Nimeipenda hii naomba kuwa mwanakikundi, naweza husika na uandishi wa document za usajili wa kikundi(za kisheria), pia naweza kuandika stori fupi na ndefu na mashairi kwenye hiyo magazine. Namba yangu ni 0683455132..
Mkuu LIBRARY Ni vizuri Ukachukua Izo namba za wadau waloojitokeza afu tukawa na Whatsapp Group..
Huu Siyo Kama Ni Mtego Na Kuna Walengwa Wanatafutwa Humu? Naitamani Ila Nina Mashaka Fulani Hivi. Je Unaonaje Wewe Mwanzisha Uzi Huu Usiweke Tu Namba Yako Hadharani Hapa Na Sisi Tukutafute Wenyewe? Na Onyo Tafadhali Usije Kutuuliza JF Tunatumia ID Gani / Ipi au Zipi. Binafsi Nipo Ready Na We Can Do Something Na Ubarikiwe Mno Na Sana Kwa Kuja Na Wazo Zuri.
Nitakuchekinaunga mkono hoja nicheck 0764786277
We utahitajika pia karibu.Nitashiriki kuengeneza Website na kumanage LIBRARY
AhsanteWazo zuri
We pia utahitajikaNimeipenda hii naomba kuwa mwanakikundi, naweza husika na uandishi wa document za usajili wa kikundi(za kisheria), pia naweza kuandika stori fupi na ndefu na mashairi kwenye hiyo magazine. Namba yangu ni 0683455132..
NitakuchekiNipo hapa 0755 914 977, naweza andika na kuchambua mambo ya kisiasa na kuandika article mbalimbali za masomo kama history,civics,geography. Pia npate patrickpeter130@gmail.com
Karibu.Nimekubali wazo. Na mimi pia kwa 0717210 880
juma2000@rocketmail.com
Mkuu LIBRARY Ni vizuri Ukachukua Izo namba za wadau waloojitokeza afu tukawa na Whatsapp Group..
Huu Siyo Kama Ni Mtego Na Kuna Walengwa Wanatafutwa Humu? Naitamani Ila Nina Mashaka Fulani Hivi. Je Unaonaje Wewe Mwanzisha Uzi Huu Usiweke Tu Namba Yako Hadharani Hapa Na Sisi Tukutafute Wenyewe? Na Onyo Tafadhali Usije Kutuuliza JF Tunatumia ID Gani / Ipi au Zipi. Binafsi Nipo Ready Na We Can Do Something Na Ubarikiwe Mno Na Sana Kwa Kuja Na Wazo Zuri.
Huu Siyo Kama Ni Mtego Na Kuna Walengwa Wanatafutwa Humu? Naitamani Ila Nina Mashaka Fulani Hivi. Je Unaonaje Wewe Mwanzisha Uzi Huu Usiweke Tu Namba Yako Hadharani Hapa Na Sisi Tukutafute Wenyewe? Na Onyo Tafadhali Usije Kutuuliza JF Tunatumia ID Gani / Ipi au Zipi. Binafsi Nipo Ready Na We Can Do Something Na Ubarikiwe Mno Na Sana Kwa Kuja Na Wazo Zuri.
watu wana takiwa wawe makini sana,maana kubwa ya kutumia fake ID hapa jf ni kuficha uhalisia wako na kulinda uhuru wa mawazo,pamoja na kulinda usalama wako sasa unapo weka namba ya simu hadharani namna hiyo ni hatari kwa usalama wako..