Tuungane kufanya project hii

GOYA MNANDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
239
Reaction score
160
Naitwa salum nipo mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga mm ni mjasiliamali wa kati na najihusisha sana na kilimo cha mpunga kibiashara nalimia kilombelo sehem za mbingu , mngeta , chita nk

Leo nimekuja na wazo ambalo nimekua nalo kwa muda mrefu nilijaribu kufanya na adi sasa nafanya ila kwa ufanisi mdogo kutokana na kukosa connection platform nk ni wazo la kununua maeneo sehem za mkuranga kisemvule vikindu nk na kuandaa mazingira ya njia kwa maana ya barabara za mitaa nk na kuuza viwanja

Hii biashara sio kama haifanyik no inafanyika na watu wanafanya kila kukicha ninachokiona bado wengi wanafanya kwa mazoea hakuna promotion za kutosha ila hii miji ndio kimbilio la watu wengi kwa sasa binafs nimewah kutafuta maeneo kwa uku ekar 1 inauzwa kwa tsh milion 15 adi 25 ekar 1 ukipata viwanja vyenye kipimo cha feet au miguu 20 kwa 20 unapata viwanja 15 adi 20 faida inapatikana sema nakosa mtaji na mtu wa kufanya nae ila biashara hii ukipata mtu sahii na promotion nzur inalipa sana

Naitaji kufanya hii biashara aliopo tayar kuitaji maeneo na kufanya biashara hii 0716671919

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo murua sana hili..

Tafuta wenzako wenye nia na lego kama lwa kwako halafu mnaweza kununua kila mtu eka mbili (sijui bei) ina maana kama mpo kumi hizo ni eka 20 sasa msibubali ziwe mbali mbali hakikisheni ni eneo moja.baada ya hapo wekeni mtaalam wa kupima ardhi pamoja na kuweka bara bara eneo lote tenga eneo la makazi na biashara na muwe na plan ya eneo lote kwa maaana ya kila kiwwanja mjue mnajenga nyumba ya aina gani.

Baada ya hapa mnaweza kuingia bank sasa wakawapa hela kwa ajili ya hio project mkitumia hilo eneo kama dhamana yenu kwao na mkishajenga hiyo nyumba zitaleta sura mpya kwa eneo husika sasa mnaweza kupangisha na kuuza nyumba au viwanja amabvo hamjajenga bado. kumbuka kila kitu kinawezekana mkiwa na nia thabiti ya kule muendako. kama hutojali unaweza kuweka bei na wengitu tujitasmini kama tunaweza pata hata tuekari tuwili TIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…