Tuuzoee utendaji mpya wa Serikali yetu - Faragha na kimya kimya

Tuuzoee utendaji mpya wa Serikali yetu - Faragha na kimya kimya

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Wenye chuki wote popote alipo wacha wajinyonge!

Mabibi na mabwana ni muda sasa wa kuuzoea utendaji mpya wa serikali yetu.

Hii mambo ya kuzurura kariakoo au magomeni siyo dili.

Wito wa mheshimiwa Rais kuwataka watendaji kuchapa kazi wakiachana na media ikiwamo mitandao ya kijamii sasa ni kwa vitendo na kutokea juu.

Waheshimiwa Magufuli, Samia, Mwinyi na Mheshimiwa Othman kupotea kwenu hadharani katika wiki mbili hizi bila shaka ni katika ule mwendelezo huo na utakuwa endelevu.

Ziara zile za kushtukiza zilikuwa zinatuletea taharuki bure.

Mitaani sasa na sisi kumetulia tunachapa kazi kweli kweli.

Ninawasilisha.
 
Hata Mbowe anapiga kazi kimya kimya!

Ashauriwe na Majaliwa pia.

Hizi ziara za kushtukiza ikiwamo hii ijayo Mbeya zinaleta taharuki tu.

Kwa sababu kuna hadi watendaji wa mitaa na vijiji, wakuu hawa ni bora wachape kazi maofisini kwao tu.

Nia yao njema ya ujenzi wa taifa hili mbona imeshaeleweka!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Uongozi wa aina hii ni dalili za the one man show style na wanaopendelewa wanakuwa over protective kwa kiongozi.
 
Wenye chuki wote popote alipo wacha wajinyonge!

Mabibi na mabwana ni muda sasa wa kuuzoea utendaji mpya wa serikali yetu.

Hii mambo ya kuzurura kariakoo au magomeni siyo dili.

Wito wa mheshimiwa Rais kuwataka watendaji kuchapa kazi wakiachana na media ikiwamo mitandao ya kijamii sasa ni kwa vitendo na kutokea juu.

Waheshimiwa Magufuli, Samia, Mwinyi na Mheshimiwa Othman kupotea kwenu hadharani katika wiki mbili hizi bila shaka ni katika ule mwendelezo huo na utakuwa endelevu.

Ziara zile za kushtukiza zilikuwa zinatuletea taharuki bure.

Mitaani sasa na sisi kumetulia tunachapa kazi kweli kweli.

Ninawasilisha.
Ninavyo penda kuwa nyuma ya mikamera miyee! yaani roho hadi inataka kuuwacha mwili
 
Back
Top Bottom