Tuuombee Mkutano wa SADC kesho Ili Mgogoro wa DRC uoate suluhu


Yes,maana wahanga wakubwa wa ghasia hii ni wale ambao hata hawana stake.Maana kila anayetaka madaraka kwa nchi za kiafrica ni zaidi kwa ajili yake bonafsi na wala siyo kwa ajili ya wananchi.Ndiyo maana wanaona si kitu wanachi hasa watoto na wanawake kuuawa
 
Fact
 
Pk ngoma ngumu akili kubwa kawasilo

Ova
 
RIP Juvenal Habyarimana
 
wanasiasa hao wanaokutana ni debe tupu tu the real players ni big corporations kama apple,microsoft na kampuni za magari ya umeme majuu!Tshisekedi hana chaguo zaidi ya kuwapa waasi KIVU nzima na kuwapa mamlaka ya kujitawala.Sion option nyingine hapo.Makampuni ya magharibi hayawezi kujitia kamba shingoni(kumwachia mchina a-stretch influence yake mahali kwenye strategic mineral reserve).Mind you kwasasa kuna mashindano makubwa baina ya nchi za magharibi na China kwenye production ya magari ya umeme na vifaa vya kielectronic.
So wanasiasa wanakutana kwa ufadhili wa big corporations kujadili interest za big corporations and nothing else.Hapo Kagame ataibuka kidedea😂
 

Mgogoro wa huko DRC (Zaire) kati ya Serikali ya huko na Waasi hautapatiwa suluhisho kwa njia za maombi bali kwa njia za KUTENDA HAKI KWA WANANCHI WOTE BILA YA UBAGUZI WA AINA YOYOTE ILE. Suluhisho pekee kwa Mgogoro huo ni kuanzisha Utawala wa nchi ambao utazingatia HAKI na DEMOKRASIA.
Hii ndio suluhisho pekee lililopo.

Kumbuka:

"Njia pekee ambayo Wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na Watawala wao ambao ni Madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa kupitia mtutu wa bunduki."

Jeffs O'Brien.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…