Tuungane ili tutumie hii fursa iliyopo

Tuungane ili tutumie hii fursa iliyopo

Lipijema

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2015
Posts
830
Reaction score
1,223
Habari wanajamii? Nimeonelea nikushirikishe kuhusiana na hiki kinachopatikana hapa nilipo.

Kwanza njna uenyeji takriban zaidi ya miaka 25 hapa kisiwani, hivyo basi ninao uwezo wa kukusanya samaki sato/ sangara na tukaweza kuzifikisha kwenye soko popote lilipo kutoka hapa kisiwani.

Samaki hawa hasa sato, nina uwezo wa kufanya conection na wavuvi tukawavua na kuwa ice then tukawafikisha sokoni, ni sato zenye ukubwa wa kuanzia inch 4 hadi 5 na nusu, wastani wa kati ya kg 2 hadi 5 kwa kila samaki.

Nimekosa mtaji tu kwa biashara hii, hivyo basi kama waweza kuwa na capital angalau 2m. twaweza kuwasiliana zaidi na ukafika kwangu tukaonyeshana hii fursa ukiwa kama umekuja kusavei na kubadilishana mawazo na ukipendezwa tunafanya kazi. Sina mengi.
 
Narekebisha ni ili= ila.
kusiwa= kisiwa
 
Haina maana kama unaficha ficha huo nao ni utapeli.
Endapo utajua ni utapeli, achana na hii inshu! Ukisoma vizuri na kunielewa ya kuwa sijazungumza suala la kutuma pesa, kabla ya yote nimezungumzia suala la kunitembelea na kufanya savei ya nilichozungumza, kwani kuja kuangalia mazingira hadi uje na cash ya capital!? Kwa huu umri nilionao wa miaka50+ Bado nikutapeli?
 
Endapo utajua ni utapeli, achana na hii inshu! Ukisoma vizuri na kunielewa ya kuwa sijazungumza suala la kutuma pesa, kabla ya yote nimezungumzia suala la kunitembelea na kufanya savei ya nilichozungumza, kwani kuja kuangalia mazingira hadi uje na cash ya capital!? Kwa huu umri nilionao wa miaka50+ Bado nikutapeli?
Utapeli una stages mbalimbali. Ya kwanza ni kujenga imani kwa mtapeliwa..!! Na vile vile matapeli wapo wa umri mbalimbali na wa hadhi mbalimbali..!! Kila kundi lina matapeli wanaoweza kuwapiga
 
Habari wanajamii? Nimeonelea nikushirikishe kuhusiana na hiki kinachopatikana hapa nilipo.

Kwanza njna uenyeji takriban zaidi ya miaka 25 hapa kisiwani, hivyo basi ninao uwezo wa kukusanya samaki sato/ sangara na tukaweza kuzifikisha kwenye soko popote lilipo kutoka hapa kisiwani.

Samaki hawa hasa sato, nina uwezo wa kufanya conection na wavuvi tukawavua na kuwa ice then tukawafikisha sokoni, ni sato zenye ukubwa wa kuanzia inch 4 hadi 5 na nusu, wastani wa kati ya kg 2 hadi 5 kwa kila samaki.

Nimekosa mtaji tu kwa biashara hii, hivyo basi kama waweza kuwa na capital angalau 2m. twaweza kuwasiliana zaidi na ukafika kwangu tukaonyeshana hii fursa ukiwa kama umekuja kusavei na kubadilishana mawazo na ukipendezwa tunafanya kazi. Sina mengi.
Naomba unichek mkuu tuwasilian 0683263330
 
Endapo utajua ni utapeli, achana na hii inshu! Ukisoma vizuri na kunielewa ya kuwa sijazungumza suala la kutuma pesa, kabla ya yote nimezungumzia suala la kunitembelea na kufanya savei ya nilichozungumza, kwani kuja kuangalia mazingira hadi uje na cash ya capital!? Kwa huu umri nilionao wa miaka50+ Bado nikutapeli?
Tatizo la kuficha location ni nn,we kua muazi kwan lazima wakutafute ww..kuna humu wanajitolea vitu vya muhimu kuzidi hizo kambare zako.
 
Samaki hawa hasa sato, nina uwezo wa kufanya conection na wavuvi tukawavua na kuwa ice then tukawafikisha sokoni, ni sato zenye ukubwa wa kuanzia inch 4 hadi 5 na nusu, wastani wa kati ya kg 2 hadi 5 kwa kila samaki
Uliona wapi samaki wa inch 4 hadi 5 akawa na uzito wa kilo 2 hadi 5. Haupo serious ndugu na pengine unenacho haukijui
 
Back
Top Bottom