Tuuombee Mkutano wa SADC kesho Ili Mgogoro wa DRC uoate suluhu

Tuuombee Mkutano wa SADC kesho Ili Mgogoro wa DRC uoate suluhu

Lihove2

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2018
Posts
3,545
Reaction score
6,512
Kesho moja ya agenda,kimsingi agenda kubwa ambayo masikio ya wengi yanasubiri kuona maridhiano ya mgogolo wa huko DRC unafikiwa muafaka.Tuendelee kuwaombea afya njema wahusika wote wakuu ikiwa ni pamoja wa maraisi wa DRC na Rwanda.Pia wawe na moyo wa huruma kuhurumia mamia ya wanawake na watoto wanao teseka huko ikiwa wao wanaishi kwenye viyoyozi.

Kibaya zaidi muafrica anamua mwafrica mwenzake halafu wazungu wanaendelea kuchota rasilimali za nchi yao.Nataka niwakumbushe tuu hawa wakuu wa nchi hasa hizi za maziwa makuuu.suluhu ya migogoro yetu haiwezi kuamliwa na wadau nje ya maziwa makuu.ni wakati pia wa kuonyesha kwamba mataifa yetu yanaweza maliza baadhi ya migogolo wao wenyewe bila mzungu.

Halafu pia misada kwa wakimbizi imepungua sasa baada ya marekani kusitisha huo ujinga wa kuendelea kusaidia nchi ambazo hazi graduate toka kwenye umasikini.ikiwa wanaograduate toka kwenye umasikini ni viongozi wanaojilimbikizia mali na kutumiwa na vibaraka wa huko magharibi
 
Kiukweli kabisa ni vyema mno vita kuisha ila kwa uhalisia uliopo tuwe wawazi ile tayari ni WAR zone kupatuliza serious labda weupe waamue.

Moja ya simulizi nzuri sana japo ilikuwa ni tukio la kweli ila likafanywa filamu ni Rambo IV kuhusu ishu iliyokuwa Burma ndo maana ilifunza si kila kitu kitaisha kwa maombi ila kuna muda binadamu anaamua hatma yake yeye mwenyewe.
 
WaAfrica wote ni vibaraka na wanafiki tu, siku tukiacha hivyo vitu ndio vita na maendeleo yatapatikana Africa.

Huwezi ukawa sio kibaraka kama unategemea misaada kutoka magharibi na hata budget yako inajaziwa na mabeberu, miradi yako inahitaji mabeberu na misaada.

Asiye kibaraka ni yule anayejitegemea kwa kila kitu, yule mwenye technolojia na uwezo wa kutengeneza kila akitakacho akiamua.
 
Kesho moja ya agenda,kimsingi agenda kubwa ambayo masikio ya wengi yanasubiri kuona maridhiano ya mgogolo wa huko DRC unafikiwa muafaka.Tuendelee kuwaombea afya njema wahusika wote wakuu ikiwa ni pamoja wa maraisi wa DRC na Rwanda.Pia wawe na moyo wa huruma kuhurumia mamia ya wanawake na watoto wanao teseka huko ikiwa wao wanaishi kwenye viyoyozi.

Kibaya zaidi muafrica anamua mwafrica mwenzake halafu wazungu wanaendelea kuchota rasilimali za nchi yao.Nataka niwakumbushe tuu hawa wakuu wa nchi hasa hizi za maziwa makuuu.suluhu ya migogoro yetu haiwezi kuamliwa na wadau nje ya maziwa makuu.ni wakati pia wa kuonyesha kwamba mataifa yetu yanaweza maliza baadhi ya migogolo wao wenyewe bila mzungu.

Halafu pia misada kwa wakimbizi imepungua sasa baada ya marekani kusitisha huo ujinga wa kuendelea kusaidia nchi ambazo hazi graduate toka kwenye umasikini.ikiwa wanaograduate toka kwenye umasikini ni viongozi wanaojilimbikizia mali na kutumiwa na vibaraka wa huko magharibi
Ss long as Marekani na Ulaya wanahusika kumsapoti Kagame kuipa rasilimali muhimu kupitia mlango wa nyuma, SADC hawatafanya kitu chochote cha sulphur, sana sana watafanya kiini macho cha ceasefire, wassi warudi nyuma kdg, washikilie maeneo waliyonayo, serikali ya DRC nayo irudi nyuma, UN wanawekwa kati, watu wanaendelea kuvuna utajiri
 
Kesho moja ya agenda,kimsingi agenda kubwa ambayo masikio ya wengi yanasubiri kuona maridhiano ya mgogolo wa huko DRC unafikiwa muafaka.Tuendelee kuwaombea afya njema wahusika wote wakuu ikiwa ni pamoja wa maraisi wa DRC na Rwanda.Pia wawe na moyo wa huruma kuhurumia mamia ya wanawake na watoto wanao teseka huko ikiwa wao wanaishi kwenye viyoyozi.

Kibaya zaidi muafrica anamua mwafrica mwenzake halafu wazungu wanaendelea kuchota rasilimali za nchi yao.Nataka niwakumbushe tuu hawa wakuu wa nchi hasa hizi za maziwa makuuu.suluhu ya migogoro yetu haiwezi kuamliwa na wadau nje ya maziwa makuu.ni wakati pia wa kuonyesha kwamba mataifa yetu yanaweza maliza baadhi ya migogolo wao wenyewe bila mzungu.

Halafu pia misada kwa wakimbizi imepungua sasa baada ya marekani kusitisha huo ujinga wa kuendelea kusaidia nchi ambazo hazi graduate toka kwenye umasikini.ikiwa wanaograduate toka kwenye umasikini ni viongozi wanaojilimbikizia mali na kutumiwa na vibaraka wa huko magharibi
ni muhimu sana Pres. Paul Kagame akawajibika kwa hiyari, kabla hajatengwa na kuwajibishwa kimkakati, kikanda na kimataifa 🐒
 
ni muhimu sana Pres. Paul Kagame akawajibika kwa hiyari, kabla hajatengwa na kuwajibishwa kimkakati, kikanda na kimataifa 🐒
Hao viongozi wanaojifanya kuitisha kikao cha amani, zaidi ya nusu wako madarakani kwenye nchi zao kwa njia za kihuni ikiwemo wa Tanzania, na Kagame ukweli huo anaujua. Hapo kitakachofanyika ni kupiga porojo, na hakuna kitakachotekelezwa kwenye hayo maazimio.
 
Hao viongozi wanaojifanya kuitisha kikao cha amani, zaidi ya nusu wako madarakani kwenye nchi zao kwa njia za kihuni ikiwemo wa Tanzania, na Kagame ukweli huo anaujua. Hapo kitakachofanyika ni kupiga porojo, na hakuna kitakachotekelezwa kwenye hayo maazimio.
ni muhimu zaidi kuzingatia waakina mama na watoto wanaoteseka na kupoteza maisha bila ya hatia huko DRC,

hakuna haja ya kupepesa macho,
Rais Paul Kagame anastahili kuwajibishwa kimkakati na kikanda mapema iwezekanavyo kabla ya maafa zaidi kutokea DRC na eneo zima la maziwa makuu, kubeba jukumu la kuwalea wakimbizi.

Ni matumaini yangu uamuzi mzito wa maneno na vitendo utatolewa na kuchukuliwa hatua za haraka dhidi ya M23 na Kagame kutoka EAC na SADC 🐒
 
Kwa hiyo unamchimba mkwara Kagame ukiwa JF ?
JF hakuna masula ya kuchimbana mkwara gentleman,

JF ni jukwaa huru,
ambalo pia ni sehemu ya kuibua maoni, mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani ,

kinyume na hapo itakua ni uelewa na ufahamu finyu wa mambo 🐒
 
ni muhimu zaidi kuzingatia waakina mama na watoto wanaoteseka na kupoteza maisha bila ya hatia huko DRC,

hakuna haja ya kupepesa macho,
Rais Paul Kagame anastahili kuwajibishwa kimkakati na kikanda mapema iwezekanavyo kabla ya maafa zaidi kutokea DRC na eneo zima la maziwa makuu, kubeba jukumu la kuwalea wakimbizi.

Ni matumaini yangu uamuzi mzito wa maneno na vitendo utatolewa na kuchukuliwa hatua za haraka dhidi ya M23 na Kagame kutoka EAC na SADC 🐒
Waachwe hao wacongo wamalizane ama waje viongozi wa nje ya africa wenye uhalali, sio hawa viongozi wanaoingia madarakani kwa kuua wengine na kuwaacha na vilema vya maisha ndio wapatanishe. Tanzania ni mfano halisi wa viongozi wasio na uhalali wa kupatanisha hao wacongo. Wako vilema wengi na waliofungwa achia mbali waliopoteza maisha ili ccm ikae madarakani. Tushukuru Mungu watanzania hawajapata silaha, vinginevyo wangefanya kama huko DRC.
 
Kesho moja ya agenda,kimsingi agenda kubwa ambayo masikio ya wengi yanasubiri kuona maridhiano ya mgogolo wa huko DRC unafikiwa muafaka.Tuendelee kuwaombea afya njema wahusika wote wakuu ikiwa ni pamoja wa maraisi wa DRC na Rwanda.Pia wawe na moyo wa huruma kuhurumia mamia ya wanawake na watoto wanao teseka huko ikiwa wao wanaishi kwenye viyoyozi.

Kibaya zaidi muafrica anamua mwafrica mwenzake halafu wazungu wanaendelea kuchota rasilimali za nchi yao.Nataka niwakumbushe tuu hawa wakuu wa nchi hasa hizi za maziwa makuuu.suluhu ya migogoro yetu haiwezi kuamliwa na wadau nje ya maziwa makuu.ni wakati pia wa kuonyesha kwamba mataifa yetu yanaweza maliza baadhi ya migogolo wao wenyewe bila mzungu.

Halafu pia misada kwa wakimbizi imepungua sasa baada ya marekani kusitisha huo ujinga wa kuendelea kusaidia nchi ambazo hazi graduate toka kwenye umasikini.ikiwa wanaograduate toka kwenye umasikini ni viongozi wanaojilimbikizia mali na kutumiwa na vibaraka wa huko magharibi
hakuna kitu ni mkusanyiko wa madikiteita to consolidate dictatorship
 
Back
Top Bottom