Tutegemee nini toka kwa Kocha Muargentina?

Tutegemee nini toka kwa Kocha Muargentina?

Hakuna genius yeyote duniani mwenye time na habari za ndoa.

Ndoa ni kwa ajili ya watu wenye ordinary mind, huwezi kufanya makubwa halafu ndani unafuga mambo wa makelele, huo utulivu utapata SAA ngapi?
Hizo fikra za upinde.

Sifahamu kigezo cako cha "makubwa". Binafsi sina makubwa.
 
Binafsi siyo mtaalam wa mambo ya soka, nnachoweza kusema kuwa si mtu wakukaa sana kutokana na CV yake niliyoisikia akitambulisha. Ni mtu wa ma adventure na anatumia ujuzi wake mdogo alionao "kula bata" kwa wajinga.

Kwanza huyo atachukiwa sana na wachezaji wengi kwa muda mfupi sana ujao, kwani ni mbaguzi wa rangi (wa Argentina ni wabaguzi sana wa rangi). Pia hajanikalia sawa kimuonekano wake, nimehisi ana features za upinde.


Mtanisameh sana washabiki wa soka, ni maoni yangu ya awali tu. Naweza kuwa nipo au sipo sahihi.
Nakuomba inbox nna jambo langu
 
Kwahio Nabi nae ni upinde maana huko nyuma hakua na history ya kukaa kwenye timu mwaka mzima, nmekuuliza atambagua nani amuache nani au unaongelea ubaguzi wa dini?
Achana nae huyo faiza ni mpuuzi tu, linapokuja suala lolote lile, yeye kwanza kabisa ni udini.
 
Back
Top Bottom