Kesho moja ya agenda,kimsingi agenda kubwa ambayo masikio ya wengi yanasubiri kuona maridhiano ya mgogolo wa huko DRC unafikiwa muafaka.Tuendelee kuwaombea afya njema wahusika wote wakuu ikiwa ni pamoja wa maraisi wa DRC na Rwanda.Pia wawe na moyo wa huruma kuhurumia mamia ya wanawake na watoto wanao teseka huko ikiwa wao wanaishi kwenye viyoyozi.
Kibaya zaidi muafrica anamua mwafrica mwenzake halafu wazungu wanaendelea kuchota rasilimali za nchi yao.Nataka niwakumbushe tuu hawa wakuu wa nchi hasa hizi za maziwa makuuu.suluhu ya migogoro yetu haiwezi kuamliwa na wadau nje ya maziwa makuu.ni wakati pia wa kuonyesha kwamba mataifa yetu yanaweza maliza baadhi ya migogolo wao wenyewe bila mzungu.
Halafu pia misada kwa wakimbizi imepungua sasa baada ya marekani kusitisha huo ujinga wa kuendelea kusaidia nchi ambazo hazi graduate toka kwenye umasikini.ikiwa wanaograduate toka kwenye umasikini ni viongozi wanaojilimbikizia mali na kutumiwa na vibaraka wa huko magharibi
Kibaya zaidi muafrica anamua mwafrica mwenzake halafu wazungu wanaendelea kuchota rasilimali za nchi yao.Nataka niwakumbushe tuu hawa wakuu wa nchi hasa hizi za maziwa makuuu.suluhu ya migogoro yetu haiwezi kuamliwa na wadau nje ya maziwa makuu.ni wakati pia wa kuonyesha kwamba mataifa yetu yanaweza maliza baadhi ya migogolo wao wenyewe bila mzungu.
Halafu pia misada kwa wakimbizi imepungua sasa baada ya marekani kusitisha huo ujinga wa kuendelea kusaidia nchi ambazo hazi graduate toka kwenye umasikini.ikiwa wanaograduate toka kwenye umasikini ni viongozi wanaojilimbikizia mali na kutumiwa na vibaraka wa huko magharibi