Nasikitika kuona watu wengi wanachangia maada pasipo kupima uzito wa jambo wala kufanya tathmini yeyote ile na hili ni tatizo kubwa sana kwa sisi watanzania tunapenda kukurupuka sana na kujifanya wajuaji.ujinga ni mama wa busara na ili uweze kuwa na hekima na busara yatakiwa tuwe na subira na kupima mawazo kabla hatujawasilisha sisi ndo wazazi na wazeee wa baadaye.change today for the better tommorow sio lazima kila maada uchangie ukijiona haupo thabiti kuchangia kitu ambacho hakina uzito .tubadilike,
nakubaliana na ww mkuu hua ni kweli inakera sanaNAkubaliana na herbsman. ni kweli kumekuwa na namna fulani ya ujibuji ambao hata anayejibu akijibiwa namna hiyo naamini hataweza furahia, please kama unafkiri huwezi kumshauri mtu,SI LAZIMA.waache wenye moyo wa kujibu washauri. si lazima tukuone na wewe eti umeandika,hata kama ni pointless,ili uonekane,SI JAMBO JEMA HATA KIDOGO
OFCOURSE!kuna wengine wanaleta mada za utani/ambazo si za msingi, nakubali kwa hilo,lakini wengi humu ndani huleta maada ambazo zinawatatiza,anaweza akashindwa kuielezea kama wengi wetu tunavyotaka, but isiwe sababu ya kumuandikia utumbo, eti mada gani, oooh hueleweki. Acha waliomuelewa wamshauri,kama hujamuelewa ni wewe---, isituinclude,wengine wanaweza kufikiri kuwa flani alimaanisha kitu flani ila ameshindwa tu kueleza vizuri
Harafu kitu kingine kinachonistaajabisha,nimejaribu kufuatilia,majibu ya namna hiyo, mengi hutoka kwa members ambao wana muda mrefu tu humu ndani. Utakuta mtu amejibu jambo la ajabu,ila ukiangalia,ni senior member,ameshatuma post karibu 20000, hapo ndo unashindwa kuamini,kuwa ilitakiwa atufundishe na sie wageni kuchangia kibusara,yeye ndo destroyer
KITU KINGINE,UTAKUTA IMETOLEWA MAADA,MTU ANAHITAJI USHAURI,THEN WATU BAADA YA KUMSHAURI,WANAANZA KUSALIMIANA,oooh mara flani mbona huonekani,mara nilikuona jana umelewa, aisseee! SI UUNGWANA HATA KIDOGO,mtafute kwa simu,muandikie meseji kwa inbox yake au mtafute kwa namna nyingine na si kukosa ustaarabu na kuharibu maada,ili tu uonekane umemsalimia flani,BADILIKA BWANAAAAA!
Una mawazo mazuri ila kauli zako ndo umeonyesha wewe ndo mtanzania halisi na umekuruka kabisaaaaaaa....jitahidi wakati mwingine uje na kauli na ushauri wa kistaarabu na si kwa maneno km niliyoya BOLD. Tafakari kabla ya kuandika au kusema.Nasikitika kuona watu wengi wanachangia maada pasipo kupima uzito wa jambo wala kufanya tathmini yeyote ile na hili ni tatizo kubwa sana kwa sisi watanzania tunapenda kukurupuka sana na kujifanya wajuaji.ujinga ni mama wa busara na ili uweze kuwa na hekima na busara yatakiwa tuwe na subira na kupima mawazo kabla hatujawasilisha sisi ndo wazazi na wazeee wa baadaye.change today for the better tommorow sio lazima kila maada uchangie ukijiona haupo thabiti kuchangia kitu ambacho hakina uzito .tubadilike,
Mi sisemi neno Kongosho...jamaa alikuwa na mawazo mazuri ila kauli ndo mbaya.TumuombeeKwa hiyo wewe ndo una akili kuliko watanzania wote?
Unaowadhania wako hivyo na wewe uko hivyo hivyo
Ila wajinga wapo ili werevu muonekane.
Nasikitika kuona watu wengi wanachangia maada pasipo kupima uzito wa jambo wala kufanya tathmini yeyote ile na hili ni tatizo kubwa sana kwa sisi watanzania tunapenda kukurupuka sana na kujifanya wajuaji.ujinga ni mama wa busara na ili uweze kuwa na hekima na busara yatakiwa tuwe na subira na kupima mawazo kabla hatujawasilisha sisi ndo wazazi na wazeee wa baadaye.change today for the better tommorow sio lazima kila maada uchangie ukijiona haupo thabiti kuchangia kitu ambacho hakina uzito .tubadilike,