Na hata wakiendelea kuongoza hii nchi miaka elfu ijayo hakuna jipya litakalofanyika la tofauti na hapa uwezo wao ulipoishia.Wakae pembeni wajivue gamba walilokaa nalo toka uhuru labda watapata akili mpya.Hakuna sababu ya kuendelea kung'ang'ania kitu kisichokuwa na faida 50+ yrs inatosha.
Kuna wajinga wanafikiri wapinzani wana magic button watakayoibonyeza halafu hizo ndoto za maendeleo zitimie overnight.
Wewe chagua tu unayejisikia kumchagua hayo unayoyaota hakuna guarantee yakuisha au kufanyiwa kazi.
Liberia, Nigeria,DRC na Malawi walikochagua upinzani kuna jipya gani so far?
Wanaijeria bado wanafia Mediterranean Sea wakienda Ulaya,Boko Haram bado ipo, Liberia imeshuhudia internet ikizimwa kwa mara ya kwanza chini ya George Weah.
Ukweli ndo huo ni kudeleteUmeandika vyema sana, InshaALLAH I will be there
They have reached their capacity limit. Hawana jipya.Na hata wakiendelea kuongoza hii nchi miaka elfu ijayo hakuna jipya litakalofanyika la tofauti na hapa uwezo wao ulipoishia.Wakae pembeni wajivue gamba walilokaa nalo toka uhuru labda watapata akili mpya.
They have reached their capacity limit. Hawana jipya.Na hata wakiendelea kuongoza hii nchi miaka elfu ijayo hakuna jipya litakalofanyika la tofauti na hapa uwezo wao ulipoishia.Wakae pembeni wajivue gamba walilokaa nalo toka uhuru labda watapata akili mpya.
Rubbish..Kama kichwa chako kinamsaada katika maisha yako hebu jiulize maswali haya halafu ukisha jipa majibu uiangalie upya post yako.
Chukulia CHADEMA wameshinda uchaguzi mkuu wa October:-
i) Ma RC watawatoa wapi?
ii) Ma DC watawatoa wapi?
iii) makatibu tarafa watawatoa wapi?
iv) ma DAS watawatoa wapi?
v) ma balozi watawatoa wapi?
vi) ma RAS watawatoa wapi?
vii). siasa inayoilinda nchi hii je wanaijua? Na kwa muda gani?
viii) Je, nchi itaongozwa kwa utulivu wa kina kama tulionao au ndio kila mmoja ataongoza kivyake kwakuwa watakuwa wageni katika maswala ya kuongoza nchi?
ix) Je,ndani ya chama wanachaguana kwa kuangalia uwezo wa mtu katika nafasi anayoitaka au wanaangalia anayeweza kuongea?
x)................?
Baada ya hapo tuweke ushabiki pembeni.
MAGUFULI4LIFE.
Ukweli ndo huo ni kudelete
Na hata wakiendelea kuongoza hii nchi miaka elfu ijayo hakuna jipya litakalofanyika la tofauti na hapa uwezo wao ulipoishia.Wakae pembeni wajivue gamba walilokaa nalo toka uhuru labda watapata akili mpya.
Kama kichwa chako kinamsaada katika maisha yako hebu jiulize maswali haya halafu ukisha jipa majibu uiangalie upya post yako.
Chukulia CHADEMA wameshinda uchaguzi mkuu wa October:-
i) Ma RC watawatoa wapi?
ii) Ma DC watawatoa wapi?
iii) makatibu tarafa watawatoa wapi?
iv) ma DAS watawatoa wapi?
v) ma balozi watawatoa wapi?
vi) ma RAS watawatoa wapi?
vii). siasa inayoilinda nchi hii je wanaijua? Na kwa muda gani?
viii) Je, nchi itaongozwa kwa utulivu wa kina kama tulionao au ndio kila mmoja ataongoza kivyake kwakuwa watakuwa wageni katika maswala ya kuongoza nchi?
ix) Je,ndani ya chama wanachaguana kwa kuangalia uwezo wa mtu katika nafasi anayoitaka au wanaangalia anayeweza kuongea?
x)................?
Baada ya hapo tuweke ushabiki pembeni.
MAGUFULI4LIFE.
Vyote hivyo Mh.Lissu anavyo na zaidi,lakini huko CCM mpya hayo hayajadiliki maana wametekwa na Uncle Meko na timu yake.Bila kuiondoa madarakani hatuwezi kuota mambo ya haki za binadamu.Kuyapata uliyoorodhesha tunahitaji mgombea jasiri mwenye uthubutu huu:
View attachment 1527407
Huo ndiyo ulio ukweli.
Huyo ndiye ambaye atakaye tuvusha.
Daah dish limeyumbaHahahaha, alot of funny.
Kwamba CCM, Ikitoka madarakani hivyo vyote ulivyoviandika vitakuwa sawa.
Acha kuota mchana(day dreaming) mkuu.
Bado mfumo wetu ni mbovu.
Madaraka ni matamu, hata upinzani ukiingia umaweza nogewa na kuwasahau hao uliowaandika.
Ila utamu wa madaraka wa awamu ya 5 umezidi hadi figisufigisu kwa wagombea kumbe wagombea wanatakiwa wajue karate na kutumia silaha?Hahahaha, alot of funny.
Kwamba CCM, Ikitoka madarakani hivyo vyote ulivyoviandika vitakuwa sawa.
Acha kuota mchana(day dreaming) mkuu.
Bado mfumo wetu ni mbovu.
Madaraka ni matamu, hata upinzani ukiingia umaweza nogewa na kuwasahau hao uliowaandika.
Kama lako.Daah dish limeyumba
Ni hulka ya mtu.Ila utamu wa madaraka wa awamu ya 5 umezidi hadi figisufigisu kwa wagombea kumbe wagombea wanatakiwa wajue karate na kutumia silaha?
Wasalaam, CCM imetuongoza watanganyika kwa takribani miaka 59 na kuongeza umasikini miongoni mwetu. CCM imepoteza dira hakuna Sera au mawazo mbadala inafaa sasa ipumzike sababu za kuipumzisha ni hizi;
1. Rushwa (wajumbeee)
2. Umasikini wa kutupa (wanyonge)
3. Maslahi duni kwa Watumishi wa Umma (watawala maisha ya peponi anasa)
4. Ukandamiza wa Uhuru na democrasia
5. Usiri ktk mikataba ya madini na gesi (bunge mhimili wa ccm sio taifa)
6. Elimu duni kwa watt wa malofa
7. Ukosefu wa ajiri (wahitimu vyuo vikuu)
8. Utapeli kwa wakulima (korosho)
9. Polisi kunyanyasa RAIA (kesi za kubambika)
10. Ubaguzi (kurisishana madaraka, kutesa wapinzani)
Tukutane Oktoba 28. Delete CCM kwa manufaa ya mama Tanzania, maana maendeleo yana vyama.
Wote tuseme sasa 'basi'