Tuungane kuokoa Mbususu

Tuungane kuokoa Mbususu

Wasichana wajinga sana,anahongwa laki 7 anaishia kununua madude ya ajabu baadae anarudi kuendelea kutembeza mbususu
Kuna.mmmoja nilimshauri afungue goli ya kuuza ubuyu kwenye meza apime kwa kilo kwa lad ha tofauti kama walivyokuwa wanafanya kkoo.

Nkaona hajaelewa biashara nkampitisha kwenye biashara naongea na wafanyabiashara wqnavyoichambua kuanzia mtaji hadi faida yake, machimbo ya wapika ubuyu mzuri. Akailewa idea akasema tupate eneo, nkapambana tukapata...

Kuna siku tunajadili how much tuwekeze mwanzoni, akasema tununue less wig kwanza ndo tuwekeze kwenye ubuyu...

Nilitoa mshangao wa kiamtumbi bhaa! Unasemaje?
Wig halizungushi hela, wig unakuwa smart but mfukoni mweupe,
Hakunielewa na mpaka sasa kanuna,
 
Haijawahi pungua thaman maana watumiaji ndo ninyi wenyewe
Hiyo mbususu ambayo hapo awali ilikua unaweza tukia Hadi miiezi ili ule mbususu lkn leo imekua Kama sahani ya wali kwa ntilie ...yaani ni Kama kwenda kununua maji dukani.
 
Hiyo mbususu ambayo hapo awali ilikua unaweza tukia Hadi miiezi ili ule mbususu lkn leo imekua Kama sahani ya wali kwa ntilie ...yaani ni Kama kwenda kununua maji dukani.
Kikubwa mwenyenayo haimsumbui naomba wewe mwenye dudu usiumie.
 
Kikubwa mwenyenayo haimsumbui naomba wewe mwenye dudu usiumie.
Mtaelewa tu....kwanza mbususu zenyewe tumesha zikinai ....ndio maana hata baadhi ya wanaume wameanza kuwachoma matundu yasio stahili .... Mwisho wa siku mnaishia kuzaa kwa matatizo ...alafu mnajiona mpo sawa tu
 
Mtaelewa tu....kwanza mbususu zenyewe tumesha zikinai ....ndio maana hata baadhi ya wanaume wameanza kuwachoma matundu yasio stahili .... Mwisho wa siku mnaishia kuzaa kwa matatizo ...alafu mnajiona mpo sawa tu
Wala haina shida,,maana hata ulikotokea nae jinsi unayosema inakomolewa.BINADAMU WA KILEO KHERI YA HAYAWANI
 
Hata sisi tunaogopa wanetu wa kiume kuwa kama nyie, mmekua vilizi walalamikaji....mnaotaka mbususu za dezo dezo tu ukiombwa 30 nduki kukopa nipige tigo niwezeshe uje kutulalamikia
Mtoa mada halalamiki kuombwa pesa, ila anawahurumia waomba pesa kutumia miili yao vibaya na kujilemaza kupita kiasi.
Na hapo juu katoa ushauri wake...
 
Kweli tupu mkuu, kukuta kabinti ka miaka 20 tu, kanakosa vitu muhimu kwake kama mtoto wa kike.

Ila hii pia inachangiwa na wazazi pia, kama unajua una mtoto wa kike na yupo kwako jua kua kuna vitu atahitaji na hataweza kukuomba wewe mzazi. Mzazi inabidi ujiongeza kumoa walau kiasi kadhaa ajihudumie.

Sasa mzazi unakausha tu unategemea huyo mwanao pesa atoe wapi?? Mjengee msingi mwanao wa kutokua tegemezi.

Ila ukiona bidada anaishi kwa mizinga hilo sasa ni tatizo kubwa.
 
Mtoa mada halalamiki kuombwa pesa, ila anawahurumia waomba pesa kutumia miili yao vibaya na kujilemaza kupita kiasi.
Na hapo juu katoa ushauri wake...
Huyo Dada hajasoma post ili aelewe amasoma ili atetee ufujwaji wa mbususu yake ....so bro hata uongee Nini hamuwezi elewana
 
Habari zenu....! Leo sipo sawa kidogo baada ya kutafakari hili swala ..

Sijui ndio utandawazi au kuto kuwa mjuvi wa Mambo vya kutosha .

Hivi jamani kwa Nini tunatengeneza jamii ya wanawake ambao hawawezi kufanya kitu Hadi waliwe mbususu zao au Hadi waibe hela kwa jina la mbususu zao . Yaani mwanamke bila kuhusisha mbususu hawezi akafanya kitu chochote kile.

Kilicho nikera zaidi utakuta binti tu wa afya njema sio kilema na ananguvu za kutosha lakini hawezi kujinunulia pedi yake mwenyewe ...yaaani Hana uwezo wa kujitengenezea elfu tano yake halali kwa mwezi kwa ajiri ya kununua pedi. Na utakuta binti niwa 20s years. Yaani binti Hadi apigwe miti siku kabla ya period yake ndio apate hiyo hela ya pedi.

Kwa Nini tunatengeneza kizazi Cha kumfanya mwanamke awe tegemezi kiasi hiki .....? Kwa sisi wanaume yaani umezaa watoto wakike alafu Hawa watoto hawata kuwa na uwezo wa kujigaramia chochote kwa nguvu zao ila Hadi watumbukizwe maboo ndio wapate hela ya kulipa bills zao.

Na hii yote inachangiwa na jamii ya kiume kuendekeza kuwajari wanawake kupita kiasi hata sehemu zisizo na msingi na hii imepelekea wanawake kulemaaa na kujiona wao wapo spesho kwa ajiri ya kutumika ili wapate hela au watapeli ili wawe na hela ...jamani hii haiwezi ikawa jamii imara na kizazi makini.

Na nyie wanawake embu jifunzeni kutafuta pesa kwa njia halali kwa faida ya miili yenu na akiba ya pepo kwenu . Haiwezekani mtu hata ukitamani kula kuku tu yaani Hadi utafute mwanaume wa kukupiga mashine ndio ule hiyo kuku unaukosea mwili wako na muumba wako kisa tu ulitamani kula kuku ya elfu 15.

Wanawake jioneeni huruma embu anzeni kujishughilisha hata na vikazi vidogo mpate hela halali na yenye kukupa thamani yako na sio hivi vichenji vya bia vina zalilisha utu wenu.

Imefika kipindi kwa baadhi ya wanawake wachakarikaji ukweli kwa nguvu zao wanaonekana wa hovyo kwamba wamehongwa ndio maana wamepata vile vitu ....hapa usiwalaumu wale wanaosema hivo wa kujilaumu ni nyie maana wengi wenu mmefanya miili yenu ni duka .

Wanawake Kama kweli mnapenda heshima na kuheshimiwa embu anzani nyie kwanza kwa kulinda miili yenu na kujishugurisha Kama wanawake wa mataifa mengine ,tafuteni pesa zenu bila kuhusisha mbususu zenu ...jifunzeni kujigharamia vitu vidogo vidogo ....embu siku nyingine mwanaume akikusimamisha mada iwe ni kukuomba kuwa business partner wake na sio lini mtoke usiku akakununulie pombe na mishikaki alafu akunyandue kwa jina la dinner date huo ni upuuzi.

NB
Mwenye kusikia na asike .... La si hivyo ile kauli mbiu walio pambana nayo Bibi,na mama zenu kusema mwanamke sio chombo Cha starehe ndio mnaihalarisha Sasa......yaani mtatumika kwa starehe Hadi mbususu ziwakomae Kama vifuu vya nazi ....yaani mtachakazwa hasa kwa hizi chenji za bia .....yaani hizi hela mnazo ona mnatupiga kwa kuwahonga ni hela ambazo mkifanya kazi mtazipata bila kuzalilishwa halafu hizi ni chenji za baa zikikosa kwa kwenda ndio tunawapa nyie na nyie mnaona mmetupiga [emoji38][emoji38][emoji38] acheni ushamba.


Jitumeni hivi vi elfu 30 , 40 sio hela kubwa Kama mnavyo zani kwa mtu anaye fanya kazi ....waambieni na wadogo zenu na watoto zenu wafanye kazi

Wale watakao sema nalia sijui nimeachwa au Sina hela ya kumpa mwanamke nawaambia sio Simba wote wanapenda kuua swala wengine hawapendi ila ni njaa tu inawalazimu.

Although umeongea vizur but umeshindwa kuangalia other factors….

First wazungu wanasema ‘Your love can’t live without money’, Hapa lazma ulipie bills tofaut tofaut,pia umueke mwanamke wako vzur yaan ummaintain….. unasema cjui watafte kazi unaona ni jambo rahisi sana au?? af sio kila mtu anaeza kufanya kazi acha kuchosha watoto wawatu.

Pia nature ….huez pingana na nature we women tumeumbwa yaan viumbe tegemezi na hii inaonekana tangu huko mwanzo up to date.

Neverthless If u r good at something don’t use it for free… mfn najua kabisa haya mahusiano hayatanifikisha popote asa y nitumike for free kuna vitu unatakiwa uvilipie uvipate hapa kukupa free ni kuharib resources

Pia katika sijui kujamiiana ili mwanamke aridhike yaan n process ndeefu sana ambayo wanaume kwa kipind kiref wameshindwa … yaan mwanamke anaishia kukupa raha ww tu asa y asiombe hela akajipooze asee?!!

Hoja yako n nzuri ila kunq factor umeshindwa kuziangalia.
 
Kwani sie tunaotumia miili yetu tumesema tunapata nayo tabu jamani? Yani mnatuhurumia sie kutoambwa serious???
Yaah mnapata tabu sana, ndio maana kila leo mnahamasishana kutafuta pesa muache kumtegemea mwanaume kwa kila kitu lakini kwa bahati mbaya sana hizo mambo huwa zinashindikana kwa hujma za ninyi wenyewe kwa wenyewe.

Imagine mtu anategea apigwe mtu ndo apate pesa, bad enough haijalishi ni mwanaume wa namna gani ila tu alipwe pesa.
 
Huyo Dada hajasoma post ili aelewe amasoma ili atetee ufujwaji wa mbususu yake ....so bro hata uongee Nini hamuwezi elewana
Tusikate tamaa mkuu, tumueleweshe taratibu na iwe faida kwake na kizazi chake.

Ngono ni starehe ukiigeuza biashara lazma uumie haijalishi ni jinsia gani.
 
Yaah mnapata tabu sana, ndio maana kila leo mnahamasishana kutafuta pesa muache kumtegemea mwanaume kwa kila kitu lakini kwa bahati mbaya sana hizo mambo huwa zinashindikana kwa hujma za ninyi wenyewe kwa wenyewe.

Imagine mtu anategea apigwe mtu ndo apate pesa, bad enough haijalishi ni mwanaume wa namna gani ila tu alipwe pesa.
Sasa mbona hamueleweki wasema tunahamasishana kuacha kutegemea, mwingine asema tunategemea ndio maana tunatoa mbususu.
 
Back
Top Bottom