Hakuna cha kumpenda wala nini, tambua kwamba huwezi kufa kama siku zako hazijafika,Mungu anampenda Lissu, ana sababu kwanini alimuokoa na mauti, taratibu tutaelewa makusudi ya Mungu yalikuwa ni yapi.
Usiwe mkata tamaa wa bora liende mkuu. Unahitaji kuondoa uovu ili atakayeingia ajue hutaki ujinga!Hahahaha, alot of funny.
Kwamba CCM, Ikitoka madarakani hivyo vyote ulivyoviandika vitakuwa sawa.
Acha kuota mchana(day dreaming) mkuu.
Bado mfumo wetu ni mbovu.
Madaraka ni matamu, hata upinzani ukiingia umaweza nogewa na kuwasahau hao uliowaandika.
Miaka mitano inatosha mtu kufanya ufisadi akaridhika.Usiwe mkata tamaa wa bora liende mkuu. Unahitaji kuondoa uovu ili atakayeingia ajue hutaki ujinga!
Kwani upinzani umewahi kushika madaraka?Hahahaha, alot of funny.
Kwamba CCM, Ikitoka madarakani hivyo vyote ulivyoviandika vitakuwa sawa.
Acha kuota mchana(day dreaming) mkuu.
Bado mfumo wetu ni mbovu.
Madaraka ni matamu, hata upinzani ukiingia umaweza nogewa na kuwasahau hao uliowaandika.
Tuikatae tumuweke nani sasaWasalaam, ccm imetuongoza watanganyika kwa takribani miaka 59 na kuongeza umasikini miongoni mwetu. Ccm imepoteza dira hakuna Sera au mawazo mbadala inafaa ss ipumzike sababu za kuipumzisha ni hizi;
1. Rushwa(wajumbeee)
2. Umasikini wa kutupa(wanyonge)
3. Maslahi duni kwa watumishi wa umma(watawala maisha ya peponi anasa)
4. Ukandamiza wa Uhuru na democrasia
5. Usiri ktk mikataba ya madini na gesi(bunge mhimili wa ccm sio taifa)
6. Elimu duni kwa watt wa malofa
7. Ukosefu wa ajiri(wahitimu vyuo vikuu)
8. Utapeli kwa wakulima(korosho)
9. Police kunyanyasa RAIA(kesi za kubambika)
10. Ubaguzi(kurisishana madaraka, kutesa wapinzani)
tukutane Oct 28;
Delete ccm kwa manufaa ya mama tanzania, maana maendeleo yana vyama.
wote tuseme sasa 'basi'
Ungeweka mafanikio na matatizo na tukafanya malinganisho ndiyo tungejua ya kuwa tuikatae ccm au tuirudishe.Wasalaam, ccm imetuongoza watanganyika kwa takribani miaka 59 na kuongeza umasikini miongoni mwetu. Ccm imepoteza dira hakuna Sera au mawazo mbadala inafaa ss ipumzike sababu za kuipumzisha ni hizi;
1. Rushwa(wajumbeee)
2. Umasikini wa kutupa(wanyonge)
3. Maslahi duni kwa watumishi wa umma(watawala maisha ya peponi anasa)
4. Ukandamiza wa Uhuru na democrasia
5. Usiri ktk mikataba ya madini na gesi(bunge mhimili wa ccm sio taifa)
6. Elimu duni kwa watt wa malofa
7. Ukosefu wa ajiri(wahitimu vyuo vikuu)
8. Utapeli kwa wakulima(korosho)
9. Police kunyanyasa RAIA(kesi za kubambika)
10. Ubaguzi(kurisishana madaraka, kutesa wapinzani)
tukutane Oct 28;
Delete ccm kwa manufaa ya mama tanzania, maana maendeleo yana vyama.
wote tuseme sasa 'basi'
Mungu alimuokoa na kifo Lissu ili ashuhudie mchakamchaka wa maendeleo wa mh JPM. Ili ajitambue kwamba yeye ni mnafikiMungu anampenda Lissu, ana sababu kwanini alimuokoa na mauti, taratibu tutaelewa makusudi ya Mungu yalikuwa ni yapi.
Ccm mkoloni mweusi, tukutane October 28Unashindana na ulpozaliwa!!m
Utakufaa wenziioo wanaishi
Hakuna sababu ya kuendelea kung'ang'ania kitu kisichokuwa na faida 50+ yrs inatosha.Wasalaam, ccm imetuongoza watanganyika kwa takribani miaka 59 na kuongeza umasikini miongoni mwetu. Ccm imepoteza dira hakuna Sera au mawazo mbadala inafaa ss ipumzike sababu za kuipumzisha ni hizi;
1. Rushwa(wajumbeee)
2. Umasikini wa kutupa(wanyonge)
3. Maslahi duni kwa watumishi wa umma(watawala maisha ya peponi anasa)
4. Ukandamiza wa Uhuru na democrasia
5. Usiri ktk mikataba ya madini na gesi(bunge mhimili wa ccm sio taifa)
6. Elimu duni kwa watt wa malofa
7. Ukosefu wa ajiri(wahitimu vyuo vikuu)
8. Utapeli kwa wakulima(korosho)
9. Police kunyanyasa RAIA(kesi za kubambika)
10. Ubaguzi(kurisishana madaraka, kutesa wapinzani)
tukutane Oct 28;
Delete ccm kwa manufaa ya mama tanzania, maana maendeleo yana vyama.
wote tuseme sasa 'basi'
Hakuna sababu ya kuendelea kung'ang'ania kitu kisichokuwa na faida 50+ yrs inatosha.Wasalaam, ccm imetuongoza watanganyika kwa takribani miaka 59 na kuongeza umasikini miongoni mwetu. Ccm imepoteza dira hakuna Sera au mawazo mbadala inafaa ss ipumzike sababu za kuipumzisha ni hizi;
1. Rushwa(wajumbeee)
2. Umasikini wa kutupa(wanyonge)
3. Maslahi duni kwa watumishi wa umma(watawala maisha ya peponi anasa)
4. Ukandamiza wa Uhuru na democrasia
5. Usiri ktk mikataba ya madini na gesi(bunge mhimili wa ccm sio taifa)
6. Elimu duni kwa watt wa malofa
7. Ukosefu wa ajiri(wahitimu vyuo vikuu)
8. Utapeli kwa wakulima(korosho)
9. Police kunyanyasa RAIA(kesi za kubambika)
10. Ubaguzi(kurisishana madaraka, kutesa wapinzani)
tukutane Oct 28;
Delete ccm kwa manufaa ya mama tanzania, maana maendeleo yana vyama.
wote tuseme sasa 'basi'
Alikofia Ben Saa tisaIkulu sioo sehemu ya ANASA
Ikulu sio Sehemu ya WALEVI
Konyagi aka faru dume
Ikulu n MAHALI patakatifuu
MaRC na MaDc hawatokani na vyama. Watatokana na wananchi wenye uwezo sio kama ccm anateua wanachama hohehahe wasiojiweza ndio watawale.Kama kichwa chako kinamsaada katika maisha yako hebu jiulize maswali haya halafu ukisha jipa majibu uiangalie upya post yako.
Chukulia CHADEMA wameshinda uchaguzi mkuu wa October:-
i) Ma RC watawatoa wapi?
ii) Ma DC watawatoa wapi?
iii) makatibu tarafa watawatoa wapi?
iv) ma DAS watawatoa wapi?
v) ma balozi watawatoa wapi?
vi) ma RAS watawatoa wapi?
vii). siasa inayoilinda nchi hii je wanaijua? Na kwa muda gani?
viii) Je, nchi itaongozwa kwa utulivu wa kina kama tulionao au ndio kila mmoja ataongoza kivyake kwakuwa watakuwa wageni katika maswala ya kuongoza nchi?
ix) Je,ndani ya chama wanachaguana kwa kuangalia uwezo wa mtu katika nafasi anayoitaka au wanaangalia anayeweza kuongea?
x)................?
Baada ya hapo tuweke ushabiki pembeni.
MAGUFULI4LIFE.
Ni yeyeeeeKitakachoowaaibisha WATOTO wa MAMA MDOGO n HIKO
Wapiga KELELE Wengi awajajiandikishaa
WANAJUA hilo na Badoo WANAENDELEA kutafuna HELA za chama wakiwapa matumaini fake
Tunajifunza kwa wenzetu.Kwani upinzani umewahi kushika madaraka?