- Thread starter
- #21
ni muhimu zaidi kuzingatia waakina mama na watoto wanaoteseka na kupoteza maisha bila ya hatia huko DRC,
hakuna haja ya kupepesa macho,
Rais Paul Kagame anastahili kuwajibishwa kimkakati na kikanda mapema iwezekanavyo kabla ya maafa zaidi kutokea DRC na eneo zima la maziwa makuu, kubeba jukumu la kuwalea wakimbizi.
Ni matumaini yangu uamuzi mzito wa maneno na vitendo utatolewa na kuchukuliwa hatua za haraka dhidi ya M23 na Kagame kutoka EAC na SADC 🐒
Yes,maana wahanga wakubwa wa ghasia hii ni wale ambao hata hawana stake.Maana kila anayetaka madaraka kwa nchi za kiafrica ni zaidi kwa ajili yake bonafsi na wala siyo kwa ajili ya wananchi.Ndiyo maana wanaona si kitu wanachi hasa watoto na wanawake kuuawa