu kwenye katiba mpya, hii ndio muarobaini wa yote hayaNdege moja imetoka Dodoma kwenda Dar iko na Samia, nyingine Iko Burundi na Waziri Mkuu Majaliwa nyingine Ipo Ufaransa Makamu Wa Rais Dkt. Mpango nyingine ndo iko na Mzee Kikwete. Kwenye mazishi Huko Zambia.
Nadhani Samia hapendi kuwepo kwa Makao Makuu ya Nchi Dodoma, Maana shughuli nyingi za Nchi amekuwa akizifanyia Dar![emoji3578]
Sometimes afadhali ndege kuliko msafara wa SUV 30+ Hapo bado usumbufu wa kuwasumbua raia barabarani wanaokwenda kujitafutia riziki zaoDaaaah Hataki Kutembea na Gari Wanaruka Na Ndege za Atcl ambazo wanategemea Kupata Faida na Kujiendesha Yenyewe.
Hawajui hasara ninini so long wameshapiga 10%Halafu badae wakiambiwa shirika limepata Hasara analembua macho tu [emoji3][emoji3]
Haya Wacha Waruke Mkuu
Kwa mtazamo wangu afadhali aruke angani kuliko kutembea ardhini.. Usumbufu ni mkubwa sanaMkuu Kiranga Ni Lini Umemuoa Huyo Mama Katoka Na Gari Kutoka Dar-Dom? Na Hata Juzi Alivyoenda Mwanza, Katoka Dar-Mza kwa Ndege Wakati Mzee Alikuwa Anatoka Dom-mwanza na Gari
Haya yanaitwa mayenu kwenye mdoliMwili ulikuwa Dom
Ndege imefukuzia Dar
Dom kulikuwa natukio lakuaga
Mipango juu ya mipango