Tuungane pamoja na tusome bila kuchoka Zaburi ya 109:8-14 dhidi ya wanaotaka kuliangamiza taifa teule la Israel

Tuungane pamoja na tusome bila kuchoka Zaburi ya 109:8-14 dhidi ya wanaotaka kuliangamiza taifa teule la Israel

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Kichwa cha habari chahusika hapo juu

Tuungane na tusome bila kuchoka zaburi ya 109:8-14 dhidi ya magaidi na ndugu zao wote wanataka kuliangamiza taifa teule la Mungu.

✓"Siku zake na ziwe chache, Usimamizi wake na atwae mtu mwingine.

9 Wanawe na wawe yatima, Na mkewe na awe mjane.

10 Kutanga na watange wanawe na kuomba, Watafute chakula mbali na mahame yao.

11 Mdai na anase vitu vyote alivyo navyo, Wageni na wateke mapato ya kazi yake.

12 Asiwe na mtu wa kumfanyia fadhili, Wala mtu wa kuwahurumia yatima wake.

13 Wazao wake waangamizwe, Jina lao likafutwe katika kizazi cha pili.

14 Uovu wa baba zake ukumbukwe mbele za Bwana, Na dhambi ya mamaye isifutwe"
 
Kichwa cha habari chahusika hapo juu

Tuungane na tusome bila kuchoka zaburi ya 109:8-14 dhidi ya magaidi na ndugu zao wote wanataka kuliangamiza taifa teule la Mungu.



✓"Siku zake na ziwe chache, Usimamizi wake na atwae mtu mwingine.

9 Wanawe na wawe yatima, Na mkewe na awe mjane.

10 Kutanga na watange wanawe na kuomba, Watafute chakula mbali na mahame yao.

11 Mdai na anase vitu vyote alivyo navyo, Wageni na wateke mapato ya kazi yake.

12 Asiwe na mtu wa kumfanyia fadhili, Wala mtu wa kuwahurumia yatima wake.

13 Wazao wake waangamizwe, Jina lao likafutwe katika kizazi cha pili.

14 Uovu wa baba zake ukumbukwe mbele za Bwana, Na dhambi ya mamaye isifutwe"
Hivi wewe unajua kama siku Yesu akirudi nchini kwake Israel atapokelewa na WA Palestine na Wala sio hao Mazayuni
Maana hao Mazayuni ndio walitaka kumuu lakini pia Ili uwe muumini wa dini yao ya kiyahudi lazima umkane Yesu kuwa sio masiha na umtukane kuwa ni mtoto wa zinaa

Lakini wapalestine hawana shida na Yesu ndio kwanza wanasema Yesu ni Muislam mwenzao

Sasa wakiangamizwa watu ambao wanampinga na kumtukana Yesu wewe Kwa Nini unaumia?
 
Hivi wewe unajua kama siku Yesu akirudi nchini kwake Israel atapokelewa na WA Palestine na Wala sio hao Mazayuni
Maana hao Mazayuni ndio walitaka kumuu lakini pia Ili uwe muumini wa dini yao ya kiyahudi lazima umkane Yesu kuwa sio masiha na umtukane kuwa ni mtoto wa zinaa

Lakini wapalestine hawana shida na Yesu ndio kwanza wanasema Yesu ni Muislam mwenzao

Sasa wakiangamizwa watu ambao wanampinga na kumtukana Yesu wewe Kwa Nini unaumia?
Kwa mujibu wa kitabu gani Mkuu? Tupe aya tafadhali
 
Hivi wewe unajua kama siku Yesu akirudi nchini kwake Israel atapokelewa na WA Palestine na Wala sio hao Mazayuni
Maana hao Mazayuni ndio walitaka kumuu lakini pia Ili uwe muumini wa dini yao ya kiyahudi lazima umkane Yesu kuwa sio masiha na umtukane kuwa ni mtoto wa zinaa

Lakini wapalestine hawana shida na Yesu ndio kwanza wanasema Yesu ni Muislam mwenzao

Sasa wakiangamizwa watu ambao wanampinga na kumtukana Yesu wewe Kwa Nini unaumia?
Mkuu Wapalestina hawamtambui Yesu bali wanamtambua Issa bin Mariam
 
Kichwa cha habari chahusika hapo juu

Tuungane na tusome bila kuchoka zaburi ya 109:8-14 dhidi ya magaidi na ndugu zao wote wanataka kuliangamiza taifa teule la Mungu.

✓"Siku zake na ziwe chache, Usimamizi wake na atwae mtu mwingine.

9 Wanawe na wawe yatima, Na mkewe na awe mjane.

10 Kutanga na watange wanawe na kuomba, Watafute chakula mbali na mahame yao.

11 Mdai na anase vitu vyote alivyo navyo, Wageni na wateke mapato ya kazi yake.

12 Asiwe na mtu wa kumfanyia fadhili, Wala mtu wa kuwahurumia yatima wake.

13 Wazao wake waangamizwe, Jina lao likafutwe katika kizazi cha pili.

14 Uovu wa baba zake ukumbukwe mbele za Bwana, Na dhambi ya mamaye isifutwe"
Soma yoteee 11 jion mpaka 12 siku 7

Hii n albadili ya wakristo kama u amwizi wa mkeo msomee kakuibia helaa kazin pitanae
 
Hivi wewe unajua kama siku Yesu akirudi nchini kwake Israel atapokelewa na WA Palestine na Wala sio hao Mazayuni
Maana hao Mazayuni ndio walitaka kumuu lakini pia Ili uwe muumini wa dini yao ya kiyahudi lazima umkane Yesu kuwa sio masiha na umtukane kuwa ni mtoto wa zinaa

Lakini wapalestine hawana shida na Yesu ndio kwanza wanasema Yesu ni Muislam mwenzao

Sasa wakiangamizwa watu ambao wanampinga na kumtukana Yesu wewe Kwa Nini unaumia?
Yesu ni myahudi hakuwahi kuwa muislam.Mayahudi wanamfahamu kama Yesu wa Nazareti.
Issa bin Maryam ni porojo za muamedi
 
Hivi wewe unajua kama siku Yesu akirudi nchini kwake Israel atapokelewa na WA Palestine na Wala sio hao Mazayuni
Maana hao Mazayuni ndio walitaka kumuu lakini pia Ili uwe muumini wa dini yao ya kiyahudi lazima umkane Yesu kuwa sio masiha na umtukane kuwa ni mtoto wa zinaa

Lakini wapalestine hawana shida na Yesu ndio kwanza wanasema Yesu ni Muislam mwenzao

Sasa wakiangamizwa watu ambao wanampinga na kumtukana Yesu wewe Kwa Nini unaumia?
Yesu hajawahi kuwa muislam. Labda Issa bin Mariam wa kwenye koran
 
Kichwa cha habari chahusika hapo juu

Tuungane na tusome bila kuchoka zaburi ya 109:8-14 dhidi ya magaidi na ndugu zao wote wanataka kuliangamiza taifa teule la Mungu.

✓"Siku zake na ziwe chache, Usimamizi wake na atwae mtu mwingine.

9 Wanawe na wawe yatima, Na mkewe na awe mjane.

10 Kutanga na watange wanawe na kuomba, Watafute chakula mbali na mahame yao.

11 Mdai na anase vitu vyote alivyo navyo, Wageni na wateke mapato ya kazi yake.

12 Asiwe na mtu wa kumfanyia fadhili, Wala mtu wa kuwahurumia yatima wake.

13 Wazao wake waangamizwe, Jina lao likafutwe katika kizazi cha pili.

14 Uovu wa baba zake ukumbukwe mbele za Bwana, Na dhambi ya mamaye isifutwe"
Mafi yako popote ulipo
 
Back
Top Bottom