PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
[emoji106]Pamoja na kuchangia Gharama za Lissu ambazo ni ghali sana pia uangaliwe namna bora ya kupunguza Gharama zisizo za Lazima!
Kuna Kundi kubwa la Wabunge wa Chadema wamejirundika kule Nairobi kazi ku jirekodi na ku post Mipasho kwa Ndugai huku wakihudumiwa kwa michango ya Lissu Eti wanamuuguza Lissu, ni bora wangejazwa Ndugu zake badala ya Wanasiasa
Duh!!!Hiyo namba 2 n nn! Mange ni Malaya tu. Haitakiwi chadema wamtumie mange
Kama nyie mnavyoliwa viboga lumumba ??Wajinga ndio waliwao masikini ya Mungu.
Badala ya michangi ipelekwe kwa familia,au hata ufipa unamtumia mtu kwenye akaunti yake!
Kwanini mlitaka kumuua rais wetu??Si uandike watu wakijiunga kwa app yake ambayo lazima ulipie kuona anayorusha.. ndio anadai akipokea pesa hizo za watu kujiunga atatoa zote ziende kuchangia kumtibu Mh. Lissu
He tuchukulie kwa uchache tuPamoja na kuchangia Gharama za Lissu ambazo ni ghali sana pia uangaliwe namna bora ya kupunguza Gharama zisizo za Lazima!
Kuna Kundi kubwa la Wabunge wa Chadema wamejirundika kule Nairobi kazi ku jirekodi na ku post Mipasho kwa Ndugai huku wakihudumiwa kwa michango ya Lissu Eti wanamuuguza Lissu, ni bora wangejazwa Ndugu zake badala ya Wanasiasa
Kwanini mlitaka kumuua rais wetu??
Raisi èeeeeh Lowassa pesa zake mmeshazirudisha maana hajatimiza kilichomleta Chadema.. ha ha haaaa
Hayo muulizane wenyewe mpelekane polisi pia kushtakiana asap.
Una uhakika gani mchango wako utafika kwa muhusika,kwa nini usingetuma kwenye akaunti M4C CRDB ambako walau zikiliwa zinakua zimeliwa na chademadone, nimechangia "get well soon TL"
Le madolez katika uboraSi uandike watu wakijiunga kwa app yake ambayo lazima ulipie kuona anayorusha.. ndio anadai akipokea pesa hizo za watu kujiunga atatoa zote ziende kuchangia kumtibu Mh. Lissu