Mpaka leo UNAOMBEA MAREHEMU/IBADA ZA WAFU?Tuungane pamoja kuwaombea pumziko la Milele Mapadre hawa ambao wamefariki Dunia nchini Italia kutokana na Virusi vya Corona. Mapadre hawa walipata maambikizi wakati wakitoa huduma ya Kiroho kwa waathirika wa Virusi vya Corona.
+Ee Mwenyezi Mungu uwape Pumziko la Milele, na Mwanga wa Milele uwaangazie. Amina+
#PumzikolaMilele
#SalaniSilaha
#HurumayaMunguView attachment 1395794
Akilizaakoo umewazaa.masakii tu khaMpaka leo UNAOMBEA MAREHEMU/IBADA ZA WAFU?
Ombea mapadre wote duaniani wasipate corona na wasife nje ya mpango wa mungu na si kuombea marehemu hiyo ni ibada ya sanamu,
"baada ya kifo ni hukumu" wewe biblia yako ya kirumi inakwambiaje mtu akifa? anaenda masaki kusubiri aombewe ili aende mbinguni?
Utakuwa umekaririshwa mafundisho ya Mwakasege wewe!Mpaka leo UNAOMBEA MAREHEMU/IBADA ZA WAFU?
Ombea mapadre wote duaniani wasipate corona na wasife nje ya mpango wa mungu na si kuombea marehemu hiyo ni ibada ya sanamu,
"baada ya kifo ni hukumu" wewe biblia yako ya kirumi inakwambiaje mtu akifa? anaenda masaki kusubiri aombewe ili aende mbinguni?
Utakuwa umekaririshwa mafundisho ya Mwakasege wewe!
Huwa wanatafasiri Biblia kama gazeti!
Utakuwa umekaririshwa mafundisho ya Mwakasege wewe!
Basi utakuwa Jaji uchwara!Hebu niambie Mwakasege ni nani na anamafundisho gani?
Mimi ni Jaji na ninasoma biblia, situmii liturujia wala injili iliyo-goshiwa, sisomewi hekhma ya mwanadamu najifunza neno lililo hai
wacha ku-attach personality yangu chambua hoja.Basi utakuwa Jaji uchwara!
Naniikakwambiaaa washenzi awaingii mbingunii HAOO ndioo watakufunguliaa geti mpwaa.. Huwaa wanabahati sana ya kutubuu SIKU za mwishoo we uliesafi Fanya uozo uone unafia usingizjni ukisubiri kuamkaYou made my day hongera sana sana mkuu huwa nawashangaa sana wanaowaombea wafu hivi wanatumia andiko gani?? Utamuombeaje mtu aliyekufa?? Hivi Mungu ni mjinga kiasi hicho?! Wewe ukiwa hai ufanye ushenzi wako ukitegemea uombewe ukifa?? Huo ni upumbavu wa kiwango cha PhD acheni ujinga bana maisha yako ya mbinguni unayaandaa ukiwa bado uko hai hapa duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
umeona eehNaniikakwambiaaa washenzi awaingii mbingunii HAOO ndioo watakufunguliaa geti mpwaa.. Huwaa wanabahati sana ya kutubuu SIKU za mwishoo we uliesafi Fanya uozo uone unafia usingizjni ukisubiri kuamka