Tutende wema; hili la umeme na maji ni pigo sana kwa CCM

Tutende wema; hili la umeme na maji ni pigo sana kwa CCM

Nchi ina maziwa matatu makubwa, mito kibao eti bado wana uhaba wa maji na umeme, huyu mama viatu vya urais ni vikubwa kwake hilo halina ubishi. kikubwa anachoweza ni kuzurura kuomba omba misaada. Kazi kama kazi hawezi kabisa imemshinda......inakuwaje uamsho waachiwe eti Mbowe ndio awekwe ndani??? yale yale ya babu Seya...MBOWE SIO GAIDI.
Inashangaza sn sn.Yani inachekeshaaa
 
Soma Mambo ya nyakati 2 7:15-16
Nikifunga mbingu ili mvua isinyeshe, nami nikiamuru panzi waile nchi, nami nikileta ugonjwa hatari miongoni mwa watu wangu, 14 na watu wangu ambao wameitwa kwa jina langu+ wakijinyenyekeza+ na kusali na kuutafuta uso wangu na kuacha njia zao ovu,+ ndipo nitakaposikia kutoka mbinguni na kuwasamehe dhambi yao na kuiponya nchi yao.+
ubarikiwe mkuu.
 
Nchi ina maziwa matatu makubwa, mito kibao eti bado wana uhaba wa maji na umeme, huyu mama viatu vya urais ni vikubwa kwake hilo halina ubishi. kikubwa anachoweza ni kuzurura kuomba omba misaada. Kazi kama kazi hawezi kabisa imemshinda......inakuwaje uamsho waachiwe eti Mbowe ndio awekwe ndani??? yale yale ya babu Seya...MBOWE SIO GAIDI.
Hivi mtu aliyepata madaraka miezi 8 tu anaweza pewa lawama kwa kukosekana kwa miundo mbinu ya maji na akaachwa aliyekaa madarakani miaka 5?
Acheni chuki kwa mama huyu.
 
CCM badilikeni
Abadan asilani! CCM taenda kubadilikia Kaburini
damedamn.png
 
kwa hiyo ilikuwa kosa kubwa mno kuombea corona itoke Tanzania ilikuwa ni pure kukwepa uwajibikaji na kujificha kwenye imani kwa serikali ya awamu ya tano.
Nisiwe nahukumu ila acha ujumbe ujipambanue wenyewe
 
Kwa hiyo Mbowe angeachiwa afanye atakavyo tusingekuwa na ukame? Mbowe ana usafi gani binfasi mbele za Mungu, maovu mangaoi kayafanya na yanajulikana?

Unafahamu baa la njaa la mwaka 1972 na 1981/82 wakati wa Nyerere? Je, Nyerere hakuwa makamilifu machoni kwenu?

Acheni kuingiza ujinga wa kisiasa kwenye majanga ya asili. Hakuna mwanasiasa anaye influence majanga ya asili hutokea kwa sababu zake!

Kenya kuna drought ya kutisha nako CCM inatawala? Ujinga mzigo!
 
CCM waliamini kabisa kuwa kuwafunga wapinzani especially Mbowe, kutadidimiza upinzani na CCM itatawala kwa raha.

Mungu si athumani, umetokea ukame, maji na umeme ni shida Tanzania nzima, serikali ni Kama ime-panic hajui la kufanya. Wananchi Wana hasira Sana juu ya upatikanaji wa maji na umeme.

CCM badala muwaze kuleta maendeleo, mnaangaika na upinzani, sasa mmegeukia maombi ya mvua[emoji1][emoji1] nani atasikiliza Sara zenu.

CCM badilikeni
CCM,CCM ,kila jambo na zama zake
 
Back
Top Bottom