Tutumie Jumapili ya leo kuwaombea viongozi wetu kama maandiko yanavyotuagiza

Tutumie Jumapili ya leo kuwaombea viongozi wetu kama maandiko yanavyotuagiza

ndo vile

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2023
Posts
443
Reaction score
296
Timoteo 2 mstari 1 na 2

Basi kabla ya mambo yote ninasihi maombi,dua,sala na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu wote ,kwa ajili ya wafalme na watu wenye mamlaka,ili tupate kuishi maisha ya utulivu na amani katika uchaji wa Mungu na ustahivu wote.
 
Back
Top Bottom