Tutofautishe bei ya mazao, wingi wa mavuno na kuuza mazao nje ya nchi

U mwongo na unapanga uongo. Sentensi zako mbili zinadhihiri. Hakutakuwa na njaa kwa sababu watu walilima na wana endelea kulima. Mazao yalipungua kwa sababu ya kupanda kwa bei ya mbolea na wakulima hawakumudu. Ukweli ni kuwa hakuna mazao ya kutosha kwa sababu ya kupungua kwa mvua na kupanda kwa mbolea. Kusafirisha mazao nje kutamshawishi mkulima kuuza yote na kuishiwa chakula. Watu wa mjini shamba lao ni mifuko yao, ongezeko la bei haliwasumbui na wafanya biashara wa kuleta chakula wapo. Tatizo ni wakulima watakao hitaji chakula na pesa hawana. Huna uthibitisho wa maghala ya serikali kuwa na akiba.
 
Ananufaika mkulima. Yani bei kubwa ipo shambani.
Ananufaika kwa muda, baadae anaenda kununua mjini mara mbili ya bei aliyo uzia. Mkulima wa Tanzania ana shida, anahitaji msaada. Mnufaika ni mfanya biashara.
 
Ananufaika kwa muda, baadae anaenda kununua mjini mara mbili ya bei aliyo uzia. Mkulima wa Tanzania ana shida, anahitaji msaada. Mnufaika ni mfanya biashara.
Aisee...sijui upo dunia gani....usikariri ndugu
Mkulima akivuna kitu cha kwanza anatoa mbegu za kupanda msimu ujao, mbili anatoa chakua kitachomtosha hadi mavuno yajayo, ndio anauza kinachobaki.
 
Hahahha usipaniki ndugu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…