Tuulizane juu ya usajili uliokamilika mpaka sasa Kati ya simba na Yanga

Tuulizane juu ya usajili uliokamilika mpaka sasa Kati ya simba na Yanga

Kutoka Newcastle mpaka Yanga, kweli Uto...mmeokota dodo chini ya mpera.
Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.
Sasa msitegemee Yanga awe anafanya kazi ya kuwabeba Ili msishuke Daraja kama Walivyo fanya 1989. Acheni siasa fanyeni usajili, msimu ujao ni mgumu kuliko huu ulio Isha.
Mtakuja kumlaumu Karia bila Sababu
 
Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.
Sasa msitegemee Yanga awe anafanya kazi ya kuwabeba Ili msishuke Daraja kama Walivyo fanya 1989. Acheni siasa fanyeni usajili, msimu ujao ni mgumu kuliko huu ulio Isha.
Mtakuja kumlaumu Karia bila Sababu
Teh teh 🤣🤣 redio unazingua...
 
Na uko serious kabisa kuwa umetoa hoja,dah kweli afya ya akili ni shida sana kwa wana uto
Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.
Sasa msitegemee Yanga awe anafanya kazi ya kuwabeba Ili msishuke Daraja kama Walivyo fanya 1989. Acheni siasa fanyeni usajili, msimu ujao ni mgumu kuliko huu ulio Isha.
Mtakuja kumlaumu Karia bila Sababu
 
Na uko serious kabisa kuwa umetoa hoja,dah kweli afya ya akili ni shida sana kwa wana uto
Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.
Sasa msitegemee Yanga awe anafanya kazi ya kuwabeba Ili msishuke Daraja kama Walivyo fanya 1989. Acheni siasa fanyeni usajili, msimu ujao ni mgumu kuliko huu ulio Isha.
Mtakuja kumlaumu Karia bila Sababu
 
Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.
Sasa msitegemee Yanga awe anafanya kazi ya kuwabeba Ili msishuke Daraja kama Walivyo fanya 1989. Acheni siasa fanyeni usajili, msimu ujao ni mgumu kuliko huu ulio Isha.
Mtakuja kumlaumu Karia bila Sababu
Mkuu anaechezea shilingi ni yule anaesajili mchezaji mwenye magoli 2 mechi 48 misimu miwili halafu anakwambia ubingwa wa klabu bingwa Afrika unanukia jangwani
 
Nanukuu Morrison goli 0 msimu 1" mwisho wa kunukuu.
Naomba nizungumzie upande wa michezo ya kimataifa msimu wa 2021/2022 kwa upande wa Simba, ilibebwa pakubwa sana na mchezaji Morrison.
Mechi ya Galaxy vs Simba magoli mawili ya Simba yalipatikana kwa mchango wa Morrison.
Mechi ya marudiano kwa Mkapa Simba walipata goli moja lilipatikana kwa mchango wa Morrison.

Mechi iliyofuatia ilikuwa dhidi ya red arrow, Simba walipata ushindi wa magoli matatu yaliyotokana ya jitihada za Morrison.
Mechi za makundi, Simba walianza na Mimosa na Morrison alichangia ushindi wa Simba. Mechi ya Berkane na USGN kwa Mkapa ni Morrison pia anahusika kwenye magoli ya Simba.
Mechi ya away dhidi ya USGN bila goli alilosawazisha Morrison Simba wasingefuzu robo fainali kwasababu wangemaliza wakiwa na point 9 tu.

Halafu Biligumana hakusajiliwa Yanga kwaajili ya kufunga kwasababu sio striker bali kiungo mkabaji.
Unatwanga tu maji kwenye kinu! Kamwe hawatakuelewa. Ukiona mpaka Mwenyekiti wao wa zamani aliwaita mbumbumbu, basi ujue shughuli ipo.

Wao bado wapo kwenye ule ushindani wa enzi za zamani wa kusajili kwa mihemko! Kumbe benchi la ufundi msimu huu, linasajili kwa ajili ya kuiongeza tu timu nguvu kwenye mashindano ya kimataifa.
 
Wameletewa mbeba maboksi na wamekenua hadi magego yote
 
Back
Top Bottom