Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo fikra za upinde.Hakuna genius yeyote duniani mwenye time na habari za ndoa.
Ndoa ni kwa ajili ya watu wenye ordinary mind, huwezi kufanya makubwa halafu ndani unafuga mambo wa makelele, huo utulivu utapata SAA ngapi?
Tena si uongo. Kiswahili, hususan cha kuandika sikijuwi. Nambie Arabic, English, Francais.Kiswahili chenyewe hujui pumbavu kabisa.
" ngija" ndio nini?
Wewe akili huna na shule huna pia.Hizo fikra za upinde.
Sifahamu kigezo cako cha "makubwa". Binafsi sina makubwa.
Nakuomba inbox nna jambo languBinafsi siyo mtaalam wa mambo ya soka, nnachoweza kusema kuwa si mtu wakukaa sana kutokana na CV yake niliyoisikia akitambulisha. Ni mtu wa ma adventure na anatumia ujuzi wake mdogo alionao "kula bata" kwa wajinga.
Kwanza huyo atachukiwa sana na wachezaji wengi kwa muda mfupi sana ujao, kwani ni mbaguzi wa rangi (wa Argentina ni wabaguzi sana wa rangi). Pia hajanikalia sawa kimuonekano wake, nimehisi ana features za upinde.
Mtanisameh sana washabiki wa soka, ni maoni yangu ya awali tu. Naweza kuwa nipo au sipo sahihi.
Achana nae huyo faiza ni mpuuzi tu, linapokuja suala lolote lile, yeye kwanza kabisa ni udini.Kwahio Nabi nae ni upinde maana huko nyuma hakua na history ya kukaa kwenye timu mwaka mzima, nmekuuliza atambagua nani amuache nani au unaongelea ubaguzi wa dini?
Uliona mbaliKocha anakaa miezi 3 tu kila tim wanafukuza hapa wana utopolo mjiandae kwa maumivu tu