Tuulizane juu ya usajili uliokamilika mpaka sasa Kati ya simba na Yanga

Kutoka Newcastle mpaka Yanga, kweli Uto...mmeokota dodo chini ya mpera.
Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.
Sasa msitegemee Yanga awe anafanya kazi ya kuwabeba Ili msishuke Daraja kama Walivyo fanya 1989. Acheni siasa fanyeni usajili, msimu ujao ni mgumu kuliko huu ulio Isha.
Mtakuja kumlaumu Karia bila Sababu
 
Teh teh 🤣🤣 redio unazingua...
 
Na uko serious kabisa kuwa umetoa hoja,dah kweli afya ya akili ni shida sana kwa wana uto
 
Na uko serious kabisa kuwa umetoa hoja,dah kweli afya ya akili ni shida sana kwa wana uto
Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.
Sasa msitegemee Yanga awe anafanya kazi ya kuwabeba Ili msishuke Daraja kama Walivyo fanya 1989. Acheni siasa fanyeni usajili, msimu ujao ni mgumu kuliko huu ulio Isha.
Mtakuja kumlaumu Karia bila Sababu
 
Mkuu anaechezea shilingi ni yule anaesajili mchezaji mwenye magoli 2 mechi 48 misimu miwili halafu anakwambia ubingwa wa klabu bingwa Afrika unanukia jangwani
 
Nineamini JF siku hizi kuna mataahira mengi
Kile chuo cha kuzalisha mataahira kule Utopolo kinapiga kazi sana, wahitimu wake wanaonyesha umahiri mkubwa katika taaluma yao hapa jukwaani
 
Unatwanga tu maji kwenye kinu! Kamwe hawatakuelewa. Ukiona mpaka Mwenyekiti wao wa zamani aliwaita mbumbumbu, basi ujue shughuli ipo.

Wao bado wapo kwenye ule ushindani wa enzi za zamani wa kusajili kwa mihemko! Kumbe benchi la ufundi msimu huu, linasajili kwa ajili ya kuiongeza tu timu nguvu kwenye mashindano ya kimataifa.
 
Wameletewa mbeba maboksi na wamekenua hadi magego yote
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…