Tutumie tu akili ya kawaida hivi Yesu Kristo ana uhusiano gani na Mchaga, Mmakonde, Msukuma, Mhaya, Mzaramo, Mjita n.k.

Tutumie tu akili ya kawaida hivi Yesu Kristo ana uhusiano gani na Mchaga, Mmakonde, Msukuma, Mhaya, Mzaramo, Mjita n.k.

Alikuja kuupatanisha na nafasi ya Mungu, yaaani Mungu alikuwa ndani ya Yesu akiupatanisha ulimwengu na mfsi yake, ili tuhesabiwe haki.

Ni mzaliwa wa kwanza kati ya ndugu wengi.

Ni limbuko la maungamo yetu, ili ungamo lako lisikilizwe na Mungu, lazima lipite kwa Yesu.

Ana funguo za mauti na kuzima.
Wewe una undugu na unao-share nao D N A.

Huna uhusiano wowote na Yesu na ndio maana mpaka sasa hajawahi kujibu maombi yako.
 
Mmetuchosha na hoja zenu kuhusu Yesu, jueni ya kuwa yule ni mwana wa Mungu. Mungu alimtoa ili kila mtu amuamini, asiyemuamini atahukumiwa
 
Mmetuchosha na hoja zenu kuhusu Yesu, jueni ya kuwa yule ni mwana wa Mungu. Mungu alimtoa ili kila mtu amuamini, asiyemuamini atahukumiwa
Hivi Kwa akili ya kawaida mtu akishabadilika na kuwa skeleton atawezaje kuwa na uhai tena?
 
Nauliza tu mna uhusiano gani na Yesu?
Ukisikia biblia inasema watu wa mtaifa au mataifa ni kutia ndani wazaramo na wote unaoweza kuwataja
Hata wayahudi wapo wa kimakonde pia,
Siijui biblia lakini ukisoma warumi 9 ukasoma na warumi 28 utagundua tunao uhusiano na yesu
 
Back
Top Bottom