Tuulinde mchango wa Magufuli kwenye bwawa la Nyerere. Liitwe bwawa la Nyerere na Magufuli

Tuulinde mchango wa Magufuli kwenye bwawa la Nyerere. Liitwe bwawa la Nyerere na Magufuli

FYATU

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2011
Posts
5,567
Reaction score
4,683
Kwa taarifa nilizonazo mpaka sasa zimeshawashwa mashine sita kati ya tisa zinazotarajiwa.

Hii ni hatua kubwa tumepiga kama nchi na ni vizuri tukaacha vizazi vijavyo nao kuutambua mchango mkubwa wa John Pombe Magufuli.

Na kwa kuwa yeye ndiye aliyependekeza jina la Nyerere basi nasi tuongeze hapo jina lake pia bila kuondoka like la Nyerere kama ishara ya kuutambua mchango wake mkubwa.Natoa hoja.
 
Haya mambo ya miundombinu ya nchi kupewa majina ya watu binafsi naona kama ni ushirikina na kuabudu mizimu tu.
Mbona siku za nyuma haya mambo hayakuwepo? Mfano hapa Dar es Salaam Uwanja wa ndege uliitwa tu Dar es Salaam,barabara iliitwa pugu rd,ya mandela iliitwa port access lakini leo kila kitu Nyerere, Mkapa,Kikwete sijui Magufuli,kumbuka siku zote sifa ndiyo inaleta jina na wala siyo jina linaloleta sifa maana yake watu watakukumbuka na kuendelea kukutaja kwa yale uliyoyatenda.
 
Back
Top Bottom