Uchaguzi 2020 Tuungane kwa umoja wetu kama Taifa tuikatae CCM, miaka 59 imetosha

Uchaguzi 2020 Tuungane kwa umoja wetu kama Taifa tuikatae CCM, miaka 59 imetosha

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam, CCM imetuongoza watanganyika kwa takribani miaka 59 na kuongeza umasikini miongoni mwetu. CCM imepoteza dira hakuna Sera au mawazo mbadala inafaa sasa ipumzike sababu za kuipumzisha ni hizi;

1. Rushwa (wajumbeee)
2. Umasikini wa kutupa (wanyonge)
3. Maslahi duni kwa Watumishi wa Umma (watawala maisha ya peponi anasa)
4. Ukandamiza wa Uhuru na democrasia
5. Usiri ktk mikataba ya madini na gesi (bunge mhimili wa ccm sio taifa)
6. Elimu duni kwa watt wa malofa
7. Ukosefu wa ajiri (wahitimu vyuo vikuu)
8. Utapeli kwa wakulima (korosho)
9. Polisi kunyanyasa RAIA (kesi za kubambika)
10. Ubaguzi (kurisishana madaraka, kutesa wapinzani)

Tukutane Oktoba 28. Delete CCM kwa manufaa ya mama Tanzania, maana maendeleo yana vyama.
Wote tuseme sasa 'basi'
 
Hahahaha, alot of funny.

Kwamba CCM, Ikitoka madarakani hivyo vyote ulivyoviandika vitakuwa sawa.

Acha kuota mchana(day dreaming) mkuu.

Bado mfumo wetu ni mbovu.

Madaraka ni matamu, hata upinzani ukiingia umaweza nogewa na kuwasahau hao uliowaandika.
 
Yaani huku kuna wapambe Uchwara wa kutosha ambao nahisi akili zao kuna watu wamewapa wawashikie,,,, hivi kuna mtu wa kumshinda Mh. Magufuli kweli mwaka huu au mnaota ndoto mchana kweupe nyie?????!!!!!!! Poleni sana maana mna mategemeo hewa
 
Kuyapata uliyoorodhesha tunahitaji mgombea jasiri mwenye uthubutu huu:

IMG_20200804_210728_515.jpg

Huo ndiyo ulio ukweli.

Huyo ndiye ambaye atakaye tuvusha.
 
UNASHINDA NA MIAKA A UHAI WA BIBLIA UNAANZA KUFA WEWE KWANZA HUKU CCM.KIONGEZA MIAKA
 
KUIONDOA.CCM.SIO.KUTULETEA WASANII SA MITANDAOONI
MLICHOTAKIWA N KUPIGA MAOMBI TUCHUKIANE WENYEWE KWA WENYEWE LAKN SHIDA INAKUJA CCM.N WENGI KULIKO WAPINZAN MKIOMBA NA WAO WANAAOMBEA HAYOHAYO MNAKUTA OCTB MNAKALISHWA CHALII
 
Yaani huku kuna wapambe Uchwara wa kutosha ambao nahisi akili zao kuna watu wamewapa wawashikie,,,, hivi kuna mtu wa kumshinda Mh. Magufuli kweli mwaka huu au mnaota ndoto mchana kweupe nyie?????!!!!!!! Poleni sana maana mna mategemeo hewa
kumbuka aliwazalo mjinga humtokea
 
KUIONDOA.CCM.SIO.KUTULETEA WASANII SA MITANDAOONI
MLICHOTAKIWA N KUPIGA MAOMBI TUCHUKIANE WENYEWE KWA WENYEWE LAKN SHIDA INAKUJA CCM.N WENGI KULIKO WAPINZAN MKIOMBA NA WAO WANAAOMBEA HAYOHAYO MNAKUTA OCTB MNAKALISHWA CHALII
Miaka 59 ngonjera zile zile
 
Hahahaha, alot of funny.

Kwamba CCM, Ikitoka madarakani hivyo vyote ulivyoviandika vitakuwa sawa.

Acha kuota mchana(day dreaming) mkuu.

Bado mfumo wetu ni mbovu.

Madaraka ni matamu, hata upinzani ukiingia umaweza nogewa na kuwasahau hao uliowaandika.
Hata kama hatutarajii hivyo, kuiondoa CCM liwe ni somo kwavyama vyote kuwa ukipewa madaraka na wananchi, ukawatunikie wananchi kweli ukiwa mtumishi wao!
Sio kujisifu, kujikweza , kujigeuza mungumtu, kudhuru na kuua wanaotofautiana mawazo na wewe, kunyanuasa wenzio, kuamua mambo kienyeji n.k...
 
Kitakachoowaaibisha WATOTO wa MAMA MDOGO n HIKO

Wapiga KELELE Wengi awajajiandikishaa


WANAJUA hilo na Badoo WANAENDELEA kutafuna HELA za chama wakiwapa matumaini fake
 
Hahahaha, alot of funny.

Kwamba CCM, Ikitoka madarakani hivyo vyote ulivyoviandika vitakuwa sawa.

Acha kuota mchana(day dreaming) mkuu.

Bado mfumo wetu ni mbovu.

Madaraka ni matamu, hata upinzani ukiingia umaweza nogewa na kuwasahau hao uliowaandika.
Bora waje wengine wanaokula na kutumegea kidogo kuliko ccm wanakula na kutupiga tukilia tunafungwa kwa uchochezi.

Wapumzike tu sasa tuijenge upya Tanz yetu.
 
Bora waje wengine wanaokula na kutumegea kidogo kuliko ccm wanakula na kutupiga tukilia tunafungwa kwa uchochezi.

Wapumzike tu sasa tuijenge upya Tanz yetu.
Wewee, hao watakula mpaka akili itukae sawa. Maana hawajawahi experience. Watalewa.
 
Hata kama hatutarajii hivyo, kuiondoa CCM liwe ni somo kwavyama vyote kuwa ukipewa madaraka na wananchi, ukawatunikie wananchi kweli ukiwa mtumishi wao!
Sio kujisifu, kujikweza , kujigeuza mungumtu, kudhuru na kuua wanaotofautiana mawazo na wewe, kunyanuasa wenzio, kuamua mambo kienyeji n.k...
Mimi, naona wanaotaka mfumo mpya wako sahihi.
 
Back
Top Bottom