ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Kufunga ni Ibada ambao Mungu anakuwa karibu kujibu ombi na dua za mja wake
Kufunga ni kujinyima
Kufunga ni kutoa sadaka sana Kwa wahitaji
Kufunga ni Siri kati ya anae funga na Muumba
Kujitangaza na kujionyesha ati unafunga ni unafiki na dhambi
Unakuta mtu amefunga mchana anatembea na bakora kuwa hapa wasiofunga
Sasa huyu kafunga au unafiki?
Muda wa mfungo ndo unautumia kuhukumu wasiofunga
Mtu anafunga mchana, usiku anafungulia na kula kama panya
Anafungulia na kutumia sigara na pombe anakwambia Toka mchana sijavuta nilimfunga
Ukikuta anafuturu unatashangaa
Meza imejaa mavyakula ya mtu anakula kama anahamia Sudan
Meza ina uji, mtori, wali wa Nazi, pilau, nyama, samaki n.k yaani mavyakula mengi
Wakati Kuna mayatima hawajala
Kipindi cha mfungo hupaswi kula sana
Tuheshimu Ibada ya kufunga
Kufunga ni kujinyima
Kufunga ni kutoa sadaka sana Kwa wahitaji
Kufunga ni Siri kati ya anae funga na Muumba
Kujitangaza na kujionyesha ati unafunga ni unafiki na dhambi
Unakuta mtu amefunga mchana anatembea na bakora kuwa hapa wasiofunga
Sasa huyu kafunga au unafiki?
Muda wa mfungo ndo unautumia kuhukumu wasiofunga
Mtu anafunga mchana, usiku anafungulia na kula kama panya
Anafungulia na kutumia sigara na pombe anakwambia Toka mchana sijavuta nilimfunga
Ukikuta anafuturu unatashangaa
Meza imejaa mavyakula ya mtu anakula kama anahamia Sudan
Meza ina uji, mtori, wali wa Nazi, pilau, nyama, samaki n.k yaani mavyakula mengi
Wakati Kuna mayatima hawajala
Kipindi cha mfungo hupaswi kula sana
Tuheshimu Ibada ya kufunga