Tutumie fursa ya vita vya Magharibi kuzalisha na kuwauzia bidhaa zaidi

Tutumie fursa ya vita vya Magharibi kuzalisha na kuwauzia bidhaa zaidi

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kutumia fursa ni elimu, kipaji au hulka ya mtu?. Wazungu wote sasa hivi wanapingana wenyewe kwa wenyewe hali inayopungaza uzalishaji na masoko yao kiuchumi. Lakini Ni ajabu kubwa kuona waafrika badala ya kutumia fursa hii kuungana na kuzalisha, kuuziana na kuwauzia wazungu tunawaza kutekana, kupigana na kuibiana kura kwenye chaguzi.

Tungeacha kila kitu na kutumia mwanya wa wazungu kupigana wenyewe kwa wenyewe katika kuzalisha zaidi ili kupunguza mwanya wa kiuchumi kati ya wazungu na Waafrika.

Huu ni wakati wa kuahilisha na kubadilisha vipaumbele vyetu kama vile Uchaguzi, Ujenzi na miradi mingine ambayo haileti matunda ya haraka Kiuchumi ili kuzalisha zaidi na kuwauzia wazungu chakula na nguo za kuvaa ili wapigane zaidi.

Natamani kusia hakuna Uchaguzi wala ujenzi wa sijui nini na fedha zote za uchaguzi na ujenzi zitatumika kwenye kununua na kugawa matrekta kila kijiji, kuchimba mabwawa ya umwagiliaji na kugawa pembejeo ili tuzalishe ngano, ndizi, pamba, kahawa, matunda nk kwa wingi na kusafirisha huko wanakopigana na kuwekeana vikwazo.

Lakiniii, loooh! utasikia Msigwa kahamia kule, jamaa anachochea Mamasai Ngorongoro, nani yule katekwa na kupigwa sana. TAMISEMI imetoa tarehe ya uchaguzi. badala ya kuwaza fursa. Shame!
 
Kutumia fursa ni elimu, kipaji au hulka ya mtu?. Wazungu wote sasa hivi wanapingana wenyewe kwa wenyewe hali inayopungaza uzalishaji na masoko yao kiuchumi. Lakini Ni ajabu kubwa kuona waafrika badala ya kutumia fursa hii kuungana na kuzalisha, kuuziana na kuwauzia wazungu tunawaza kutekana, kupigana na kuibiana kura kwenye chaguzi. Tungeacha kila kitu na kutumia mwanya wa wazungu kupigana wenyewe kwa wenyewe katika kuzalisha zaidi ili kupunguza mwanya wa kiuchumi kati ya wazungu na waafrika.

Huu ni wakati wa kuahilisha na kubadilisha vipaumbele vyetu kama vile uchaguzi, ujenzi na miradi mingine ambayo haileti matunda ya haraka kiuchumi ili kuzalisha zaidi na kuwauzia wazungu chakula na nguo za kuvaa ili wapigane zaidi..

Natamani kusia hakuna uchaguzi wala ujenzi wa sijui nini na fedha zote za uchaguzi na ujenzi zitatumika kwenye kununua na kugawa matrekta kila kijiji, kuchimba mabwawa ya umwagiliaji na kugawa pembejeo ili tuzalishe ngano, ndizi, pamba, kahawa, matunda nk kwa wingi na kusafirisha huko wanakopigana na kuwekeana vikwazo.

Lakiniii, loooh! utasikia Msigwa kahamia kule, jamaa anachochea wamasai ngorongoro, nani yule katekwa na kupigwa sana.., tamisemi imetoa tarehe ya uchaguzi.... badala ya kuwaza fursa. shame
Just because wanapigana haimaanishi hawafanyi kazi maeneo mengine.
Bado wanawapa misaada wakati wako kwneye vita, wanawezaje?

Mna safari ndefu sana kufikia walipo. But linawezakana ila litachukua next years
 
Just because wanapigana haimaanishi hawafanyi kazi maeneo mengine.
Bado wanawapa misaada wakati wako kwneye vita, wanawezaje?

Mna safari ndefu sana kufikia walipo. But linawezakana ila litachukua next years
Kwani ulaya ilikuwa haiagizi vitu kutoka Urusi na Ukraine? Unadhani uzalishaji pale Ujerumani umebakia vilevile? unadhani ulaya hakuna mfumko wa bei? hawataki vitu vya bei rahisi kutoka kwingine? kama wewe umelala wengine nchi nyingine kwao ni fursa.
 
History ya form three inakudanganya dogo.........U.S.A vs Europe country
 
Marekani na Canada hawapigani
 
Kwani ulaya ilikuwa haiagizi vitu kutoka Urusi na Ukraine? Unadhani uzalishaji pale Ujerumani umebakia vilevile? unadhani ulaya hakuna mfumko wa bei? hawataki vitu vya bei rahisi kutoka kwingine? kama wewe umelala wengine nchi nyingine kwao ni fursa.
Haujabaki vile vile lakini haujayumba kihasihiko unachosema wewe.
Ulaya kusimamishanuchumi wao ni jambo la muda mfupi.
Tz kufikia uzalishaji huo utachukua muda gani? Hapa ndani tu tunashindwa kuji sustain?

Nchi ijipange, ku supply mahitaji ya ulaya is no joke
 
eti nawewe umechangia uzi
Sasa kwa akili yako utaweza kumzidi mzungu kwa maendeleo acha uzwazwa mtu anakukopesha na yupo kwenye vita miaka nenda rud watu wanazaliwa wanakufa wazungu wapo kwenye vita......ubunusi shida sana
 
Back
Top Bottom