Mbaya zaidi haya madude hayauziki.. Hata tukitaka kuyapiga mnada hayatapata pimbi wa kumuingiza cha kikeAcha watunwapasue anga maana Jiwe kuu la pembeni alinunua ndege bila kujua zitapiga route gani
Kiburi ni kitu kibaya sana, Magufuli hakuwa na sababu ya kununua hizo ndege ambazo sasa zimedhihirika kuwa (Expensive Toys)..[emoji57][emoji57][emoji57]hakuna kitu kibaya kama mshamba anapojiona mjuajiVitu vilivyo tengenezwa kwa mikono ya mwanadamu hata vikikaa tu bila kutumika pia vinaharibika tu kwa Oxidation nk hivyo wameona wavitumie tu hata kwa safari zao binafsi.
Kiburi ni kitu kibaya sana, Magufuli hakuwa na sababu ya kununua hizo ndege ambazo sasa zimedhihirika kuwa (Expensive Toys).
Lakini cha kulaumu zaidi ni katiba ya hovyo tuliyonayo inayo mfanya rais atukuzwe hata anapounda genge la wauaji wanaowinda wenzao kama ngedere kwa nia ya kuwaua.
Kama ndio hivyo kuna tatizo kubwa, nasikia kajimilisha Airbus moja, haitaki Gulfstream. Ngoja niweke akiba ya manenoNdege moja imetoka Dodoma kwenda Dar iko na Samia, nyingine Iko Burundi na Waziri Mkuu Majaliwa nyingine Ipo Ufaransa Makamu Wa Rais Dkt. Mpango nyingine ndo iko na Mzee Kikwete. Kwenye mazishi Huko Zambia.
Nadhani Samia hapendi kuwepo kwa Makao Makuu ya Nchi Dodoma, Maana shughuli nyingi za Nchi amekuwa akizifanyia Dar![emoji3578]