Darlingtone
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 390
- 146
.
si unaona ona eehhh
hata wao wanuwezo mkubwa sana wa kuzuia haya mambo..
lakini wanata easy way out blaming a women...
aahhh bibie Jmosi leo mie pressure sitaki
karibu wine, crackers na dip (Gherkin relish dip)
lol
Afu wao ndo wanamwaga hayo madude yao huku wanajisifia.... sasa wanalalamika nn?? Tegemea jema au baya...
Au wameipiga BAN lol!!!!
Afu wao ndo wanamwaga hayo madude yao huku wanajisifia.... sasa wanalalamika nn?? Tegemea jema au baya...
duuhh tatizo
linakuja hapa
sisi tuna vitu vya point vya kuongea..
na wao wanapenda kulalamika visivyo..
saa nyingine
mie napita tu.. najifanya sijaona hiyo thread..
unao ushahidi wa tuhuma nzito kama hii?Sio wote wanaopata mimba katika mazingira ya infi wanakuwa walishajua kabla.
Wengine wanadanganywa sina mke, ooh mke amenitoroka, sijui nimemuacha... Unanyaka kitambi ukija kustuka kumbe jamaa lina mke na mitoto hata kumi
Wewe utampaje mtu service wakati humjui?? Au ndoo upendo wa kisasa. Au ukisubiri atoe wale mbuzi kwa wazazi wako, mpate kibali cha dnoa kisheria, mtakufa. Wanaume raha yao ni kukimbiza , akipata kikombe cha maji kwa bahati, atafurahi lakini akisha geuka anakuchukia na unakuwa mzigo kwake.Sio wote wanaopata mimba katika mazingira ya infi wanakuwa walishajua kabla.
Wengine wanadanganywa sina mke, ooh mke amenitoroka, sijui nimemuacha... Unanyaka kitambi ukija kustuka kumbe jamaa lina mke na mitoto hata kumi
sikia dear
mimi ninachosema swala la mtoto ni watu wawili...
swala la kusema mwanamke ndo anatakiwa azuie mimba wakati
wewe unapata starehe zako za kutoa mbegu zako ndani yake
si kubaliani nalo..
sikia kama unataka kwenda pekupeku ( hakikisha unatoa kabla maji hayakumwagika)
kama hilo ni gumu Condom ndo solution ...
na kwa nini kwanza usivae kama mtu si mkeo?
jibu lako hilo hapo unalo CONDOM..
unaua ndege wawili kwa jiwe moja..
au vipi...
unao ushahidi wa tuhuma nzito kama hii?
Wewe utampaje mtu service wakati humjui?? Au ndoo upendo wa kisasa. Au ukisubiri atoe wale mbuzi kwa wazazi wako, mpate kibali cha dnoa kisheria, mtakufa. Wanaume raha yao ni kukimbiza , akipata kikombe cha maji kwa bahati, atafurahi lakini akisha geuka anakuchukia na unakuwa mzigo kwake.
tuma haraka kabla laptop haijaisha chaji, ushahidi lazima uwe umekuhusu wewe binafsi, sio ulete ushahidi wa yule babu yako wa jana, kesi itakuwa haina nguvu. tuma kwenye ile e mail yangu yangu ya HIVnegative@hotmail.comninao wa kutosha. Nitakutumia document yake kwenye email yako.
sio unakuwa humjui. Tatizo nyie wanaume mnaweza kupretend hata karne nzima. Wapo watu yashawakuta hayo.
Hata kama ni mr wa watu inabidi ukibebe tu hicho kitambi hadi uzae.
tuma haraka kabla laptop haijaisha chaji, ushahidi lazima uwe umekuhusu wewe binafsi, sio ulete ushahidi wa yule babu yako wa jana, kesi itakuwa haina nguvu. tuma kwenye ile e mail yangu yangu ya HIVnegative@hotmail.com
Sio wote wanaopata mimba katika mazingira ya infi wanakuwa walishajua kabla.
Wengine wanadanganywa sina mke, ooh mke amenitoroka, sijui nimemuacha... Unanyaka kitambi ukija kustuka kumbe jamaa lina mke na mitoto hata kumi
hongera kwa hilo. Mapenzi nje ya ndoa nayo sio mazuri.Sasa Husninyo, mimi bado sio mshabiki sana wa mapenzi kabla ya ndoa. hata nafi yangu inanishtaki kufanya mapenzi na mtu ambaye sijapata kibali cha jamii kuwa mke wangu. .
kama rangu! Ira rinacare harijachange lol
Mimi naona funguo zote anazo mwanamke, kukataa kufanya mapenzi ni haki yake, na kukataa ni haki yake. japo kila kitu kikiongelewa tunaonekana tunamnyanyapa mwanamke. Zinge kuwa mimba zinapachikwa kwa njia ya hewa ningesema tunashida, lakini mtu anaombwa tena muda mrefu (hakuna mwanamke ukimwambia tufanye mapenzi atasema ndiyo second hiyihiyo, sijaona).
Kwa hiyo kina dada tulieni, hadi mtu atoe mahali yake, wazazi wajue, akuoe, hapo tutajua nani tumlaumu. lakini kusema sijui kondom, mara nini?? ni kudanganyana tuu. La maana taratibu zote zifuatwe ili uwe na ushahidi hata mahakamani.
Yani humu ndani kina Da Sophy wanatamani kuninyonga kwa msimamo wangu wa kupinga aina hii ya uzazi. Narudia kusisitiza kuwa si haki hata kidogo kwa mwanamke kukusudia kumzaa mtoto katika mazingira ya infidelity, mnawakosea watoto haki zao kutokana na starehe zenu wenyewe huko, ni ubinafsi na ni ufisadi.
poa. ikiwezekana ambatanisha na picha. uloya ni kazi ngumu sana aiseeha ha ha ha ha!
Nishakutumia ila si unajua tena na hizi foleni. We subiria tu.
Ushahidi sio wa babu huu.
hongera kwa hilo. Mapenzi nje ya ndoa nayo sio mazuri.
Kama umefanikiwa kujizua kuchakachua kabla hongera kwa hilo.