Tutumie muda wetu mwingi kuikosoa Bajeti, kushauri ili kuiboresha na siyo kuisifia kinafiki na kwa kujipendekeza

Tutumie muda wetu mwingi kuikosoa Bajeti, kushauri ili kuiboresha na siyo kuisifia kinafiki na kwa kujipendekeza

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tayari naanza kusikia Waandishi wa Habari (hasa Watangazaji wa Redio na Runinga) wanaanza Kuipongeza huku Wakimsifia Mtu (Mteuaji) wakati Wanachokipongeza ni Direct Responsibility ya Government kwa Wananchi wake ila Kuikosoa na Kushauri ndiyo Jukumu letu Kubwa ili basi kabla ya Kupitoshwa Kwake iwe angalau kwa 85% imekidhi matakwa ya Watanzania wengi wenye Changamoto za Kiuchumi na Kijamii.

Najua (tena nikiwa na uhakika) kuwa tayari kuna baadhi ya News Rooms (hasa Wahariri) zile Bahasha za Khaki zimeshapenyezwa ili Kuisifu Bajeti ya Kuuma sana na Kupuliza kidogo mpaka Kukufuru na kwamba kwa wale ambao watalitekeleza kwa Kiwango cha Kutukuka kabisa basi huenda katika Ulimwengu wa Uteuzi kwa Nafasi mbalimbali nao Wakakumbukwa ili Maisha yao yabadilike ghafla.
 
Tayari naanza kusikia Waandishi wa Habari ( hasa Watangazaji wa Redio na Runinga ) wanaanza Kuipongeza huku Wakimsifia Mtu ( Mteuwaji ) wakati Wanachokipongeza ni Direct Responsibility ya Government kwa Wananchi wake ila Kuikosoa na Kushauri ndiyo Jukumu letu Kubwa ili basi kabla ya Kupitoshwa Kwake iwe angalau kwa 85% imekidhi matakwa ya Watanzania wengi wenye Changamoto za Kiuchumi na Kijamii.

Najua ( tena nikiwa na uhakika ) kuwa tayari kuna baadhi ya News Rooms ( hasa Wahariri ) zile Bahasha za Khaki zimeshapenyezwa ili Kuisifu Bajeti ya Kuuma sana na Kupuliza kidogo mpaka Kukufuru na kwamba kwa wale ambao watalitekeleza kwa Kiwango cha Kutukuka kabisa basi huenda katika Ulimwengu wa Uteuzi kwa Nafasi mbalimbali nao Wakakumbukwa ili Maisha yao yabadilike ghafla.
Hatuna wachambuzi wakweli kila mwaka ni kusifia tu, hatuna critics wazuri Wachumia tumbo, na viongozi wetu wanapenda sifa hawataki waambiwe mapungufu yao
 
Bajeti ninaikubali upande wa kuondoka mishahara kwa waliokuwa ded, Makatibu wakuu nk, Kuendelea kulipwa wakati nafasi hizo walishanyanganywa.
2. Maafisa ugani na maafisaelimu kata kuuziwa pikipiki walizokiuwa wamepewa
3. Kufuta Ada ya kidato cha tano na sita ila wafute Ada hadi chuo kikuu.
4. Wakurugenzi wa Halmashauri na taasisi mbalimbali wafanyiwe Usaili kabla ya kupata ajira husika.
5. Wastaafu kulipwa 33% ifutwe wapi per 100%
 
Marehemu Hornet Ngowi alijua kuchambua vitu vya namna hii kiuchumi kabisa bila kuwa biased.

Watu wanataka teuzi, unafiki mwingi, sidhani kama kuna wa kupinga, leo hii hata wale tulidhani wapo critical kidogo kina Peter Msigwa wamekuwa hovyo tu.
 
Tayari naanza kusikia Waandishi wa Habari (hasa Watangazaji wa Redio na Runinga) wanaanza Kuipongeza huku Wakimsifia Mtu (Mteuaji) wakati Wanachokipongeza ni Direct Responsibility ya Government kwa Wananchi wake ila Kuikosoa na Kushauri ndiyo Jukumu letu Kubwa ili basi kabla ya Kupitoshwa Kwake iwe angalau kwa 85% imekidhi matakwa ya Watanzania wengi wenye Changamoto za Kiuchumi na Kijamii.

Najua (tena nikiwa na uhakika) kuwa tayari kuna baadhi ya News Rooms (hasa Wahariri) zile Bahasha za Khaki zimeshapenyezwa ili Kuisifu Bajeti ya Kuuma sana na Kupuliza kidogo mpaka Kukufuru na kwamba kwa wale ambao watalitekeleza kwa Kiwango cha Kutukuka kabisa basi huenda katika Ulimwengu wa Uteuzi kwa Nafasi mbalimbali nao Wakakumbukwa ili Maisha yao yabadilike ghafla.
Kumpongeza kinafiki ndio kupi? Kwani kumpongeza kuna shida? We intarahamwe una shida sana na hasa baada ya kuona mama kafunika legacy..

Baada ya huo utangulizi,mimi kama mchumi ushauri wangu ni kwamba,bajeti ya kilimo imeonhezwa na sehemu kubwa itaenda kwenye ruzuku za mbolea,pembejeo na mbagu na kilimo cha umwagiliaji..

Sasa Serikali Iandae sectorial linkages haraka Sana hasa viwanda vya kuchakata Mazao ya kilimo kwa kutoa incentives za kikodi hata Kwa miaka 3 Kwa watakaoamzisha viwanda vya kuongeza thamani Mazao..

Pili , Serikali itafute masoko haraka Sana ya Mazao yatakayozalishwa hasa Yale ya kimkakati kwa ajili ya exports,hapa wanaweza ingia makubaliano na Nchi na Nchi na kuyafikia masoko Asia,Afrika na Ulaya..

Wakifeli tuu hapo pesa itakayowekezwa itapotea mazima..

Mwisho naipongeza Wizara kwa kuachana na sera za contractionary kwa kuamua kuongeza inflation target kutoka 3-5% hadi 7% kwa sababu sio kila mfumuko wa bei una hasara bali mfumuko wa bei Kati ya 5-8% huwa unakuza uchumi zaidi.
 
Kumpongeza kinafiki ndio kupi? Kwani kumpongeza kuna shida? We intarahamwe una shida sana na hasa baada ya kuona mama kafunika legacy..

Baada ya huo utangulizi,mimi kama mchumi ushauri wangu ni kwamba,bajeti ya kilimo imeonhezwa na sehemu kubwa itaenda kwenye ruzuku za mbolea,pembejeo na mbagu na kilimo cha umwagiliaji..

Sasa Serikali Iandae sectorial linkages haraka Sana hasa viwanda vya kuchakata Mazao ya kilimo kwa kutoa incentives za kikodi hata Kwa miaka 3 Kwa watakaoamzisha viwanda vya kuongeza thamani Mazao..

Pili , Serikali itafute masoko haraka Sana ya Mazao yatakayozalishwa hasa Yale ya kimkakati kwa ajili ya exports,hapa wanaweza ingia makubaliano na Nchi na Nchi na kuyafikia masoko Asia,Afrika na Ulaya..

Wakifeli tuu hapo pesa itakayowekezwa itapotea mazima..

Mwisho naipongeza Wizara kwa kuachana na sera za contractionary kwa kuamua kuongeza inflation target kutoka 3-5% hadi 7% kwa sababu sio kila mfumuko wa bei una hasara bali mfumuko wa bei Kati ya 5-8% huwa unakuza uchumi zaidi.
Nilitaka 'nikufyatukie' kwa kukujibu ila baadae nikatuliza 'Mzuka' baada ya Kupendezewa na Madini yako ya maana, mazuri na niliyoyapenda ambayo Umeyaandika hapa.

Una IQ kubwa mno na nimekuelewa.
 
Back
Top Bottom