CCM aibu kubwaCCM waliamini kabisa kuwa kuwafunga wapinzani especially Mbowe, kutadidimiza upinzani na CCM itatawala kwa raha.
Mungu si athumani, umetokea ukame, maji na umeme ni shida Tanzania nzima, serikali ni Kama ime-panic hajui la kufanya. Wananchi Wana hasira Sana juu ya upatikanaji wa maji na umeme.
CCM badala muwaze kuleta maendeleo, mnaangaika na upinzani, sasa mmegeukia maombi ya mvua[emoji1][emoji1] nani atasikiliza Sara zenu.
CCM badilikeni
Serikali ya CCM inatakiwa kutubu madhambi yao ili Mwenyezi Mungu ili ashushe neema bila hivyo tunarudi kule kule mgawao wa maji na umeme, kuoga kwa zamu waliooga asubuhi jioni wasioge.. Umeme wakati wa taarifa ya habari tu - wenye viwanda vya kuchomelea na Saloon tangazeni maumivu.Nchi ya Maombi
Hakuna jambo baya kama kukwepa uwajibikaji na kujificha kwenye imani...Serikali ya CCM inatakiwa kutubu madhambi yao ili Mwenyezi Mungu ili ashushe neema bila hivyo tunarudi kule kule mgawao wa maji na umeme, kuoga kwa zamu waliooga asubuhi jioni wasioge.. Umeme wakati wa taarifa ya habari tu - wenye viwanda vya kuchomelea na Saloon tangazeni maumivu.
Mbowe atazisikilizaCCM waliamini kabisa kuwa kuwafunga wapinzani especially Mbowe, kutadidimiza upinzani na CCM itatawala kwa raha.
Mungu si athumani, umetokea ukame, maji na umeme ni shida Tanzania nzima, serikali ni Kama ime-panic hajui la kufanya. Wananchi Wana hasira Sana juu ya upatikanaji wa maji na umeme.
CCM badala muwaze kuleta maendeleo, mnaangaika na upinzani, sasa mmegeukia maombi ya mvua[emoji1][emoji1] nani atasikiliza Sara zenu.
CCM badilikeni
CCM waliamini kabisa kuwa kuwafunga wapinzani especially Mbowe, kutadidimiza upinzani na CCM itatawala kwa raha.
Mungu si athumani, umetokea ukame, maji na umeme ni shida Tanzania nzima, serikali ni Kama ime-panic hajui la kufanya. Wananchi Wana hasira Sana juu ya upatikanaji wa maji na umeme.
CCM badala muwaze kuleta maendeleo, mnaangaika na upinzani, sasa mmegeukia maombi ya mvua[emoji1][emoji1] nani atasikiliza Sara zenu.
CCM badilikeni
Mbowe yupo ndani Ila tumepata natural calamaties,,CCM wamepanic[emoji1]Nchi ina maziwa matatu makubwa, mito kibao eti bado wana uhaba wa maji na umeme, huyu mama viatu vya urais ni vikubwa kwake hilo halina ubishi. kikubwa anachoweza ni kuzurura kuomba omba misaada. Kazi kama kazi hawezi kabisa imemshinda......inakuwaje uamsho waachiwe eti Mbowe ndio awekwe ndani??? yale yale ya babu Seya...MBOWE SIO GAIDI.
kwa hiyo ilikuwa kosa kubwa mno kuombea corona itoke Tanzania ilikuwa ni pure kukwepa uwajibikaji na kujificha kwenye imani kwa serikali ya awamu ya tano.Hakuna jambo baya kama kukwepa uwajibikaji na kujificha kwenye imani...
Fuso umesema. Ule uchaguzi uliopita wenyewe ni chukizo mbele za Mungu. Kuna damu ziko mbele ya Mungu zinalia. watoto walioachwa yatima na baba zao kuchukuliwa na wasiojulikana wanalia; Na mengine mengi. Kwanza Mungu hasasikii wenye dhambi mpaka hapo watakpotubu.Serikali ya CCM inatakiwa kutubu madhambi yao ili Mwenyezi Mungu ili ashushe neema bila hivyo tunarudi kule kule mgawao wa maji na umeme, kuoga kwa zamu waliooga asubuhi jioni wasioge.. Umeme wakati wa taarifa ya habari tu - wenye viwanda vya kuchomelea na Saloon tangazeni maumivu.
Umesahau nzigeCCM waliamini kabisa kuwa kuwafunga wapinzani especially Mbowe, kutadidimiza upinzani na CCM itatawala kwa raha.
Mungu si athumani, umetokea ukame, maji na umeme ni shida Tanzania nzima, serikali ni Kama ime-panic hajui la kufanya. Wananchi Wana hasira Sana juu ya upatikanaji wa maji na umeme.
CCM badala muwaze kuleta maendeleo, mnaangaika na upinzani, sasa mmegeukia maombi ya mvua[emoji1][emoji1] nani atasikiliza Sara zenu.
CCM badilikeni